Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #421
Biashara ya Basi pasua kichwa sanaKwa sasa amebakiwa na bus 7 tu barabarani
Kwahiyo ni bora kudili na malori ?Biashara ya Basi pasua kichwa sana
Nani kasema kwamba Kilimanjaro ana f330?? Iso izo 94 Kilimanjaro anaweka kwenye polo pia p series ambazo ni 95 za lorry, labda nikuelekeze vizuri f330 overhang yake ni ndogo sana pale mbele tyre za mbele ziko mbele zaidi ya 94, na nilikuambia nilikuambia pamoja na specification zake f330 bado ni special bus kama hutaki niletee f330 iliyo na kibin ya lorry tuache kubishana kama hauna basu jua f330 sio lorry usibishe kitu kilicho wazi, pili nilikuuliza straight kuhusu f360 na ulichojibu ndicho unachokifahamu hakuna mtego pale.Kilimanjaro ana f330? Kaitoa wapi ? Kilimanjaro nafahamu ana p280 na nyingi hzio zilikuja Kama Lori na bado anazo zinabeba mizigo,
Yqp zile zote zina mlango mbele unajua kwa nini? Yeye huwa anahamisha ile plumbing ya valve pale mbele na kuileta katikati ya chassis ili mlango ukae , anafanya hivo kwa sababu yeye zile gari ni mtumba, ukifanya hicho kwenye chassis mpya ya scania , wanafuta warranty yote , ndio sababu wenye akilinzao huwa hawa temper hiyo kitu , wanahamisha tu mlango na kuuleta Kati, Ottawa peke yake ndo alifanya hivo bila kuogopa mambo ya warranty .
Swali lako la f360 nilijua limekaa kimtego na nimekujibu kimtego vile vile , 95 inakuja Mara mbili f310 na f360 , ikiwa manual inakuwa na 6speed Kama zile Sauli. ikiwa opticruise inakuja na gia 12
P360 inakuja na gia 8 na 12 manual or opticruise
Situmii Google kwenye scania mkuu , ipo kichwani.
Sent
Mkuu una Kilimanjaro zinavishwa chasis gani na milango unaona daily ipo mbele bus kibao zina milango mbele icho sio kigezo cha f330 kusema ni lorry nimekuomba uniletee lorry f330 tuache kubishana hujaleta nimekuuliza f360 ina gia ngapi umesema 6 uko sure kuna opticruise ina gia 6??hata google haikukusaidia??
Mkuu..Nani kasema kwamba Kilimanjaro ana f330?? Iso izo 94 Kilimanjaro anaweka kwenye polo pia p series ambazo ni 95 za lorry, labda nikuelekeze vizuri f330 overhang yake ni ndogo sana pale mbele tyre za mbele ziko mbele zaidi ya 94, na nilikuambia nilikuambia pamoja na specification zake f330 bado ni special bus kama hutaki niletee f330 iliyo na kibin ya lorry tuache kubishana kama hauna basu jua f330 sio lorry usibishe kitu kilicho wazi, pili nilikuuliza straight kuhusu f360 na ulichojibu ndicho unachokifahamu hakuna mtego pale.
Nani kasema kwamba Kilimanjaro ana f330?? Iso izo 94 Kilimanjaro anaweka kwenye polo pia p series ambazo ni 95 za lorry, labda nikuelekeze vizuri f330 overhang yake ni ndogo sana pale mbele tyre za mbele ziko mbele zaidi ya 94, na nilikuambia nilikuambia pamoja na specification zake f330 bado ni special bus kama hutaki niletee f330 iliyo na kibin ya lorry tuache kubishana kama hauna basu jua f330 sio lorry usibishe kitu kilicho wazi, pili nilikuuliza straight kuhusu f360 na ulichojibu ndicho unachokifahamu hakuna mtego pale.
Kitendo tu cha kusema kuwa f330 Ina over hang ndogo tayari kajichanganya, Lori pekee inakuja na overhang ndogo ,kwa basi lazima tairi la mbele liwe nyuma ya dereva. Ni moja ya sababu f330 hazikuuzwa Kama basi ulayaMkuu..
