Mabao ya Yanga na Kisa cha asiyeridhishwa

Mabao ya Yanga na Kisa cha asiyeridhishwa

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Ukweli usemwe tu, Hili bao Moja Moja la Yanga, limekuwa kero sana hivi Sasa huku mtaani.
Waliopigwa bao wanabeza sana na kuona sasa mmeanza kukata pumzi. Utasikia bao lenyewe Moja, hawana kitu wale!!

Kocha Gamondi vipi? Ulishazoesha watu mechi ni bao tano bila kukata pumzi huku wao wakiomba poo, Imekuwaje tena?
Au tukupeleke kwa mtaalam mmoja huko Congo akakuongezee stamina? 😂😂😂

Embu Yanga kaeni chini mjihoji.
 
Mkipigwa tano kosaa ! Eti GSM kapenyeza bahasha ! Mkipigwa moja kosaa ! Mara Camara kauza mechi ! Nyie vipiiii !!???
 
Mnajichetua...😄goli moja mlifunga?
Acha tu waseme aisee,Ila binafsi nimefurahi sana jinsi team yangu ilivyocheza kipindi cha kwanza.

Nimemuomba msamaha mdogo wangu Kagoma,Hakika Aucho na Mudathir walipotea.

Kagoma alimpa uhuru Fernandez mavambo kuzunguka uwanja mzima.

Kuumia kwa Hamza na Kagoma kumetukosesha ushindi.
Tunahitaji Mshambuliaji wawili wa ziada

Ateba alikua anakabwa na watu wanne.
 
Acha tu waseme aisee,Ila binafsi nimefurahi sana jinsi team yangu ilivyocheza kipindi cha kwanza.

Nimemuomba msamaha mdogo wangu Kagoma,Hakika Aucho na Mudathir walipotea.

Kagoma alimpa uhuru Fernandez mavambo kuzunguka uwanja mzima.

Kuumia kwa Hamza na Kagoma kumetukosesha ushindi.
Tunahitaji Mshambuliaji wawili wa ziada

Ateba alikua anakabwa na watu wanne.
Kumbe Kagoma aliumia? Nilikuta tuu kafanyiwa sub
 
Kumbe Kagoma aliumia? Nilikuta tuu kafanyiwa sub
Aliumia mshakaji wangu,Binafsi sikumielewa Kocha alipompanga ile game ya Away ya Tripol ila dogo ni kisiki hatariii.

Tuachane na Mutale,Mukwala na ngoma tuchukue wachezaji tishio zaidi.
 
Aliumia mshakaji wangu,Binafsi sikumielewa Kocha alipompanga ile game ya Away ya Tripol ila dogo ni kisiki hatariii.

Tuachane na Mutale,Mukwala na ngoma tuchukue wachezaji tishio zaidi.
Jamani muwaache kidogo vijana wajinoe...
 
Jamani muwaache kidogo vijana wajinoe...
Hawana maajabu ujue,we angalia ubora wao wakiwa viwanjani.

Hii subiri subiri ndio Yanga atakuja kutufunga mara ya 5 mfululizo.
Tuhataji play maker pale kati.

Enzi zile simba ilikua tishio sababu ulikua hujui umkabe nani(Luis miquson,Chama,Boko au Bwalya) nje una Mugalu na kagele.
Imagine now
 
Hawana maajabu ujue,we angalia ubora wao wakiwa viwanjani.

Hii subiri subiri ndio Yanga atakuja kutufunga mara ya 5 mfululizo.
Tuhataji play maker pale kati.

Enzi zile simba ilikua tishio sababu ulikua hujui umkabe nani(Luis miquson,Chama,Boko au Bwalya) nje una Mugalu na kagele.
Imagine now
Duuh umenikumbusha mbali...
 
Pia ni mzuri,apewe nafasi tujue ameweza au vipi,lakini hawa kina Mukwala na Mutale sioni kitu,
Kuna Chasambi yule dogo apewe pia mechi aanze.
Sure mkuu...uzuri sisi mashabikii wa Simba tunaipenda Simba yetu mpk tufe...
 
Back
Top Bottom