barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Zongtong ndio hizo za new force/ golden deer...Weka ka picha ka hizo basi za scania na Mercedes Benz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zongtong ndio hizo za new force/ golden deer...Weka ka picha ka hizo basi za scania na Mercedes Benz
Upo sahihi kabisa Mkuu namwambia tunatumia Scania kwa mazoea tuu ila unakua uhakika wa Safari hamna kwa sisi tukitoka huko tukaingia brand ingine baada ya kujichanga sana unashukuru Mungu leo anakuja mtu anakwambia Scania ni Bora kwa man hizo hiyo inapakia mzigo JHB uhakika wa kufika Dar labda igongwe lakini sio break down za ajabu ajabu Kama za Scania....ulipita bara bara ya kapiri mpaka Tunduma angalia vijana wanavyohangaika na Scania zao uzuri vitu vya kuunga unga wanapata popote ila sio truck ya uhakika kwa Safari...Shida ya huyu mwamba itakua amekariri kuhusu scania yeye kitu kingine hajui mimi nimetumia scania 113 mpaka hizi r420 g460 nimetumia benz kuanzia power liner mpaka hizi actros benz ni best truck hivyo
Mi binafsi napanda Mchina, ndani yako comfortable, space ya kutosha kwa mabasi ya seat za 2x2. Scania zenye hali nzuri kwa level ya mchina kwa sasa sidhani kama zipo za kutosha.... uko sahihi. Probability ya gari T 605 DTR kugombaniwa na abiria ni kubwa kuliko T 605 BXY hilo halina ubishi regardless of brand!
Hazina nguvu na sio imara kwa kazi za Afrika ingawaje zipo katika muonekano mzuri wanazitumia kusambazia mayai,nyama na makampuni ya kupeleka mizigo cargo airport na matunda kutoa Cape TownHazina nguvu au tatizo nini mpaka zikafeli.
Mkuu kwanza uelewe generation ya mwisho ya kudhibiti mwendo kwa mabasi Tanzania hakikuwa kifaa Cha kudhibiti mwendo Kama speed limiter , Bali Ni gps tracker ambayo imeunganishwa na software, dereva hadhibitiwi kwa maana ya basi eti litakata mwendo la , kinachofanyika ni kuwa mwendo Kasi na location lilipo basi , vyote vinaonekana in real time kwenye computer za Latra.Huwa sipendi kubishana na mtu huwa napendelea facts. Niko na facts wala sijaropoka, ulitaka Latra wakubali au mkubali kuwa hii kitu haipo tena? Nambie leo ni basi gani linatumia hio kitu? Hio corruption unayozungumzia ndio na mimi naizungumzia kuwa hii ilikua ni corrupt project ya watu. Uzuri huw anatumia speedometer kila nikisafiri kwa basi na niko na evidence, thi shsit doesnt exist tena.
Leo hii basi la kutoka Mbeya linafika Dar saa mbili usiku, la Mwanza saa tano hadio sita....niko na screeshots kibao mtu anatembea hadi 140km/hr usiku.
Zile body zake akazibadilishia chasis akaweka scania f95-270 zilikiwa 5Dar express zilimshinda miaka mingi iliyopita
Sent
Falcon volksbus zilimshida tena ilikuwa moja tuu ruti ya tarimeKenya kuna basi za Volkswagen na kuna kampuni moja Tanzania kama sikosei Friends au Falcon wanayo Volkswagen.
Hizo basi Volkswagen nazo zinakimbia sana Scania na Benz wanaweza wakasumbuliwa vizuri.
Vts bado zipo mkuu usidanganyike na story za kahawa kila kukicha watu wanafungiwa hukoHuwa sipendi kubishana na mtu huwa napendelea facts. Niko na facts wala sijaropoka, ulitaka Latra wakubali au mkubali kuwa hii kitu haipo tena? Nambie leo ni basi gani linatumia hio kitu? Hio corruption unayozungumzia ndio na mimi naizungumzia kuwa hii ilikua ni corrupt project ya watu. Uzuri huw anatumia speedometer kila nikisafiri kwa basi na niko na evidence, thi shsit doesnt exist tena.
Leo hii basi la kutoka Mbeya linafika Dar saa mbili usiku, la Mwanza saa tano hadio sita....niko na screeshots kibao mtu anatembea hadi 140km/hr usiku.
Acha kukariri mkuu tanzania matajiri wanaonunua scania mpya ni wachache sana wengi wananunua used alafu cha pili inategemea na muhusika anajali vipi gariUpo sahihi kabisa Mkuu namwambia tunatumia Scania kwa mazoea tuu ila unakua uhakika wa Safari hamna kwa sisi tukitoka huko tukaingia brand ingine baada ya kujichanga sana unashukuru Mungu leo anakuja mtu anakwambia Scania ni Bora kwa man hizo hiyo inapakia mzigo JHB uhakika wa kufika dar labda igongwe lakini sio break down za ajabu ajabu Kama za Scania....ulipita bara bara ya kapiri mpaka Tunduma angalia vijana wanavyohangaika na Scania zao uzuri vitu vya kuunga unga wanapata popote ila sio truck ya uhakika kwa Safari...
