t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Huko Israel unafanya trucking ?au unaziona tu zinapita ? Wana safari za umbali gani na mizigo ya uzito upi?Uache ungo na pia sio woote hawajui, nipo israel hapa nimwaka wa saba root zoote ndefu mpaka nje ya nchi hakuna bus zinazo aminika kama za kampuni ya benz. Huwaambii lolote kuhusu benze, wewe wa makongolosi unasema nini bwana??
Tunazungumzia uimara sio umaarufu,
Sent