Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sehemu Gani nimechukua juzi Dodoma, Alaf gauge 28 bei ni 46500 ya 3m nahemea juu juu nilichukua bati 165Ok shukrani. Vip bei yake
Bati zimepanda sana. Hiyo ni Covermax au maxcover?Upo sehemu Gani nimechukua juzi Dodoma, Alaf gauge 28 bei ni 46500 ya 3m nahemea juu juu nilichukua bati 165
Covermax . Tena hapo Kuna Kijana mwingine wa hovyo alinambia. 51kBati zimepanda sana. Hiyo ni Covermax au maxcover
Ukienda kiwandani wanakupa best price maana hata idadi uliyohitaji ilikuwa kubwa. Ni rangi gani ulichagua mkuu? Charcoal grey?Covermax . Tena hapo Kuna Kijana mwingine wa hovyo alinambia. 51k
Eneo la Dodoma mitaa inarangi zake eti za bati🤣🤣 Tulichukua Maroon .Ukienda kiwandani wanakupa best price maana hata idadi uliyohitaji ilikuwa kubwa. Ni rangi gani ulichagua mkuu? Charcoal grey?
AiseeEneo la Dodoma mitaa inarangi zake eti za bati🤣🤣 Tulichukua Maroon .
Nenda ALAF Ltd, huko kwingine utajutia ni suala la muda t
Ando ni zaidi ya AlafNenda ALAF Ltd, huko kwingine utajutia ni suala la muda tu
Isake Alaf ilipo.Naomba ufafanuzi kwa wazoefu juu ya Mabati kwaajili ya kuezeka nyumba. Ni mabati gani ambayo ni bora zaidi ambayo hayana changamoto za kupauka na gharama zake. Maana sasa hivi viwanda ni vingi sana na kila mtu anavutia kwake.
ALAF njoo inbox nikupatie bidhaa toka kiwandaniNaomba ufafanuzi kwa wazoefu juu ya Mabati kwaajili ya kuezeka nyumba. Ni mabati gani ambayo ni bora zaidi ambayo hayana changamoto za kupauka na gharama zake. Maana sasa hivi viwanda ni vingi sana na kila mtu anavutia kwake.
Tunaweza kuwasiliana kama hutojali via whatsappALAF njoo inbox nikupatie bidhaa toka kiwandani
Unapatikana mkoa gani?Tunaweza kuwasiliana kama hutojali via whatsapp
kumbe wanakata hadi mita 12 vipi kuhusu kofia walikukatia ndefu?Tahadhari Ogopeni matapeli wanaojiita mawakala, wengi wao siyo waaminifu, wanachanganya bati za kampuni tofauti tofauti halafu wanakuizia bei kubwa km bati za ALAF.
Kwa uzoefu wangu km nyumba yako ni kubwa na unahitaji bati nyingi bora uende kiwandani mwenyewe.
Siri ni moja tu waliyoniambia ALAF kipindi nanunua kiwandani kwao, walisema bati lao original lina mhuri wa moto, na kweli bati zote nilizobeba pale zilikuwa na mhuri wa moto, Toka 2020 Dec hadi Leo watu wanapita wanashangaa hayapauki, utafikiri nimeweka jana. Ila kwa bei ndo habari nyingine, ukizingtia nilichukua yale ya muundo wa vigae, na ubebaji wake nilitumia semi maana kulikuwa na marefu hadi mita 12 na point. Ila namshukuru sana Mungu mambo siyo mabaya