Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
Jamani mabus ya Hood yamefia wapi? Hood was the only competitor ya Abood and was going faster na pia was sharp wamefia wap? Abood mmewafanya nn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani mabus ya Hood yamefia wap? Hood was the only competitor ya Abood and was going faster na pia was sharp wamefia wap? Abood mmewafanya nn?
Kuna moja naliona pale mizani ya Kihangaiko limepaki karibia Mwka sasaJamani mabus ya Hood yamefia wapi? Hood was the only competitor ya Abood and was going faster na pia was sharp wamefia wap? Abood mmewafanya nn?
Ya ISLAM je? Dar MorogoroJamani mabus ya Hood yamefia wapi? Hood was the only competitor ya Abood and was going faster na pia was sharp wamefia wap? Abood mmewafanya nn?
Bila connections au uhusika wa vigogo, ku-survive ni ishu..!! Akina Superfeo/Selous ina mikono ya akina Jeni, Ana etcBila connections nchi hii hata Abood yasingekuwapo.
Angalia Shabiby pia. Hao wana rub shoulders na mawaziri wa sekta husika bungeni: mambo ya ndani na uchukuzi.
Magari yasumbuliwe vipi na wale mabingwa wa kubrashi viatu?
Kiswele na Kwacha.Ngorika, Bufallo, Sumry, Mombasa Raha, Mohamed Trans.
Bila connections au uhusika wa vigogo, ku-survive ni ishu..!! Akina Superfeo/Selous ina mikono ya akina Jeni, Ana etc
BORA HATA BUFFALO YAPO YAPO HUKU MOSHI NA BAADHI YANAKWENDA TPC.Ngorika, Bufallo, Sumry, Mombasa Raha, Mohamed Trans.
Dar-MoroJamani mabus ya Hood yamefia wapi? Hood was the only competitor ya Abood and was going faster na pia was sharp wamefia wap? Abood mmewafanya nn?
Mara ya mwisho kupanda Islam ilikuwa ni 2013Biashara ya mabasi ni izi come izi goo,ilikuwepo pia Islam
Ova
Sio kweli.Bila connections nchi hii hata Abood yasingekuwapo.
Angalia Shabiby pia. Hao wana rub shoulders na mawaziri wa sekta husika bungeni: mambo ya ndani na uchukuzi.
Magari yasumbuliwe vipi na wale mabingwa wa kubrashi viatu?
Dar express tu naona anataka kuachana na biashara hiziBORA HATA BUFFALO YAPO YAPO HUKU MOSHI NA BAADHI YANAKWENDA TPC.