The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Camara yuko Sawa ni mistake za kawaida,team ikae muda wachezaji waelewe umuhimu wa dabi.Hana mbambamba....katuliaaa kama yupo anacheza draft kumbe anakiwasha uwanjani...
Hata Camara sijaona makosa yake makubwaa