Mabeberu kazi kwisha, Rais Magufuli ni kiboko yenu

Mabeberu kazi kwisha, Rais Magufuli ni kiboko yenu

Siri ya bwana yule kuwa yupo ICU alitoa wapi? Akaja na kimuhe muhe kuja kuandika humu ndani
Kwani alikuwa hana ulinzi? alikuwa na madaktari wake na kila kitu alikuwa nacho, yule mzee watu wengi walikuwa hawamtaki sababu ya ukatili wake
 
Huyu aliyeanzisha hii mada siku chache kabla ya kifo Cha aliyekuwa rais wa awam ya 5 mh. JPM ilibidi achunguzwe kabisa
Hiyo tabia ya kutishanatishana peleka kaburini kwa mwendazake [emoji16][emoji16]
 
Nilimchukia yule kichaa kupita kiasi mpaka nilianza kuchukia nchi yangu
Ndio kama mimi, yaani angeongezewa muda kweli kama walivyokuwa wakifanya promosheni nilikuwa kwenye hesabu za kuanzisha makazi Kenya
 
Duuh! Aseee mpaka naogopa. Hii nchi ina watu kweli kweli
 
Yule dogo alikua anatoa vitisho kwako hapa jukwaani afanye kurudi basi mbhudogo aendelee na mikwara yake ya kuleta karandinga.
Yeye asipokuwa makini kwa sasa anaweza kuta karandinga linamsubiri mlangoni maana huyu ni timu jiwe na ndio wanaoleta mitafaruku ndani ya serikali ya samia
 
Back
Top Bottom