Mchana haepukiki ndugu. Unaweza kujikuta umevaa Mchina toka soksi mpaka kapelo. Kuangalia exports za China kwenda US za kuanzia computer hadi vifaa vya ujenzi utachoka.Mchina yule yule wa tecno, itel na infinix ndiye yule yule wa zhongtong, higher, youtong hajawahi kuwa serious kwenye kazi.
Basi kama lake linauzwa mil 900,yeye anaunda lake anauza ml 250, halafu mtu anakuja kubeza scania/ benz/ volvo si lolote si chochote, basi unamuangalia halafu unfanya ihiiiiiiiiiiiiiiiiiiii (kwa sauti ya magu).
Shida ni viwango,kanunue tshirt ya guchi ya kichina ya 20 elfu,mwingine anunua guchi daraja 3 kwa 70 elfu,kisha wote anzeni kuzivaa,miezi 3 wewe yako haitamaniki,kama ilikuwa nyeusi itakuwa imekuwa ya ugoro nk.Mchana haepukiki ndugu. Unaweza kujikuta umevaa Mchina toka soksi mpaka kapelo. Kuangalia exports za China kwenda US za kuanzia computer hadi vifaa vya ujenzi utachoka.
Replica inafanyika mkuu zipo replica mpaka za gemilang kwa modern ila gemilang kama gemilang wana asembly na inafanywa na AVA mombasa hao jamaa hawajihusishi na aina nyingine yoyote ya body ni gemilang tuu elewa nachokuambia futa unachokiamini ni cha uongo, gemilang ile face hata huko kenya gari ikigonga hawawezi irudishia ile sura ni gharama sana hapa bongo naona ndio kuna mafundi watundu ile rungwe waliirudishia ila angalia tashriff na burdan wameshindwa zirudishia sura halisi
Ndio ilikulana na fuso bus kama sikoseiMkuu samahani unaizungumzia ile Rungwe DNN iliyokula mzinga pale Iyovi?
Kama ndio yenyewe basi hao jamaa ni nyoko maana kila ukiicheki hujui kama ilikula mzinga tena uso kwa uso.
Ndio ilikulana na fuso bus kama sikosei
Ndio ilikulana na fuso bus kama sikosei
Ukupiga hesabu vizuri hutaona faida ya mchina ana gati modern sawa Ila hazidumuMchana haepukiki ndugu. Unaweza kujikuta umevaa Mchina toka soksi mpaka kapelo. Kuangalia exports za China kwenda US za kuanzia computer hadi vifaa vya ujenzi utachoka.
Yuotong za new force zilikuwa namba AX... HazikukaaaAcha uongo bhana unakumbuka newforce alikuwa na yutong injini nyuma? Na kuna kampuni iliitwa Tonda unaifahamu?? Zote zilikuwa Yutong hebu niambie zile gari zipo wapi kwasasa japo mabaki tu
Je naweza kununa howo au Sinotruck halafu nikavisha body ya bus?Ukupiga hesabu vizuri hutaona faida ya mchina ana gati modern sawa Ila hazidumu
Sent
Howo zenyewe hazina maisha , halafu Ni ghali pia kiufupi itakuwa ngumuJe naweza kununa howo au Sinotruck halafu nikavisha body ya bus?
Je ntakuwa nimepunguza gharama ukilingaisha na kununua YUTONG?
Una kumbuka vizuri mkuu!!Yuotong za new force zilikuwa namba AX... Hazikukaaa
Sent
Afu mkuu ile Majinja iliyoandikwa Volvo CSN hivi ile ni volvo kweli au jina tu boss?
Body volvo ila chasis ni scania 114 380
Sawa mkuu
Kilimanjaro amenunua body za dar lux marcopolo g7 asia star weichai katoa chasis za asiastar weichai katoa ameweka chasis ya scania p310
Howo inatumia cummis ni yale yale [emoji16][emoji16][emoji16]Je naweza kununa howo au Sinotruck halafu nikavisha body ya bus?
Je ntakuwa nimepunguza gharama ukilingaisha na kununua YUTONG?
Gari ni utunzaji wa tajiri mwenyewe tuu body za kichina ziko vizuri tatizo ni huko chini ndio hakufaiBivi mkuuu kinachofanya gari body iwe mkataba muda wote ni chasis au nini maana kama bidy atatumia za mchina inakuaje?