Mabasi yote ya mkoani yamezuiwa hapa Kibaha Stendi, foleni sijawahi kuona na hatujui hata sababu

Mabasi yote ya mkoani yamezuiwa hapa Kibaha Stendi, foleni sijawahi kuona na hatujui hata sababu

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Mabasi yote ya mkoa tupo Kibaha hapa, foleni ni kubwa mno hatujui hata sababu.

Tupo tumekaa tu kwenye magari. Tunaomba msaada vyombo husika, watu tunaenda mbali jamani.
 
Sauli ndio iko mbele pale yaaani hakuna gari ata moja imepita tumekaa tu sijui kuna mkutano, labda anakuja kiongozi kitusalimia na kututakia safari njema.

Mamlaka tunaomba msaada.
 
Mabasi yote ya mkoa tupo Kibaha hapa, foleni ni kubwa mno hatujui hata sababu.

Tupo tumekaa tu kwenye magari. Tunaomba msaada vyombo husika, watu tunaenda mbali jamani.
Pole nadhani trafiki wapo. Waulize, kuwa na courage ya kuwa approach!
 
Shuka kwenye gari mfuate askari yoyote kuna operation gani inaemdelea hapo? Atakujibu. Au na wewe ni kama UMUGHAKA GENTAMYCINE, unawaogopa askari, hata wale mambo ukiwaona unajificha?
Mh! ngoja niacha comment yangu maana nakuonaga kwa mbali kama mtu wa busara hapa JF, sasa hili sijui niliweke wapi
 
Mabasi yote ya mkoa tupo Kibaha hapa, foleni ni kubwa mno hatujui hata sababu.

Tupo tumekaa tu kwenye magari. Tunaomba msaada vyombo husika, watu tunaenda mbali jamani.
Nini kimetokea!
 
Back
Top Bottom