Napenda tu mnavyobishana kwa point na facts, ila hapa mmh mmh..kama unakana kauli yako mwenyewe vile
Kitendo tu cha kusema kuwa f330 Ina over hang ndogo tayari kajichanganya, Lori pekee inakuja na overhang ndogo ,kwa basi lazima tairi la mbele liwe nyuma ya dereva. Ni moja ya sababu f330 hazikuuzwa Kama basi ulaya
Akiendelea nitamchambulia na kumtofautishia suspension systems za Lori amabazo f330 inatumia
Sent
Sikani nilichomaanisha Kilimanjaro anavisha chasis zq lorry sasa kama lorry zinakaa kwa mlango mbele nilikuwa najibu hoja ya kwamba f330 ni lorry ndio maana zina mlango kati.Mkuu..
Napenda tu mnavyobishana kwa point na facts, ila hapa mmh mmh..kama unakana kauli yako mwenyewe vile
Mkuu mm nakuambia jamaa anajichanganya yeye na wala si mm nakupa factLakini mkuu lory gani f330 ulishawahi kuona kweli
Nakukumbusha tuu ukiendelea msimamo wako wa OVERHANG fupi ni kwa malori hapo chini unitajie majina ya hayo mabasi kwenye picha mkuuKitendo tu cha kusema kuwa f330 Ina over hang ndogo tayari kajichanganya, Lori pekee inakuja na overhang ndogo ,kwa basi lazima tairi la mbele liwe nyuma ya dereva. Ni moja ya sababu f330 hazikuuzwa Kama basi ulaya
Akiendelea nitamchambulia na kumtofautishia suspension systems za Lori amabazo f330 inatumia
Sent
Achana na L series mkuu mwanza ipo p270 ni garbage truck ina overhanging ndefu balaaMkuu mm nakuambia jamaa anajichanganya yeye na wala si mm nakupa fact
Jamaa amesema kwamba overhang kuwa mbele tayari ni lorry namuuliza je anazijua scania L series?? Je anajua kwamba scania wanazo lorry zenye overhang ndefu nitaleta ushahidi.
Scania wameamua kutengeneza f330 kwa sababu zao na wameamua ziwe kwaajili ya bus tuu na si kubeba mizigo kwa sababu zao na mzungu sio mjinga ndio maana unaona hadi leo hakuna lorry ya f330 sasa anakuja mtu na sababu ambazo hazijashiba hatuwezi muelewa.
safi kabisa ili uelewe kinachoongelewa ni vema kwanza ukafahamu naming ya scania engines pamona na chassis zakeLakini mkuu lory gani f330 ulishawahi kuona kweli
nadhan ni matoleo ya karibuni haya.. ni vizuri kufanya hvNakukumbusha tuu ukiendelea msimamo wako wa OVERHANG fupi ni kwa malori hapo chini unitajie majina ya hayo mabasi kwenye picha mkuuView attachment 1493591View attachment 1493592View attachment 1493593View attachment 1493595View attachment 1493596View attachment 1493597
Unachozungumzia hapa ni kwamba f330 ndio iyo iyo 114-340?? Tuzungumzie f330 kama 330 mm nina amini hata engine head haziingiliani mkuu simama kwenye mada.safi kabisa ili uelewe kinachoongelewa ni vema kwanza ukafahamu naming ya scania engines pamona na chassis zake
series 1 hadi 3 walikuwa wana name uwezo wa engine kwanza , then series , aina ya chassis then kulikuwa horse power pembeni 113m 320 hapa ilikuwa 11 ni ujazo wa engine 3 ni series ,m ni medium duty chassis na 320ni horsepower
series 4 wali name kwa ujazo wa engine , then series then aina ya kazi gari iliyokuwa designed kufanya then horse powers, md 124l 400hp, 12 ni ujazo wa engine , 4 ni series L ni long haulage na 400 ni horsepower
ilipokuja series 5 , wakaamua Ku name kutokana na cabins pamoja na horsepower, ujazo wa engine kutoka hapo haukuzingatiwa tena, sababu kulikuwa na horsepower za aina moja kwa engine zaidi ya moja
mfano p360 p ni cabin ndogo na 360 ni horsepower, G ni cabin ya sleeper R ni sleeper ya double bed,T ni ile yenye bonnet, F ni kwa engine ya mbele bila cabin na k , ni kwa engine nyuma bila cabin.
