Mabasi aina ya Scania na Mercedes Benz vs Yutong na Zongtong: Mchina ameuza ramani ya vita kwa adui

Kwan umeacha kazi yako ya bodaboda?
Huna unachokijua kuhusu mabasi wewe! Mwenzio kila siku hiyo kitonga napanda na kushuka nikiwa na basi sema leo nimeshinda ndo maana napata na muda wa kuona unavyopotosha watu kisa unapenda rangi za golden deer
 
Ngoja wengine tujifunze.
 
Mkuu Climber mlimani inapanda kasi tofauti na watu wanavyoidharau.
Tofauti moja ambayo itakuwepo kati ya Benz/Scania na Cummins injini ni hao Scania/Benz watapanda kwa low RPM tofauti kidogo na Cummins.
Mambo ya HP, TORQUE, RPM umeanza kwenda napohitaji mkuu. Huku ndo ubishani unapofikia tamati.
 
Nimsaidie kuna ile Tavavil Dar-Songea ina Wi-fi na nimewahi kuitumia.
 
Nimeambatanisha na screen shot
 
Either hujui au haupo makini, gari kukimbia ni kitu kimoja na gari kuhimili kukimbia ni kitu kingine kabisa , mabasi yana speed limit ya 85km/h, lakini wastani wa mwendo hutofautiana kadiri engine inavyokuwa dhaifu milimani...
Professional.
 
Kilimanjaro hajawahi kuagiza gari mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…