Mabasi aina ya Scania na Mercedes Benz vs Yutong na Zongtong: Mchina ameuza ramani ya vita kwa adui

Unaongea uongo, DMG kila siku zinakaa mbele zaid ya nusu saa. Mm nashinda barabaran muda mwingi
Ukitoa jana lini DMG imekaa mbele?? Deer kukaa mbele mwisho Aljazeera [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hizo basi za mchina kwenye milima zinapanda vizuri habari zao za kusinzia ni pale dereva anapokuwa amedelay kukanyaga mafuta.

Wanaosema mchina kwenye milima hana kitu basi gari za Dar- Songea ataje ipi amekuta imechemsha kupanda milima.
Kuzinzia zinasinzia na nguvu hazina uwezo kama scania ae huoni Zhongtong L360 inaliwa na scania f310
 
Unataka kusema nini? Mabasi yote yamefungwa speed limit, barabarani Kuna touch, huo mwendo Ni upi? Issue kubwa hapo Ni unafuu wa manunuzi na uendeshaji wa mabasi ya kichina basi
Sio hivyo tunaweza wote tukaenda speed sawa lakin mm nikawah kufika.

Kutokana mn namaintain speed na sishuki gia hata kama nimekutana na vituta vya hapa na pale pia wwe ukawa muoga muoga overtake lakin mm nikawa naovertake popote Nakua mwepesi,, wajasema magar yaende speed sawa ila wamesema magar yasizid 80km/h.. ukisema hivyo ndugu yangu mbona mabus yote yangekuwa yanaongozana msululu na yanafika mda sawa
 
usingekua unazikuta sub-scania, delivery yake ingekua moja kwa moja kwenye yard ya kampuni husika
Tatizo hujui ila hutaki kujua, wacha nikujuze scania mpya yoyote ukitaka kuagiza kupitia saab scania wanakufanyia wao agizo ina maana mwenye jukumu la kukuagizia ni hao hao scania wenyewse so laima ukaichukulie vinginguti
 
Asante Sana, ngoja tuwasikie na wengine
Wamesema magar yasizid speed 80km/h sio yaende speed sawa,, aafu kuna changamoto barabaran kama overtaking,, vigema inategemeana na wepes wa dereva. .. mwambie ajaribu kuincrease thinking capacity yake
 
Sina uhakika, ila nauhakika na route ya Dar Mbeya
Kweli c ni Mbeya inawezekana kukawa na Sauli ya Mbeya mjjn, Tunduma na Kyela had sumbawanga,, new force route zote hizo ana gar,,, wenda kukawa na Sauli ya Dar to Kyela,,, jaribu kuuliza
 
Kuzinzia zinasinzia na nguvu hazina uwezo kama scania ae huoni Zhongtong L360 inaliwa na scania f310
Zhongtong kuliwa na Scania ni suala la dereva kupangilia gear mlimani.

Tusidharau Zhongtong kupitiliza Huyo Scania akidharau hata sekunde kadhaa ataishia kusoma namba.

Scania atajivunia kupanda milima kwa low RPM, Zhongtong RPM itakuwa juu kidogo.
 
Tatizo hujui ila hutaki kujua, wacha nikujuze scania mpya yoyote ukitaka kuagiza kupitia saab scania wanakufanyia wao agizo ina maana mwenye jukumu la kukuagizia ni hao hao scania wenyewse so laima ukaichukulie vinginguti
Mbona Kilimanjaro hazipiti pale? au Dar express (Tofauti na hizo Gemilang) kwann hizo model nyingine hazipiti pale?? reason?

na nikujuze tu sub scania Tanzania endapo kama ukitaka kuunda bus kwa hapa hapa hua wanaunda kutumia Dar Coach hawaendi Kenya, hayo ma Gemilang yanashuka hivyo hivyo
 
Kweli c ni Mbeya inawezekana kukawa na Sauli ya Mbeya mjjn, Tunduma na Kyela had sumbawanga,, new force route zote hizo ana gar,,, wenda kukawa na Sauli ya Dar to Kyela,,, jaribu kuuliza
hazipo, Saul ana bus 4 tu, scania 3 benzi 1 (Route ni Mbeya dsm kwasasa) muda wowote ataanza route ya tunduma
 
Acha kuongea kwa kusikia stori za mtaani! Jaribu uendeshe kwanza hizo gari, endesha bus scania walau wiki 1 kisha njoo kwa mchina iwe yutong, zhongtong, dragon au higer mlimani hakuna wa kumsogelea msweden! Hilo nakupinga nikiwa nimeendesha hizo zote tena kwa kipindi kirefu sana...

Bus la mchina tangu likiwa na 0km linaweza kutembea miezi 8 bila hitilafu lakini baada ya hapo mara mashine imezingua, au turbo sijui imekufa, gearbox sijui gear hazipatikani..

Tena hapo ni bahati sana uende kipindi hicho bila kusumbua! Maana unaweza kutembea wiki tu na ikaua mashine! Ndo maana hakuna mkataba kama scania unaponunua bus jipya kwao unapewa miaka mitatu likiwa chini yao. Usilete habari za vijiweni kisa uliiona gari inakimbia
 
Huyo unamjibu ni shabiki tu hana uelewa wa haya mabasi au kaamua kujitoa ufahamu! Huwezi kulinganisha scania na mchina hata siku 1 ndo maana abood ana bus zina usajili wa Ax lakini anapiga rout za Mwanza. Mwambie atafute bus lolote la kichina lenye namba C ambalo linatembea kilomita zaidi ya 700 kwa siku achilia mbali A ya abood kwa scania..
 
Shida ushabiki mkuu au labda kuna watu wanawafanyie basi za kichina promo
 
Mzee gari zote zinawastan wa lita kati ya 23 na 26 kwa KM 100 iwe mchina iwe scania za sauli, zina range hapo
Nadhani umesema scania za sauli ambazo ni 95.. Ila ukisema scania yoyote hata 114 utakuwa umedanganya parefu mno... Maana nilikuwa natembea na bus klm 700 inakula lita 280 hadi 300 japo mashine mlimani unakuwa kama upo na gari ndogo tu
 
Kweli c ni Mbeya inawezekana kukawa na Sauli ya Mbeya mjjn, Tunduma na Kyela had sumbawanga,, new force route zote hizo ana gar,,, wenda kukawa na Sauli ya Dar to Kyela,,, jaribu kuuliza
Confirmed, ngoma zinaishia Mbeya mjini
 
Mbona andare za abood ni scania na zilikuja zikiwa bus kabisa! Na pia gemilang za rungwe au sauli ni bus kabisa na injini ziko mbele au una maana ipi
 
Mmhh we mtu kudanganya hadharani hivi huoni aibu?? Umeonyeshwa na picha hizo body zikishushwa hapo na bado unasema ni body za scandinavia??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…