F330 inayozungumziwa hapa ilitoka katika kipindi euro 3 ,specification zinaanza ku fade out. technically ilikuwa ni series 4 za mwishoni ndio sababu hata horsepower number hawakuzi round off , sababu ilikuwa named kwa principles za series 5 , nimetoa mfano hats hiyo 114 340 hp kwenye technical sheets haikuwa 340 hp wali round off kwa mbwebwe zao tu
hutaona lori imeandikwa F330 , for sure ila technical sheet ya 114 340 inaonesha ni 334 horsepower, 114 380 ni 370 horsepower kwenye sheet yake
Zpo kitambo ona hii series 5 ni za zamaninadhan ni matoleo ya karibuni haya.. ni vizuri kufanya hv
Swali langu nakuuliza je ulishaona 114 330 au 124 330 au 113 330 maana mimi ninachojua hizo walitoa kwa ajili bussafi kabisa ili uelewe kinachoongelewa ni vema kwanza ukafahamu naming ya scania engines pamona na chassis zake
series 1 hadi 3 walikuwa wana name uwezo wa engine kwanza , then series , aina ya chassis then kulikuwa horse power pembeni 113m 320 hapa ilikuwa 11 ni ujazo wa engine 3 ni series ,m ni medium duty chassis na 320ni horsepower
series 4 wali name kwa ujazo wa engine , then series then aina ya kazi gari iliyokuwa designed kufanya then horse powers, md 124l 400hp, 12 ni ujazo wa engine , 4 ni series L ni long haulage na 400 ni horsepower
ilipokuja series 5 , wakaamua Ku name kutokana na cabins pamoja na horsepower, ujazo wa engine kutoka hapo haukuzingatiwa tena, sababu kulikuwa na horsepower za aina moja kwa engine zaidi ya moja
mfano p360 p ni cabin ndogo na 360 ni horsepower, G ni cabin ya sleeper R ni sleeper ya double bed,T ni ile yenye bonnet, F ni kwa engine ya mbele bila cabin na k , ni kwa engine nyuma bila cabin.
F330 inayozungumziwa hapa ilitoka katika kipindi euro 3 ,specification zinaanza ku fade out. technically ilikuwa ni series 4 za mwishoni ndio sababu hata horsepower number hawakuzi round off , sababu ilikuwa named kwa principles za series 5 , nimetoa mfano hats hiyo 114 340 hp kwenye technical sheets haikuwa 340 hp wali round off kwa mbwebwe zao tu
hutaona lori imeandikwa F330 , for sure ila technical sheet ya 114 340 inaonesha ni 334 horsepower, 114 380 ni 370 horsepower kwenye sheet yake
Stress za maisha zinakuua , pambana na hali yako
114 hiyo ni engine ya bus ?? hili ni bus limeundwa hapa hapa
Yani bus ilambe wese wastan wa 0.42 per KM?? iwe mchina iwe bennz iwe nani hazili huo wastani , huo ni wastan wa gari za mizigo ,ni o.23 hadi 0.26
Mkuu mm nakuambia jamaa anajichanganya yeye na wala si mm nakupa fact
Jamaa amesema kwamba overhang kuwa fupi mbele tayari ni lorry namuuliza je anazijua scania L series?? Je anajua kwamba scania wanazo lorry zenye overhang ndefu nitaleta ushahidi.
Scania wameamua kutengeneza f330 kwa sababu zao na wameamua ziwe kwaajili ya bus tuu na si kubeba mizigo kwa sababu zao na mzungu sio mjinga ndio maana unaona hadi leo hakuna lorry ya f330 sasa anakuja mtu na sababu ambazo hazijashiba hatuwezi muelewa.
Mzee, bus uliyo endesha ni engine ya gari ya mizigo mmeweka wenyewe , mnatia 113,124 na 114, kimotco, osaka, kisbo na kampuni zinazo fanana na hizo hilo linajulikana ndio maana Oil consumption inaweza fika hadi 0.45 huko , tafuta manual book au peruz hapo mitandao ya hawa wanao zalisha haya mabus, hizi zinazokuja huku kwetu oil consumption zinarange 0.23 na 0.26