Sasa yale ndiyo Hyundai, kampuni ya Korea. Ni Royal Coach, yaani hadhi ya kifalme kabisa. Team za Real Madrid, FC Barcelona, Man U na National Team nyingi hutumia mabasi hayo. Yako poa sana.Ndugu zangu kuna mabasi ya vilabu wanayopanda wachezaji mfno Arsenal, man u,n.k,je Yale kampuni gani ni mapana marefu na mazuri sana
Ama kuhusu mada, mabasi ya Higer ni mazuri sana tena sana kuliko Yutong.
Kwa walio wahi kusafiri kwenda Mtwara kwa mfano, Machinga Bus zake zote ni Higer. Ubora sina uhakika ila speed yake wenyewe wanadai inapepea zaidi ya Yutong Buses.
Pia nimeshawahi kupanda Golden Dragon, nazo ziko vizuri ndani kwani ukiwa na smartphone, huna shida ya kuchaji ukiwa safarini. Ninewahi kupanda gari hizo wakati naenda Lindi kikazi,mabasi ya kampuni moja Millenium Coach.
Scania kwa kweli za bodi ya Marcopolo hazishikiki, ni more than 1bn/-,hiyo hela ni ndefu sana!