Mabasi ya kutumia umeme hayafai kwenye majiji yetu, majiji si makubwa na vituo vipo karibukaribu

Mabasi ya kutumia umeme hayafai kwenye majiji yetu, majiji si makubwa na vituo vipo karibukaribu

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Mabasi ya kutumia umeme hayafai kwenye majiji yetu,majiji sio makubwa vituo vya mabasi viko karibu karibu hayana ukubwa kivile.

Mfano ndege ya Boeing haiweze ruka Dar to Zanzibar injini itaharibika sababu Dar to Zanzibar kwa Ndege ya Boeing ni dakika saba ina maana ikianza tu kuruka angani rubani kabla haijatengemaa na kukaa sawa mruko inabidi aweke gia ya kushusha chini hiyo route inafaa ndege ndogo tu

Mabasi ya umeme majiji yetu madogo yataharibika sababu mwendo wao sio wa kitoto hebu fikiria unapanda mwendo kasi ferry dar kituo kinachofuata ni posta ya zamani,dereva anaondoa basi kituo kinachofuata ni pale posta ya zamani mbele pale watu wanapanda meli kwenda zanzibar ukitoka pale aluwashe tena kituo kinachofuata kisutu. Akiwasha tena mbio kituo kinachofuata zimamoto!!!

Hayo mabasi yanafaa route ndefu ni kama tu treni za uneme

Umeme wetu pia wa kudunduliza Tanesco hopeless kabisa Tanesco pekee wangeweza kuendesha bajeti yote ya serikali na bandari tu

Lakini hawajielewi kabisa hopeless. Nilisika hadi mkurugenzi wa TRC akisema watakuwa na umeme wao wa kuendesha SGR! Hawatategemea TANESCO.

Kwa Tanzania shirika namba moja kwa u hopeless ni Tanesco halina ushindani lakini bado performance almost zero
 
Mabasi ya kutumia umeme hayafai kwenye majiji yetu,majiji sio makubwa vituo vya mabasi viko karibu karibu hayana ukubwa kivile

Mfano ndege ya Boeing haiweze ruka Dar to Zanzibar injini itaharibika sababu Dar to Zanzibar kwa Ndege ya Boeing ni dakika saba ina maana ikianza tu kuruka angani rubani kabla haijatengemaa na kukaa sawa mruko inabidi aweke gia ya kushusha chini hiyo route inafaa ndege ndogo tu...
Umeandika kwa jazba tu IL waachie wataalamu wakusaidie. Kwa taatifa yako by 2050, Dar es Salaam itakuwa ni moja ya megacities 70 duniani. Megacity ni majiji yanayokaliwa na watu zaidi ya 10 Million. Dar itakuwa na 15 Million.

Kama tutatumia akili yako sijui mwaka 2050 tutakuwa Taifa la namna gani
 
Mabasi ya kutumia umeme hayafai kwenye majiji yetu,majiji sio makubwa vituo vya mabasi viko karibu karibu hayana ukubwa kivile

Mfano ndege ya Boeing haiweze ruka Dar to Zanzibar injini itaharibika sababu Dar to Zanzibar kwa Ndege ya Boeing ni dakika saba ina maana ikianza tu kuruka angani rubani kabla haijatengemaa na kukaa sawa mruko inabidi aweke gia ya kushusha chini hiyo route inafaa ndege ndogo tu

Mabasi ya umeme majiji yetu madogo yataharibika sababu mwendo wao sio wa kitoto hebu fikiria unapanda mwendo kasi ferry dar kituo kinachofuata ni posta ya zamani,dereva anaondoa basi kituo kinachofuata ni pale posta ya zamani mbele pale watu wanapanda meli kwenda zanzibar ukitoka pale aluwashe tena kituo kinachofuata kisutu!! Akiwasha tena mbio kituo kinachofuata zimamoto!!!

Hayo mabasi yanafaa route ndefu ni kama tu treni za uneme

Umeme wetu pia wa kudunduliza Tanesco hopeless kabisa Tanesco pekee wabgeweza kuendesha bajeti yote ya serikali na bandari tu

Lakini hawajielewi kabisa hopeless.Nilisika hadi mkurugenzi wa TRC akisema watakuwa na umeme wao wa kuendesha SGR!! Hawatategemea TANESCO

Kwa Tanzania shirika namba moja kwa u hopeless ni Tanesco halina ushindani lakini bado performance almost zero
Mkuu hapa kweli au ni uelewa wako huo. ..!?

