Mabasi ya Ester Luxury coach yadaiwa kusafirisha milungi

Mabasi ya Ester Luxury coach yadaiwa kusafirisha milungi

Fred Mwakitundu

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
227
Reaction score
382
Kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa Kilimanjaro imemweka kiti moto mmiliki wa mabasi ya Ester Luxury Coach baaada ya mabasi yake kudaiwa kukubuhu katika biashara ya usafrishaji madawa ya kulevya aina ya milungi.

Mmiliki huyo alifika mbele ya kamati hiyo hivi karibuni iliyoketi chini ya mwenyekiti wake na ambaye ni mkuu wa mkoa wa kilimanjaro,Nurdin Hassan Babu kikao kilichofanyika jengo la ofisi ya mkuu wa mkoa wa kilimanjaro.

Habari za uhakika zilizodhibitishwa na mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo aliyeomba kutotajwa jina lake,zimetonya kuwa kuitwa na kuhojiwa kwa mmiliki huyo wa mabasi kumetokana na kuwepo kwa matukio ya mara kwa ya mabasi hayo kusafrisha madawa hayo ambayo kwa mujibu wa sheria za nchi yanaangukia kwenye madawa ya kulevya na anyepatikana na hatia adhabu yake ni kifungo cha maisha jela.

Hata hivyo mmiliki wa mabasi hayo (jina kapuni)licha ya kukiri kuitwa mbele ya kamati hiyo pamoja na mabasi yake kudaiwa kusafrisha madawa hayo,aliahidi kukutana na wanahabari kutolea ufafanuzi sakata hilo lakini akaingia mitini,

Taarifa zinatonya kuwa baada ya kuwekwa kiti moto alionywa kuacha mara moja biashara hiyo vinginevyo sheria itachukua mkondo wake ikiwamo kumfutia leseni ya usafrishaji abiria pamoja na kumfikisha mahakamani.

Hata hivyo baadhi ya watu wamehoji ni kwa nini vyombo vya uchunguzi visichukue hatua ya kuwakamata watumishi wa mabasi hayo na kuwafikisha makahamani pindi wanapokamatwa na mzigo badala ya kumbembeleza mwenye mali na kumuonya wakati huku mtaani polisi wamekuwa wakifukuzana na wauza milungi kila uchao.

Kazi kwenu vyombo vya uchunguzi,acheni ubaguzi kwenye matukio ya kijinai,sheria ing'ate kwa wakubwa na wadogo
 
Kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa Kilimanjaro imemweka kiti moto mmiliki wa mabasi ya Ester Luxury Coach baaada ya mabasi yake kudaiwa kukubuhu katika biashara ya usafrishaji madawa ya kulevya aina ya milungi.

Mmiliki huyo alifika mbele ya kamati hiyo hivi karibuni iliyoketi chini ya mwenyekiti wake na ambaye ni mkuu wa mkoa wa kilimanjaro,Nurdin Hassan Babu kikao kilichofanyika jengo la ofisi ya mkuu wa mkoa wa kilimanjaro.

Habari za uhakika zilizodhibitishwa na mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo aliyeomba kutotajwa jina lake,zimetonya kuwa kuitwa na kuhojiwa kwa mmiliki huyo wa mabasi kumetokana na kuwepo kwa matukio ya mara kwa ya mabasi hayo kusafrisha madawa hayo ambayo kwa mujibu wa sheria za nchi yanaangukia kwenye madawa ya kulevya na anyepatikana na hatia adhabu yake ni kifungo cha maisha jela.

Hata hivyo mmiliki wa mabasi hayo (jina kapuni)licha ya kukiri kuitwa mbele ya kamati hiyo pamoja na mabasi yake kudaiwa kusafrisha madawa hayo,aliahidi kukutana na wanahabari kutolea ufafanuzi sakata hilo lakini akaingia mitini,

Taarifa zinatonya kuwa baada ya kuwekwa kiti moto alionywa kuacha mara moja biashara hiyo vinginevyo sheria itachukua mkondo wake ikiwamo kumfutia leseni ya usafrishaji abiria pamoja na kumfikisha mahakamani.

Hata hivyo baadhi ya watu wamehoji ni kwa nini vyombo vya uchunguzi visichukue hatua ya kuwakamata watumishi wa mabasi hayo na kuwafikisha makahamani pindi wanapokamatwa na mzigo badala ya kumbembeleza mwenye mali na kumuonya wakati huku mtaani polisi wamekuwa wakifukuzana na wauza milungi kila uchao.

Kazi kwenu vyombo vya uchunguzi,acheni ubaguzi kwenye matukio ya kijinai,sheria ing'ate kwa wakubwa na wadogo
MKUU WA MKOA na kamati yake ya ulinzi na usalama ameandikwa wapi kwenye katiba kama chombo cha utoaji haki jinai ??????

