"Mabeberu" Marekani waanza mbinyo kwa Tanzania. Washawishi Serikali yao na Jumuiya ya Kimataifa kuanza vikwazo na kukata misaada

Dona kantre huna hata kiwanda Cha kutengeneza pini.
Kifuatacho ni kupunguza kazi madaktari, manesi na watu wa maabara na kuajiri waganga was kienyeji, wachawi, wabashiri na wapiga ramli.
View attachment 1626014
Sasa itakuwaje?
Lakini maisha yetu ni zaidi ya corona

Tutazoea tu kula pumba kama mwaka 1978 na yatapita

Mmmmmmmh sasa itakuwaje?

Hii inawahusu ccm tu?au na chadema

Ohoooooooo

Making loud noiseeeeee
 
X Ray mtatumia tv asilia POA
MRA mtatumia Nini?
CT Scan je?
ECG mtafanyia Nini?
Msijifananishe na wachina wakati nyie hamna hata kiwanda Cha tooth pick
Hivyo vidubwasha mbona vinapatika nchi nyingi tu duniani?

Btw, gesi ya kuendesha CT Scan na vinginevyo duniani si inaanza kuchimbwa TZ. Au na sisi tubanie?
 
Tena hizi ni rasharasha tu
Kwa hiyo tutaanza kuvaa tena chachacha au katambuga

Na hii inawahusu akina nani maana wengine hawana vyama vya siasa

Lekkker lekker

Mmmmmh siasa zimeisha na kampeni zimeisha

Sasa hawa wamerekani lengo lao ni kuona maisha yetu yanakuwa ya hovyo hovyo tu na vichaa kuongezeka

Hakika vichaa wataongezeka Tanzania kwa style kama hizi plus mbinyo

Lakini ccm kama chama tutashinda kwa kishindo mbinyo huu
 
Usihofu Mkuu,Mwaka 1978 na 1979 watu walikula pumba

Sasa wewe mtoto mayai mayai ndio shida inaanza hapa kwanza wewe ni chadema hivyo huu mbinyo utawafanya ccm kula bata zaidi maana tumezoea kupambana

Hata wakisema tusiende chooni mwaka mzima watu hawaogopi

Hata wakisema wanataka uhuru wa mashoga kila kona ya nchi bado watu watawakimbia tu

Beberu anataka tuanza kuwa na maisha ya hovyo hovyo
 
Wengi wanaochangia hapa hawajui global politics! Wanachangia kushabikia Tanzania kuwekewa vikwazo bila kuwa wanaangalia kuwa Tanzania Taifa ambalo global powers wanataka wawe na influence nalo sana; na sasa hivi wanamchukia Magufuli kwa sababu hnaonekana hawawezi kuwa na influence juu yake.

Mark my word kama kweli marekani itaiwekea vikwazo Tanzania ili uje tuzungumze tena. Hawawezi kurudia makosa waliyofanya Zimbabwe na kuwaacha wachina wakajizolea madini yote yale kwa bwelele ambayo wanatengezea vitu vya bei nafuu sana kwa sababu ya cheap raw materials na kuvitumia kuvuruga soko la ndani ya marekani.
 
Haha hahah hahah bila gesi yetu dunia haiathiriki na kitu
Hii sio ile ya Mtwara, hii ni Rukwa na kuna uhaba mkubwa sana duniani. Tanzania ndio mkombozi kwa sasa. Mahospitali yote yanategemea hii gas.


 
Trend ya vyama tawala kutumia nguvu ya dola kubaki madarakani mwisho wa siku mhanga mkuu huwa ni mwananchi wa kawaida. Very soon tutakua kama Zimbabwe na Venezuela kwa kisingizio cha usosholisti feki.
 
Angalia wanalochukia



Wanachukia Tanzania kuanza kujijenga upya kitaifa, wanataka tuendelee kuwa shamba la bibi. Halafu kuna watanzania wanashangilia; watu wa hovyo sana hawa.
 
“Dua la kuku”

Mlisema hivi hivi wakati wa KORONA
Mlisema hivi hivi wakati wa MCA (umeme wa REA)
Mlisema hivi hivi wakati wa Bandari

Narudia kusema; kuna pande mbili , Yaani upande wa Mungu (kutakia mema) na upande wa shetani (kutakia mabaya)
Jichunguze vizuri binafsi unaitakia mema Tanzania ama unaitakia mabaya (hapo utajua unamwakilisha MUNGU ama SHETANI ) katika wewe kuwa mjumbe wammojawapo kiimani
 
Angalia wanalochukia

View attachment 1626020

Wanachukia Tanzania kuanza kujijenga upya kitaifa, wanataka tuendelee kuwa shamba la bibi. Halafu kuwa watanzania wanashangilia; watu wa hivyo sana

Wanajuwa kabisa ulaji kama vile walivyokuwa wanakula zamani unakwisha, na wanajuwa pia mataifa mengi ya Afrika wanaangalia Tanzania na wao wanapata idea kama wanaweza kuwagonea wanyonyaji. Ni change ambayo wazungu inawauma sana kuikubali.

Hapa hakuna kurudi nyuma, kama deal sio win-win, hakuna anayekaa mezani kuongea.
 
Mkuu Bujibuji , asante kwa makaribisho,
kwanza hakuna chama cha Msukuma, wala chama cha mtu, kilichopo ni Chama Cha Mapinduzi, CCM, ila kinaongozwa na Msukuma na sio kinamilikiwa na Msukuma hadi ukiite chama cha Msukuma!. One good thing kuhusu Msukuma huyu, tangu ashike uongozi wa chama, amekifanyia chama some very big transformation sasa chama kinapendwa na kinakubalika na Watanzania na hili wamelionyesha tarehe 28 October.

Tukija kwenye mada ya msingi, Hawa mabeberu wa US na EU tumeisha wazoea, tuliisha toa ushauri siku nyingi kwa Msukuma, on how to go about this.


P
 
Mkuu Return Of Undertaker , huu ni muendelezo wa ubeberu tuu, tuliisha shauri what to do

P
 
Dona kantre huna hata kiwanda Cha kutengeneza pini.
Kifuatacho ni kupunguza kazi madaktari, manesi na watu wa maabara na kuajiri waganga was kienyeji, wachawi, wabashiri na wapiga ramli.
View attachment 1626014
Ukisikia dawa za asili unawaza waganga was kienyeji
Pale muhimbili Kuna kitengo maalumu Cha dawa za asili na kinatambulika kabisa
Mawazo yenu NI kusaidiw kila kitu na mabeberu
Dawa zetu zifanyiwe utafiti na wataalam
 
Tutatumia bidhaa kutoka China siio lazima marekani
 
Uko sahihi mkuu.
 
Wametunyonya Sana hao wapumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…