Mabasi ya kutumia umeme hayafai kwenye majiji yetu, majiji si makubwa na vituo vipo karibukaribu

Mabasi ya kutumia umeme hayafai kwenye majiji yetu, majiji si makubwa na vituo vipo karibukaribu

Mabasi ya kutumia umeme hayafai kwenye majiji yetu,majiji sio makubwa vituo vya mabasi viko karibu karibu hayana ukubwa kivile.

Mfano ndege ya Boeing haiweze ruka Dar to Zanzibar injini itaharibika sababu Dar to Zanzibar kwa Ndege ya Boeing ni dakika saba ina maana ikianza tu kuruka angani rubani kabla haijatengemaa na kukaa sawa mruko inabidi aweke gia ya kushusha chini hiyo route inafaa ndege ndogo tu

Mabasi ya umeme majiji yetu madogo yataharibika sababu mwendo wao sio wa kitoto hebu fikiria unapanda mwendo kasi ferry dar kituo kinachofuata ni posta ya zamani,dereva anaondoa basi kituo kinachofuata ni pale posta ya zamani mbele pale watu wanapanda meli kwenda zanzibar ukitoka pale aluwashe tena kituo kinachofuata kisutu. Akiwasha tena mbio kituo kinachofuata zimamoto!!!

Hayo mabasi yanafaa route ndefu ni kama tu treni za uneme

Umeme wetu pia wa kudunduliza Tanesco hopeless kabisa Tanesco pekee wangeweza kuendesha bajeti yote ya serikali na bandari tu

Lakini hawajielewi kabisa hopeless. Nilisika hadi mkurugenzi wa TRC akisema watakuwa na umeme wao wa kuendesha SGR! Hawatategemea TANESCO.

Kwa Tanzania shirika namba moja kwa u hopeless ni Tanesco halina ushindani lakini bado performance almost zero
Vice versa is True, Mabasi ya umeme hayana uwezo wa kupiga Route ndefu inabidi yachajiwe. Hivyo route ndogo ndogo ndio zinafaa.
 
Vice versa is True, Mabasi ya umeme hayana uwezo wa kupiga Route ndefu inabidi yachajiwe. Hivyo route ndogo ndogo ndio zinafaa.
Ok shukrani hii mada nilianzisha kusudi nadhani wakija hao wafaransa kujadili hilo kwa michango iliyomo humu watu wa serikali watakuwa walau wana clue what it is what na waandishi wa habari watakuwa wanajua what it is what na general public itakuwa inajua what is what .Misconception nyingi wadau mumechangia vizuri mno mume zi clear
 
Mabasi ya kutumia umeme hayafai kwenye majiji yetu,majiji sio makubwa vituo vya mabasi viko karibu karibu hayana ukubwa kivile.

Mfano ndege ya Boeing haiweze ruka Dar to Zanzibar injini itaharibika sababu Dar to Zanzibar kwa Ndege ya Boeing ni dakika saba ina maana ikianza tu kuruka angani rubani kabla haijatengemaa na kukaa sawa mruko inabidi aweke gia ya kushusha chini hiyo route inafaa ndege ndogo tu

Mabasi ya umeme majiji yetu madogo yataharibika sababu mwendo wao sio wa kitoto hebu fikiria unapanda mwendo kasi ferry dar kituo kinachofuata ni posta ya zamani,dereva anaondoa basi kituo kinachofuata ni pale posta ya zamani mbele pale watu wanapanda meli kwenda zanzibar ukitoka pale aluwashe tena kituo kinachofuata kisutu. Akiwasha tena mbio kituo kinachofuata zimamoto!!!

Hayo mabasi yanafaa route ndefu ni kama tu treni za uneme

Umeme wetu pia wa kudunduliza Tanesco hopeless kabisa Tanesco pekee wangeweza kuendesha bajeti yote ya serikali na bandari tu

Lakini hawajielewi kabisa hopeless. Nilisika hadi mkurugenzi wa TRC akisema watakuwa na umeme wao wa kuendesha SGR! Hawatategemea TANESCO.

Kwa Tanzania shirika namba moja kwa u hopeless ni Tanesco halina ushindani lakini bado performance almost zero
Sema umeme tu ndio utakorogisha kutokana na Umeme wetu. Lakini mabasi ya umeme havihusiani na Urefu ama ufupi wa route zake.
Ni mabasi tu ya.Mjini kama ya 'Mwendo Kasi'.
Hata kule kwenyewe yanakotumika ni Mabasi ya route za mjini tu, sio route mdefu za mikoani!
Zungumzia Umemw tu.
 
Back
Top Bottom