Na Mkuu wa Mkoa na ofisi yake wana utaalam wa kuchunguza jinai ?

Na wanashughulikia na kuwajibika na jinai zote za mkoa au wanazojichagulia wenyewe ?

N hiyo kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa iko kwa sheria ipi ?
 
Ndo maana tuaambiwagwa tutafute pesa mnazan mnatukanwa ila ukwel ndo huo
Huwezi kumfunga mtu aliewekeza mabillion ya pesa na kaajiri watu kibao kisa madawa ya kulevya
Tujifunze kujua mwenye pesa sio mwenzio iwe Africa Ulaya ata Marekani
 
Habari za uhakika zilizodhibitishwa na mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo aliyeomba kutotajwa jina lake,zimetonya kuwa kuitwa na kuhojiwa kwa mmiliki huyo wa mabasi kumetokana na kuwepo kwa matukio ya mara kwa ya mabasi hayo kusafrisha madawa hayo ambayo kwa mujibu wa sheria za nchi yanaangukia kwenye madawa ya kulevya na anyepatikana na hatia adhabu yake ni kifungo cha maisha jela.
Ni tuhuma au wana ushahidi?
Kama ni kweli wameshindwa au wameogopa nini kuchukua hatua dhidi yake?
Kwani wengine wanakuwa treated vipi?
 
Duùuu basi sawa......wanasiasa hupenyeza mtaji kwa wafanyabiashara kwa makubaliano maalum na muda maalum ....Mabasi maatufu Dar songea walikuwa hisa supika2mstaafu mmoja
 
Kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa Kilimanjaro imemweka kiti moto mmiliki wa mabasi ya Ester Luxury Coach baaada ya mabasi yake kudaiwa kukubuhu katika biashara ya usafrishaji madawa ya kulevya aina ya milungi.

Mmiliki huyo alifika mbele ya kamati hiyo hivi karibuni iliyoketi chini ya mwenyekiti wake na ambaye ni mkuu wa mkoa wa kilimanjaro,Nurdin Hassan Babu kikao kilichofanyika jengo la ofisi ya mkuu wa mkoa wa kilimanjaro.

Habari za uhakika zilizodhibitishwa na mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo aliyeomba kutotajwa jina lake,zimetonya kuwa kuitwa na kuhojiwa kwa mmiliki huyo wa mabasi kumetokana na kuwepo kwa matukio ya mara kwa ya mabasi hayo kusafrisha madawa hayo ambayo kwa mujibu wa sheria za nchi yanaangukia kwenye madawa ya kulevya na anyepatikana na hatia adhabu yake ni kifungo cha maisha jela.

Hata hivyo mmiliki wa mabasi hayo (jina kapuni)licha ya kukiri kuitwa mbele ya kamati hiyo pamoja na mabasi yake kudaiwa kusafrisha madawa hayo,aliahidi kukutana na wanahabari kutolea ufafanuzi sakata hilo lakini akaingia mitini,

Taarifa zinatonya kuwa baada ya kuwekwa kiti moto alionywa kuacha mara moja biashara hiyo vinginevyo sheria itachukua mkondo wake ikiwamo kumfutia leseni ya usafrishaji abiria pamoja na kumfikisha mahakamani.

Hata hivyo baadhi ya watu wamehoji ni kwa nini vyombo vya uchunguzi visichukue hatua ya kuwakamata watumishi wa mabasi hayo na kuwafikisha makahamani pindi wanapokamatwa na mzigo badala ya kumbembeleza mwenye mali na kumuonya wakati huku mtaani polisi wamekuwa wakifukuzana na wauza milungi kila uchao.

Kazi kwenu vyombo vya uchunguzi,acheni ubaguzi kwenye matukio ya kijinai,sheria ing'ate kwa wakubwa na wadogo
TETESI ZINASEMA NI YA YULE WA SINGIDA MWENYE MIKOBA YA FEZA
 
Kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa Kilimanjaro imemweka kiti moto mmiliki wa mabasi ya Ester Luxury Coach baaada ya mabasi yake kudaiwa kukubuhu katika biashara ya usafrishaji madawa ya kulevya aina ya milungi.

Mmiliki huyo alifika mbele ya kamati hiyo hivi karibuni iliyoketi chini ya mwenyekiti wake na ambaye ni mkuu wa mkoa wa kilimanjaro,Nurdin Hassan Babu kikao kilichofanyika jengo la ofisi ya mkuu wa mkoa wa kilimanjaro.

