Mabango ya picha ya Rais kwenye shughuli mbalimbali haukuwepo kabla ya 2015. Uondolewe kupunguza gharama?

Mabango ya picha ya Rais kwenye shughuli mbalimbali haukuwepo kabla ya 2015. Uondolewe kupunguza gharama?

mngony

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2012
Posts
5,555
Reaction score
6,972
Habari wakubwa,

Kwa kumbukumbu zangu kama sijakosea kuanzia awamu ya 5 na hii ya sasa tuliyonayo shughuli za kitaifa anazohudhuria Rais zinambatana na mabago 'banners' makubwa yenye picha ya Rais pamoja jumbe au kaulimbiu kulingana na shughuli husika iwe maadhimisho, sikukuu za kitaifa na kimataifa n.k

Hizi 'banner' hazikuwepo kipindi cha awamu ya 4 kwenda chini. Sina uhakika ni gharama kiasi gani lakini tunaweza kuokoa hizo gharama zisizo na ulazima. Sijaju shughuli iliisha zile banners au posters huenda wapi? Hutupwa? Au kuhifadhiwa?

Sidhani kama Mama anapenda 'populism' na pia sio kila utaratibu anaokuta lazima aendelee nao, ukiondoa taratibu za kiprotokali na kiusalama.
 

Mabango ya picha ya Rais lazima yawepo kwani hajulikani na hauziki, maeneo mengine mfano jiji la arusha picha zake zimeoteshwa barabarani kama maua ila lip stick mdomoni inamfanya anaonekana kuwa Hata sijui​

 

Mabango ya picha ya Rais lazima yawepo kwani hajulikani na hauziki, maeneo mengine mfano jiji la arusha picha zake zimeoteshwa barabarani kama maua ila lip stick mdomoni inamfanya anaonekana kuwa Hata sijui​

Sasa umeandika nini?
 
Kuna utamaduni uliojengeka tangu 2015 itachukua muda sana kuondoka, wenye uwezo wa kuuondoa ni Marais wenyewe, wakatae kupambwa pambwa na kuabudiwa.

Yataondolewaje wakati wizara ya Nape imeshaweka bajet yake.
Na tabia ya kusifiwa sifiwa hovyo
 
Sidhani kama Mama anapenda 'populism' na pia sio kila utaratibu anaokuta lazima aendelee nao, ukiondoa taratibu za kiprotokali na kiusalama.
Asingependa usingeziona hizo.

Lakini jambo muhimu la kujiuliza ni hili:
Maana ya hizi picha ni nini hasa?. Lengo ni lipi.

Hili ndilo swali la msingi linalohitaji majibu kutoka kwa hao wanaohusika.

Mhusika kama yupo hapo kwenye shughuli yenyewe, halafu inakuwa haitoshi watu kumwona, inabidi hadi mapicha yachapishwe ili watu wamwone zaidi, kwa nini?
 
Habari wakubwa,

Kwa kumbukumbu zangu kama sijakosea kuanzia awamu ya 5 na hii ya sasa tuliyonayo shughuli za kitaifa anazohudhuria Rais zinambatana na mabago 'banners' makubwa yenye picha ya Rais pamoja jumbe au kaulimbiu kulingana na shughuli husika iwe maadhimisho, sikukuu za kitaifa na kimataifa n.k

Hizi 'banner' hazikuwepo kipindi cha awamu ya 4 kwenda chini. Sina uhakika ni gharama kiasi gani lakini tunaweza kuokoa hizo gharama zisizo na ulazima. Sijaju shughuli iliisha zile banners au posters huenda wapi? Hutupwa? Au kuhifadhiwa?

Sidhani kama Mama anapenda 'populism' na pia sio kila utaratibu anaokuta lazima aendelee nao, ukiondoa taratibu za kiprotokali na kiusalama.
Hivi huu ushamba alioasisi yule dhalim bado upo hadi awamu hii ya sita?
 
Kuna utamaduni uliojengeka tangu 2015 itachukua muda sana kuondoka, wenye uwezo wa kuuondoa ni Marais wenyewe, wakatae kupambwa pambwa na kuabudiwa.

Yataondolewaje wakati wizara ya Nape imeshaweka bajet yake.
Nape lile tumbo litapasuka,kumbe huu ndiyo urefu wa kamba yake
 
Asingependa usingeziona hizo.

Lakini jambo muhimu la kujiuliza ni hili:
Maana ya hizi picha ni nini hasa?. Lengo ni lipi.

Hili ndilo swali la msingi linalohitaji majibu kutoka kwa hao wanaohusika.

Mhusika kama yupo hapo kwenye shughuli yenyewe, halafu inakuwa haitoshi watu kumwona, inabidi hadi mapicha yachapishwe ili watu wamwone zaidi, kwa nini?
Chema chajiuza kibaya chajitembeza
 
Badi upo Mkuu,
Mabango yaliyopo sasa hivi ni mengi unaweza kuhisi tupo kwenye kampeni za uchaguzi mkuu alafu ni nchi nzima yamejaa. Pale Lamadi yamejaa barabarani, KIA ndio usiseme
 
Habari wakubwa,

Kwa kumbukumbu zangu kama sijakosea kuanzia awamu ya 5 na hii ya sasa tuliyonayo shughuli za kitaifa anazohudhuria Rais zinambatana na mabago 'banners' makubwa yenye picha ya Rais pamoja jumbe au kaulimbiu kulingana na shughuli husika iwe maadhimisho, sikukuu za kitaifa na kimataifa n.k

Hizi 'banner' hazikuwepo kipindi cha awamu ya 4 kwenda chini. Sina uhakika ni gharama kiasi gani lakini tunaweza kuokoa hizo gharama zisizo na ulazima. Sijaju shughuli iliisha zile banners au posters huenda wapi? Hutupwa? Au kuhifadhiwa?

Sidhani kama Mama anapenda 'populism' na pia sio kila utaratibu anaokuta lazima aendelee nao, ukiondoa taratibu za kiprotokali na kiusalama.
Kama yeye rais anafurahia hayo mabango,basi hayataondoka.
 
Back
Top Bottom