Hizo za chini mbili unapata moja hiyo ya juu
Hapo unaona umejibu mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nakubaliana nawewe kabisaHujui kitu
Mzee gari zote zinawastan wa lita kati ya 23 na 26 kwa KM 100 iwe mchina iwe scania za sauli, zina range hapoHizi Gari za mchina hazili mafuta
hii michina after 3 years inachoka sana , kisbo ndio ananunua hizo sasa anaenda badili mfumo tu anatia kitu Scania kitu kinakua hatari tupu , Skyline ni kampuni mtoto ya Kisbo
Zinakula nn mkuu? Makande??Hizi Gari za mchina hazili mafuta
BangiZinakula nn mkuu? Makande??
Yap!! Umetoa maelezo ya kitaalam kabisa,scania inauwezo wa kupanda mlima kwa speed iliotokanayo tambarare,tofauti na mchina lazima isinzie na kuanza kulalamika.Either hujui au haupo makini, gari kukimbia ni kitu kimoja na gari kuhimili kukimbia ni kitu kingine kabisa , mabasi yana speed limit ya 85km/h, lakini wastani wa mwendo hutofautiana kadiri engine inavyokuwa dhaifu milimani...
Kuna zile Polo zilikuwa za Mohamed trans, T112AAA nimeanza ziona tangu 2004 lakini mpaka leo zinabamba kinoma na abiria wanazielewa sana... uko sahihi. Probability ya gari T 605 DTR kugombaniwa na abiria ni kubwa kuliko T 605 BXY hilo halina ubishi regardless of brand!
Mchina ni euro 3 sio 1Either hujui au haupo makini, gari kukimbia ni kitu kimoja na gari kuhimili kukimbia ni kitu kingine kabisa , mabasi yana speed limit ya 85km/h, lakini wastani wa mwendo hutofautiana kadiri engine inavyokuwa dhaifu milimani.
Mchina basi karibu zote anatumia technology ya euro 1, mechanical injector pump na nozzle , scania za f95 ni euro 5, common rail fuel injection , variable geometry turbocharger etc Ni very efficient, kiasi kwamba waliamua kupunguza cylinder moja , kwa option za mabasi,
F95 Ina uwezo wa kumaintain speed ya 85 kwa kipande kirefu, ndo maana sauli inakuwa ya kwanza kila siku
Sent
Labda kama wameondoa kitanda kwa sababu wanazozijua wao lakini hiyo ni sleeperDaf kipisi hiki DAY CAB hakuna hata kitandaView attachment 1485252
Euro 3 Ni electronic diesel control (EDC) unalifahamu Hilo?, Hadi leo mchina anatumia mechanically governed injector pump,Mchina ni euro 3 sio 1
We jamaa unaongea nn, south mizigo wanchaii Bei ghali sio kwa sababu ni safari yenye risks kibao lakini sio eti ni mbaliNenda na gari mbovu uone kama utatoboa unadhani kwa nini wanachaji ghrama kubwa kutoka na mzigo SA mpaka dar magari mabovu si yangekua mengi tuu ni USD 8000 trip moja kutoa mzigo SA endelea kubisha Kama unaona itakusaidia...
Scania noma, hata Rungwe anafanya vema.Miaka ya nyuma Scania ndio alikuwa mfalme wa kusafirisha abiria na mizigo hapa nchini. Wamiliki wa mabasi waliziamini sana Scania kwa uimara wake na mwendo barabarani.
Miaka ya katikati Mchina akaleta mabasi ya YUTONG na Zongtong. Matajiri wengi wakazimbilia basi hizi kwasababu ya ulaji mdogo wa mafuta, bodi nzuri, interior design, na unafuu wa vipuri...
refer to abood bus service ANDAREZilikuja Nissan Diesel UD, zikaenda, zikaja ISUZU CVR, zikaenda. Mchina alianza na yutong, ikafuata song tong, kaleta higer, golden dragon, sunlong lakini Scania ipo palepale. Kuna mtu kapanda Najmunisa toka secondary mpaka kapiga MD 5, Intern na kamaliza Mmed, na yupo kazini miaka mitatu sasa, Najmunisa Scania ipo tu inadunda....
[emoji28][emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji28]Nakumbuka BM iringa-dsm,alinunua michina 2010 zikawa zinawaka balaa wakati huo kina abood wana marcopolo.
Nikaja kuzipanda hizo bm 2013,nilipoingia ndani ya gari stand ikabidi nitoke,maana seat zilikuwa na hali mbaya vibaya mno.
Unabisha wakati picha ipo hapo wakati ni day cab hazinaga nafasi ya kitandaLabda kama wameondoa kitanda kwa sababu wanazozijua wao lakini hiyo ni sleeper
Mm nimekujibu kulingana na maelezo ya kitabu cha gariEuro 3 Ni electronic diesel control (EDC) unalifahamu Hilo?, Hadi leo mchina anatumia mechanically governed injector pump,
Mechanically controlled diesel pump , hata iwe efficient kiasi gani haiwezi kufuzu euro 3 requirements
Sent
Kilimanjaro Andare Class namba A zipo vizuri sana ndani.Mi binafsi napanda Mchina, ndani yako comfortable, space ya kutosha kwa mabasi ya seat za 2x2. Scania zenye hali nzuri kwa level ya mchina kwa sasa sidhani kama zipo za kutosha.
Ni ukweli ulio wazi kuwa Scania iko vizuri na inavumilia sana. Mfano mabasi ya Abood yapo mpaka leo na yanapiga mzigo, isipokua tayari inakosa mambo ya kisasa, lakini kwa upande wa body na Engine, bado ziko poa, zinapiga mzigo tena route ndefu. Yutong pamoja na kutumia engine za Cumnis bado baada ya miaka michache, linakua limechoka