Habari za uhakika zilizodhibitishwa na mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo aliyeomba kutotajwa jina lake,zimetonya kuwa kuitwa na kuhojiwa kwa mmiliki huyo wa mabasi kumetokana na kuwepo kwa matukio ya mara kwa ya mabasi hayo kusafrisha madawa hayo ambayo kwa mujibu wa sheria za nchi yanaangukia kwenye madawa ya kulevya na anyepatikana na hatia adhabu yake ni kifungo cha maisha jela.

Hata hivyo mmiliki wa mabasi hayo (jina kapuni)licha ya kukiri kuitwa mbele ya kamati hiyo pamoja na mabasi yake kudaiwa kusafrisha madawa hayo,aliahidi kukutana na wanahabari kutolea ufafanuzi sakata hilo lakini akaingia mitini,

Taarifa zinatonya kuwa baada ya kuwekwa kiti moto alionywa kuacha mara moja biashara hiyo vinginevyo sheria itachukua mkondo wake ikiwamo kumfutia leseni ya usafrishaji abiria pamoja na kumfikisha mahakamani.

Hata hivyo baadhi ya watu wamehoji ni kwa nini vyombo vya uchunguzi visichukue hatua ya kuwakamata watumishi wa mabasi hayo na kuwafikisha makahamani pindi wanapokamatwa na mzigo badala ya kumbembeleza mwenye mali na kumuonya wakati huku mtaani polisi wamekuwa wakifukuzana na wauza milungi kila uchao.

Kazi kwenu vyombo vya uchunguzi,acheni ubaguzi kwenye matukio ya kijinai,sheria ing'ate kwa wakubwa na wadogo
Hayo yatasafirisha hadi Wasomali hayakaguliwi
 
Kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa Kilimanjaro imemweka kiti moto mmiliki wa mabasi ya Ester Luxury Coach baaada ya mabasi yake kudaiwa kukubuhu katika biashara ya usafrishaji madawa ya kulevya aina ya milungi.

Mmiliki huyo alifika mbele ya kamati hiyo hivi karibuni iliyoketi chini ya mwenyekiti wake na ambaye ni mkuu wa mkoa wa kilimanjaro,Nurdin Hassan Babu kikao kilichofanyika jengo la ofisi ya mkuu wa mkoa wa kilimanjaro.

Habari za uhakika zilizodhibitishwa na mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo aliyeomba kutotajwa jina lake,zimetonya kuwa kuitwa na kuhojiwa kwa mmiliki huyo wa mabasi kumetokana na kuwepo kwa matukio ya mara kwa ya mabasi hayo kusafrisha madawa hayo ambayo kwa mujibu wa sheria za nchi yanaangukia kwenye madawa ya kulevya na anyepatikana na hatia adhabu yake ni kifungo cha maisha jela.

Hata hivyo mmiliki wa mabasi hayo (jina kapuni)licha ya kukiri kuitwa mbele ya kamati hiyo pamoja na mabasi yake kudaiwa kusafrisha madawa hayo,aliahidi kukutana na wanahabari kutolea ufafanuzi sakata hilo lakini akaingia mitini,

Taarifa zinatonya kuwa baada ya kuwekwa kiti moto alionywa kuacha mara moja biashara hiyo vinginevyo sheria itachukua mkondo wake ikiwamo kumfutia leseni ya usafrishaji abiria pamoja na kumfikisha mahakamani.

Hata hivyo baadhi ya watu wamehoji ni kwa nini vyombo vya uchunguzi visichukue hatua ya kuwakamata watumishi wa mabasi hayo na kuwafikisha makahamani pindi wanapokamatwa na mzigo badala ya kumbembeleza mwenye mali na kumuonya wakati huku mtaani polisi wamekuwa wakifukuzana na wauza milungi kila uchao.

Kazi kwenu vyombo vya uchunguzi,acheni ubaguzi kwenye matukio ya kijinai,sheria ing'ate kwa wakubwa na wadogo
Walize polisi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Esta safari Hii Kazi anayo

Wanavyosema hizo basi zinasafirisha mirungi ni yeye mmiliki au ni parcel wanazopokea na kusafirisha
 
Mirungi na Bange ni jamii ya mboga tu kuziweka kundi la madawa ya kulevya ni uvivu wa bongo zetu.
 
Ndo maana tuaambiwagwa tutafute pesa mnazan mnatukanwa ila ukwel ndo huo
Huwezi kumfunga mtu aliewekeza mabillion ya pesa na kaajiri watu kibao kisa madawa ya kulevya
Tujifunze kujua mwenye pesa sio mwenzio iwe Africa Ulaya ata Marekani
Kwa ulaya na marekani unaenda jela vizuri tu. Tena US wengi sana wamepigwa mvua za kutosha mfano billionaire Allen Stanford amepigwa jela miaka 110

US na Europe usicheze kabisa na kesi za aina hii, au za kodi
 
Back
Top Bottom