Kwanza kusema Boeing haiwezi kuruka between Dar na ZNZ kwamba itaharibika hilo siyo kweli. Labda kwa sababu nyingine ..... Enzi za Air Tanzania Ndege ilikuwa inatoka JHB inatua ZNZ halafu inakwenda Dar .... Binafsi nimepitia hiyo trip kama mara nne. Na nilishawahi kuitime na ilichukua 12 minutes from take off to landing.

Kuhusu vituo kuwa karibu karibu hilo kama ni tatizo then vituo vya Tram vinaweza kubadilishwa kuwa tofauti na vya mabasi. Lakini kwa tram binafsi sijaona vituo vya mbalimbali kama unavyosuggest. Vingi viko karibu karibu. Actually, vituo vya train ndiyo viko mbalibali zaidi kuliko vya Tram.

Halafu jiji la Dar ni kubwa sana kwa eneo kuliko majiji mengi .... Mfano kutoka Bunju mpaka ufike Pugu ni kama km 50. Majiji machache hata Ulaya yenye umali kama huo.
 
Ingawa nazo ni ndoto mama alikuwa anaongelea TRAMS
1645448993565.png

Na sio hizo Supersonic Trains unazosiongelea wewe (kwahio ili twende sawa badilisha kidogo content yako sababu inaongelea wrong premises)
 
Mabasi ya kutumia umeme hayafai kwenye majiji yetu,majiji sio makubwa vituo vya mabasi viko karibu karibu hayana ukubwa kivile

Mfano ndege ya Boeing haiweze ruka Dar to Zanzibar injini itaharibika sababu Dar to Zanzibar kwa Ndege ya Boeing ni dakika saba ina maana ikianza tu kuruka angani rubani kabla haijatengemaa na kukaa sawa mruko inabidi aweke...
Mama alizungumzia Tramer ambazo huq hazina speed ya kivile

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Mabasi ya kutumia umeme hayafai kwenye majiji yetu,majiji sio makubwa vituo vya mabasi viko karibu karibu hayana ukubwa kivile

Mfano ndege ya Boeing haiweze ruka Dar to Zanzibar injini itaharibika sababu Dar to Zanzibar kwa Ndege ya Boeing ni dakika saba ina maana ikianza tu kuruka angani rubani kabla haijatengemaa na kukaa sawa mruko inabidi aweke gia ya kushusha chini hiyo route inafaa ndege ndogo...
Unateseka ukiwa wapi?
 
Mabasi ya kutumia umeme hayafai kwenye majiji yetu,majiji sio makubwa vituo vya mabasi viko karibu karibu hayana ukubwa kivile

Mfano ndege ya Boeing haiweze ruka Dar to Zanzibar injini itaharibika sababu Dar to Zanzibar kwa Ndege ya Boeing ni dakika saba ina maana ikianza tu kuruka angani rubani kabla haijatengemaa na kukaa sawa mruko inabidi aweke gia ya kushusha chini hiyo route inafaa ndege ndogo tu

Mabasi ya umeme majiji yetu madogo yataharibika sababu mwendo wao sio wa kitoto hebu fikiria unapanda mwendo kasi ferry dar kituo kinachofuata ni posta ya zamani,dereva anaondoa basi kituo kinachofuata ni pale posta ya zamani mbele pale watu wanapanda meli kwenda zanzibar ukitoka pale aluwashe tena kituo kinachofuata kisutu!! Akiwasha tena mbio kituo kinachofuata zimamoto!!!

Hayo mabasi yanafaa route ndefu ni kama tu treni za uneme

Umeme wetu pia wa kudunduliza Tanesco hopeless kabisa Tanesco pekee wabgeweza kuendesha bajeti yote ya serikali na bandari tu

Lakini hawajielewi kabisa hopeless.Nilisika hadi mkurugenzi wa TRC akisema watakuwa na umeme wao wa kuendesha SGR!! Hawatategemea TANESCO

Kwa Tanzania shirika namba moja kwa u hopeless ni Tanesco halina ushindani lakini bado performance almost zero
Hapa umechanganya mambo.
Umeandika points na uzushi.
Nadhani huna exposure kwenye nchi za ulaya na Amerika.