Sema mkuu huwa unamkubali sana mswedish upo kama brother E sub scn mwanza [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nitajie Mercedes yoyote unayoijua yenye torque Zaid ya 3000nm
We use torque to haul , Kama huna lolote unalolijua kuhusu torque then you are not serious haulier .
Mercedes zilivuma na jina tu na watu mnakariri , ni Kama vile, I phone...
Tubishane kwa facts sio history, sikatai Daimler zina mazuri yake , mfano fuel consumption, diff za uhakika etc , Ila usisifie nguvu kwa Benz, usisifie uimara pia , nipo kwenye kazi ambayo ni too demanding, Germany dogs Man na Mercedes they just don't last.Shida ya huyu mwamba itakua amekariri kuhusu scania yeye kitu kingine hajui mimi nimetumia scania 113 mpaka hizi r420 g460 nimetumia benz kuanzia power liner mpaka hizi actros benz ni best truck hivyo
Tena Kwanzia Prime mover mpaka Power trainShida ya huyu mwamba itakua amekariri kuhusu scania yeye kitu kingine hajui mimi nimetumia scania 113 mpaka hizi r420 g460 nimetumia benz kuanzia power liner mpaka hizi actros benz ni best truck hivyo
Hapana mkuu, Kyela Kuna Kyela Express, Rungwe, Majinja Special Na New Force Tu. Kwa Sasa Naona Rungwe Ndio Inayochana Geti Kila Siku Japo kipindi cha katikati hapo kipindi cha korona Kuna Dereva anaitwa Jose alikuwa naendesha Kyela Express Moja DHF alikuwa anachana geti la Mbeya, Hakuna Cha Sauli Wala Nini. Huyu Jose Keshachukua Pampu Yake kwa sasa yuko na SauliBujibuji hivi Sauli anaenda Kyela?
Hauko fair kwenye kulinganisha , ndo Mana unapata jibu unalolipenda , ukitaka kulinganisha utamu wa chungwa la muheza linganisha na chungwa la pwani , usilinganishe na nanasi la kiwangwa!Nazungumzia hizi tunazonunua na kuzitumia kila siku zilizopo Africa...kama Scania 124 R420 na series ya P zake kwa Man TGA 27.400 man tgs 18.330, Man TGA 35.400, Man TGS 26.480 au man TGS 26.480, man 27.440 ya 2015 au man TGA 26.410 hizi zote gari na hata Scania isiwe chini ya 2010 zote zicheze miaka inayokaribiana....man inapanda mlima na tano mzee
Haya nayafahamu ila nilidhani Saul naye katia timuHapana mkuu, Kyela Kuna Kyela Express, Rungwe, Majinja Special Na New Force Tu. Kwa Sasa Naona Rungwe Ndio Inayochana Geti Kila Siku Japo kipindi cha katikati hapo kipindi cha korona Kuna Dereva anaitwa Jose alikuwa naendesha Kyela Express Moja DHF alikuwa anachana geti la Mbeya, Hakuna Cha Sauli Wala Nini. Huyu Jose Keshachukua Pampu Yake kwa sasa yuko na sauli
IsangaUpo sahihi kabisa Mkuu namwambia tunatumia Scania kwa mazoea tuu ila unakua uhakika wa Safari hamna kwa sisi tukitoka huko tukaingia brand ingine baada ya kujichanga sana unashukuru Mungu leo anakuja mtu anakwambia Scania ni Bora kwa man hizo hiyo inapakia mzigo JHB uhakika wa kufika dar labda igongwe lakini sio break down za ajabu ajabu Kama za Scania....ulipita bara bara ya kapiri mpaka Tunduma angalia vijana wanavyohangaika na Scania zao uzuri vitu vya kuunga unga wanapata popote ila sio truck ya uhakika kwa Safari...
Afadhali unisaidie , Mana Kuna watu wamekariri Benz na sidhan wanajua mapungufu yake , wanyaruanda wanakula hasara za kutosha songea kwenye Actross na gari bado mpya kabisaZile body zake akazibadilishia chasis akaweka scania f95-270 zilikiwa 5
T121 CZB
T122 CZB
T580 CFP iliungua
T DCE
T DCN
Zote zilikuwa benzi zamani
haya nayafahamu ila nilidhani Saul naye katia timu
Mkuu upo updated Sana ,watu wanadanganyana na story zina trend kwa vitu ambavyo ni tofauti kabisa , just hear say, mtu anajenga hojaVts bado zipo mkuu usidanganyike na story za kahawa kila kukicha watu wanafungiwa huko
Ingawa kucheat nako kupo