Fukua
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 546
- 479
Huyu aliyeanzisha hii mada siku chache kabla ya kifo Cha aliyekuwa rais wa awam ya 5 mh. JPM ilibidi achunguzwe kabisa... unaanzisha hii post yuko ICU!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu aliyeanzisha hii mada siku chache kabla ya kifo Cha aliyekuwa rais wa awam ya 5 mh. JPM ilibidi achunguzwe kabisa... unaanzisha hii post yuko ICU!
JPM ametutoka kwa mapenzi ya Mungu chadema acheni kushangilia kifo Cha binadamu alikuwa na mazuri mengiulimjibu siku moja kabla ya God kumchukua JPM
Achunguzwe kwa sababu zipi?Huyu aliyeanzisha hii mada siku chache kabla ya kifo Cha aliyekuwa rais wa awam ya 5 mh. JPM ilibidi achunguzwe kabisa
Achunguzwe kwa sababu zipi?
Kwani alikuwa hana ulinzi? alikuwa na madaktari wake na kila kitu alikuwa nacho, yule mzee watu wengi walikuwa hawamtaki sababu ya ukatili wakeSiri ya bwana yule kuwa yupo ICU alitoa wapi? Akaja na kimuhe muhe kuja kuandika humu ndani
Dogo acha uwoga. Unalog off nakukimbia wapi? Rudi bana uchangie madaNgoja tuendelea kusubiri
Nalog off
Yule MUNGU alimaliza kazi yake, alitesa sn watuLabda kwa sababu ya kusema mabeberu na wataalam wa ndani watusaidie kumpeleka mwendazake kuzimu
OkNilimchukia yule kichaa kupita kiasi mpaka nilianza kuchukia nchi yangu
Ulichukia mtu badala ya kuichukia system....ulikosea sana.Mungu alimaliza ugomvi
Ndio kama mimi, yaani angeongezewa muda kweli kama walivyokuwa wakifanya promosheni nilikuwa kwenye hesabu za kuanzisha makazi KenyaNilimchukia yule kichaa kupita kiasi mpaka nilianza kuchukia nchi yangu
Yeye asipokuwa makini kwa sasa anaweza kuta karandinga linamsubiri mlangoni maana huyu ni timu jiwe na ndio wanaoleta mitafaruku ndani ya serikali ya samiaYule dogo alikua anatoa vitisho kwako hapa jukwaani afanye kurudi basi mbhudogo aendelee na mikwara yake ya kuleta karandinga.