Ngoja nikupe ufahamu kidogo, maana nina exposure katika kuzitumia hizo treni/mabasi ya mjini ya umeme (tram)

Kwanza hizi tram zinakwenda mwendo wa kawaida au taratibu, kasi ya juu kabisa unaweza kukuta ni 30km/hour. Hazina tofauti yoyote na daladala katika kufanya kazi zake, tofauti ni kuwa zimetengenezewa miundo mbinu yake ya reli (kwenye ardhi) na nyaya (angani).

Wenzetu huko ulaya na marekani walibuni hizo vitu na kuziweka mjini ili kupunguza msongamano wa magari, kupunguza uchafuzi wa mazingira kutokana na hewa ya ukaa, kelele na gharama.

Tatizo kubwa katika hapa Tanzania ni hili..
1. Umeme usiokuwa na uhakika.
2. Miji isiyokubali kupangika.
3. Vurumai za shughuli za mijini.


Note:
Wakati Chuo cha UDOM kinajengwa kilitakiwa kuwa na miundo mbinu ya treni za kuweza kuzunguka kwenye campus zake zote, na michoro ilionyesha hivyo (na pesa huenda ilitolewa lakini wajanja wakapiga na wajinga tukaa kimya), hapo ndipo pangekuwa sehemu rahisi na bora ya kuanzia kuweka hii miundo mbinu ya tram.
 
Mabasi ya kutumia umeme hayafai kwenye majiji yetu,majiji sio makubwa vituo vya mabasi viko karibu karibu hayana ukubwa kivile

Mfano ndege ya Boeing haiweze ruka Dar to Zanzibar injini itaharibika sababu Dar to Zanzibar kwa Ndege ya Boeing ni dakika saba ina maana ikianza tu kuruka angani rubani kabla haijatengemaa na kukaa sawa mruko inabidi aweke gia ya kushusha chini hiyo route inafaa ndege ndogo tu...
Akili fupi sana hizi mkuu.

Jaribu kuongea vitu ambavyo una utaalamu navyo
 
Mabasi ya kutumia umeme hayafai kwenye majiji yetu,majiji sio makubwa vituo vya mabasi viko karibu karibu hayana ukubwa kivile

Mfano ndege ya Boeing haiweze ruka Dar to Zanzibar injini itaharibika sababu Dar to Zanzibar kwa Ndege ya Boeing ni dakika saba ina maana ikianza tu kuruka angani rubani kabla haijatengemaa na kukaa sawa mruko inabidi aweke gia ya kushusha chini hiyo route inafaa ndege ndogo tu....
Kichwili cha Mswanga ni noma, sijui ni bulu la Malawi 🇲🇼?
 
Sasa kwani unafikiri ulaya vituo vipo mbali[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu mnaongea mambo msiyoyajua
 
Mabasi ya umeme majiji yetu madogo yataharibika sababu mwendo wao sio wa kitoto

Mkuu unayafahamu kweli mabasi ya umeme? Au umeandika bila kufanya research...

Mabasi ya umeme yana speed ya kawaida tu kama magari yanayotumia diesel haya tuliyoyazoea...

Na kawaida hata umeme ukikata huwa yanakuwa na extra stored charge ambayo huyafanya yatembee kwenda kupark karakana...
 
Mimi nilipanda tokea Dsm ikatua Znz afu Muscat

Sent using Jamii Forums mobile app
Wataalamu wa ndege kubwa njooni huku mjibu Dakika saba Boeing yaweza ruka straight Dar to Zanzibar bila kuzurura angani kuipa momentum kabla kutua?
Hapa umechanganya mambo.
Umeandika points na uzushi.
Nadhani huna exposure kwenye nchi za ulaya na Amerika...
Kwa hiyo kinachoongelewa sio mabasi ni train kama za Mwakyembe ambazo Dar zipo ila hizo tofauti yake zinakuwa na nyaya za umeme juu ni treni daladala za mjni sio mabasi yanayotumia umeme .Asante kwa ufafanuzi
 
Back
Top Bottom