Halafu kaka sio km hatuwez kuwazuia japo kidogo.Kuna asilimia flani kuwazuia tunaweza kwasababu sio kwamba Tz hatuna madaktari wabobezi(super specialists) bali hao wabobezi walikua hawapewi kipaumbele toka enzi za Jakaya.
Ila ability tunayo japokuwa wao wametuzidi.
Ila ability tunayo japokuwa wao wametuzidi.
Kweli kuwazuia hatuwez lakn ni bora wafanye hzo njia zingne tufe tukijua wabaya wetu kuliko kutufanya sis as human expperiment huku wananchi wakipofushwa kuwa wanasaidiwa