Mabao ya Yanga na Kisa cha asiyeridhishwa

Hana mbambamba....katuliaaa kama yupo anacheza draft kumbe anakiwasha uwanjani...
Hata Camara sijaona makosa yake makubwaa
Camara yuko Sawa ni mistake za kawaida,team ikae muda wachezaji waelewe umuhimu wa dabi.
 
ukweli usemwe tu, hizi zitabaki kuwa kauli za kujifariji Kwa Wana Simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…