Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Oooh vipi wangeandama huko huko ili kuonesha ukubwa wa hojaTofauti sana , CCM wanasomba watu kwa magari ya bure , hawa wamejilipia wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooh vipi wangeandama huko huko ili kuonesha ukubwa wa hojaTofauti sana , CCM wanasomba watu kwa magari ya bure , hawa wamejilipia wenyewe
Kwanini hao wanachama wasiandamane mikoani kwao?Taarifa zilizotufikia hivi punde zinadokeza kwamba, baadhi ya Mabasi ya Mikoani yaliyokodiwa na Wanachama wa CHADEMA waliojitolea kushiriki Maandamano ya Amani, yaliyopangwa kufanyika Dar es salaam January 24 yamepangwa kuhujumiwa kwa kusingiziwa makosa haya na yale.
Zaidi ya Mabasi 100 yanadaiwa kukodiwa na Wanachama wa Chadema Nchi Nzima kwa ajili ya kupeleka Wanachama Dar es Salaam kushiriki Maandamano.
Natoa wito kwa LATRA kutojiingiza kwenye mambo ya siasa , wajikite katika masuala yanayowahusu tu .
Kwanini wasiandame huko kigoma na katavi?Kutoka Kigoma , Katavi , Tabora , Nachingwea nk wanafikaje Dar ?
Chama chao kilieleza kwamba Maandamano hayo yataishia ofisi za UN , So how you walk on foot from Katavi , Kyela , Nachingwea , Ukerewe etc to reach UN office in Dar es Salaam ?Oooh vipi wangeandama huko huko ili kuonesha ukubwa wa hoja
Ooh sawa mie nilijua ni nchi nzima..dar wanaandamana na mikoani wanaandamana...ili kuwapagawisha vzrChama chao kilieleza kwamba Maandamano hayo yataishia ofisi za UN , So how you walk on foot from Katavi , Kyela , Nachingwea , Ukerewe etc to reach UN office in Dar es Salaam ?
Kimya kimefanyika muda mrefu.Na yaache yawe.Huu ni ujinga, haikupaswa kukodi mabasi bali waondoke kimya kimya
Nasubiri jibu.Chama chao kilieleza kwamba Maandamano hayo yataishia ofisi za UN , So how you walk on foot from Katavi , Kyela , Nachingwea , Ukerewe etc to reach UN office in Dar es Salaam ?
Hata mimiNasubiri jibu.
Acha kuhamisha magoli!! Umeona maandamano yamepuuzwa mnatafuta sababu za kijingaTaarifa zilizotufikia hivi punde zinadokeza kwamba, baadhi ya Mabasi ya Mikoani yaliyokodiwa na Wanachama wa CHADEMA waliojitolea kushiriki Maandamano ya Amani, yaliyopangwa kufanyika Dar es salaam January 24 yamepangwa kuhujumiwa kwa kusingiziwa makosa haya na yale.
Zaidi ya Mabasi 100 yanadaiwa kukodiwa na Wanachama wa Chadema Nchi Nzima kwa ajili ya kupeleka Wanachama Dar es Salaam kushiriki Maandamano.
Natoa wito kwa LATRA kutojiingiza kwenye mambo ya siasa , wajikite katika masuala yanayowahusu tu .
Abiria wengine wanafikaje Dar? Wewe na Mwenyekiti wako ni matapeli wakubwaKutoka Kigoma , Katavi , Tabora , Nachingwea nk wanafikaje Dar ?
mkuu chadema wataandama kuelekea makao makuu ya UN...vipi kuna makao makuu nyingine ya UN ndani ya hii Tz tofauti na hii ya Dsm?Maandamano huwa yanafanyika kila mmoja na eneo lake hilo lenu ni kongamano la vikoba kwenda kugawana gawio hospital ya muhimbili na mwananyamala moi kitengo cha mifupa ondoeni wagonjwa waliopata nafuu tupokee wapya!
Ndege wa chama,nyara ya chama ni hatia kumhujumu,hukumu yake miaka 40 jela na viboko 12,chonde chonde wale ndugu wakamataji wa njiani jiepusheni na hatia hiyo.
Watalipiwa ndege,hivyo usihofu.Abiria wengine wanafikaje Dar? Wewe na Mwenyekiti wako ni matapeli wakubwa
Maandamano yamepangwa yafanyike Dar kwa sababu Mabalozi wa Nchi za Magharibi na Mashariki wako Dar.Kwanini wasiandame huko kigoma na katavi?
Wengi wa wamiliki wa mabasi hayo wanadaiwa kodi TRA, kwa nini wasikamatwe?Taarifa zilizotufikia hivi punde zinadokeza kwamba, baadhi ya Mabasi ya Mikoani yaliyokodiwa na Wanachama wa CHADEMA waliojitolea kushiriki Maandamano ya Amani, yaliyopangwa kufanyika Dar es salaam January 24 yamepangwa kuhujumiwa kwa kusingiziwa makosa haya na yale.
Zaidi ya Mabasi 100 yanadaiwa kukodiwa na Wanachama wa Chadema Nchi Nzima kwa ajili ya kupeleka Wanachama Dar es Salaam kushiriki Maandamano.
Natoa wito kwa LATRA kutojiingiza kwenye mambo ya siasa , wajikite katika masuala yanayowahusu tu .
Kwani mnafanya maandamano kwa ajili ya mabalozi au watanzaniaMaandamano yamepangwa yafanyike Dar kwa sababu Mabalozi wa Nchi za Magharibi na Mashariki wako Dar.
Huko Meatu nani ataona malalamiko yetu.
Lengo kuu ni CCM wakileta ubishi misaada ikatwe.
Watanzania na Mabalozi, wewe hujiulizi Ikulu ya kwanza Tanzania iko wapi.Kwani mnafanya maandamano kwa ajili ya mabalozi au watanzania
Ipo DodomaWatanzania na Mabalozi, wewe hujiulizi Ikulu ya kwanza Tanzania iko wapi.