"Mabeberu" Marekani waanza mbinyo kwa Tanzania. Washawishi Serikali yao na Jumuiya ya Kimataifa kuanza vikwazo na kukata misaada

"Mabeberu" Marekani waanza mbinyo kwa Tanzania. Washawishi Serikali yao na Jumuiya ya Kimataifa kuanza vikwazo na kukata misaada

Tutatumia bidhaa kutoka China siio lazima marekani
Na kweli China imekuwa kimbilio la wengi ambao wanasema hawataki kuingiliwa mambo ya ndani hadi pale wanapokuta wachina hawacheki na kima kwenye maslahi yao. Sijui na sisi tutawabinafsishia bandari au kiwanja cha ndege wakitushika pabaya tukiwekwa kando na dunia nzima maana hamna raha ya kudeal na mtu dhaifu kama yule asiye na option
 
mikwala ya mabeberu tu hiyo hakuna lolote dr magufuli songa mbele baba hawa mbwa wanao bwaka bwaka hawawezi kutuzuia kwa lolote kama alivyosema gwajima hatuhitaji mapesa yao sisi bana labda wazuie hakuna kuuza nje au kununua kitu nje hapo nitaogopa sana
Si ndio watafika huko mkuu? wanaenda kwa hatua.
 
Na kweli China imekuwa kimbilio la wengi ambao wanasema hawataki kuingiliwa mambo ya ndani hadi pale wanapokuta wachina hawacheki na kima kwenye maslahi yao. Sijui na sisi tutawabinafsishia bandari au kiwanja cha ndege wakitushika pabaya tukiwekwa kando na dunia nzima maana hamna raha ya kudeal na mtu dhaifu kama yule asiye na option
NI wakati wa Africa kuondoa mawazo mgando ya kusaidiw kila siku
Dunia ya Sasa sio ile ya wakati wa nyerere
Ndio maana tunaletewa misaada inayodhuru hata afya zetu
Beberu hawez kumpenda Mtu mweusi hata siku moja
Tutaenda sawa tu na mchina kwani mchina nqe anatuhitaji Sana tu
Kupata masoko ya bidhaa zake
 
Dunia ya leo hata kama hukanyagi marekani lakini kama umejiunga kwenye jumuiya za kimataifa bhasi VETO power yao huwezi kuiepuka.
Ushawishi wa marekani ni mkubwa na sisi kama sisi sidhani kama tunaweza survive kama wakiamua kweli kutukazia

Viwanda vyetu vyenyewe ndio hivi ambavyo hata kutengeneza sindano ni shida, Export zetu zenyewe nadhani unazielewa na chanzo kikubwa cha foreign reserve unakijua. Kukaziwa sisi ni rahisi sanaaaa ila tuombe tu mambo yasiharibike
Ni kweli kabisa ndiyo maana wanafikiria vikwazo zaidi vitakavyotoa mbinyo na pia kuhusu ushirikiano wa kibiashara.
Hapa lazima maumivu yawe makali kiasi kwamba kila raia aliyepo nchini atasikia kisu kimegusa mfupa..
 
NI wakati wa Africa kuondoa mawazo mgando ya kusaidiw kila siku
Dunia ya Sasa sio ile ya wakati wa nyerere
Ndio maana tunaletewa misaada inayodhuru hata afya zetu
Beberu hawez kumpenda Mtu mweusi hata siku moja
Tutaenda sawa tu na mchina kwani mchina nqe anatuhitaji Sana tu
Kupata masoko ya bidhaa zake

Kwa hiyo unafurahia kuwa dampo la bidhaa duni yaani unaruka majivu unakanyaga moto.

Maskini hivi unajua kinachoendelea na SGR ya Kenya, Hivi unajua gate way ya mchina kwa Afrika ya mashariki inaenda kuwa Kenya na juzi tu washakula deal la kupeleka maparachichi . haya Sisi tunapeleka nini au ndo tunasubiria bidhaa zao huku

Hivi una hata Idea ya international trade na jinsi inavyofanya kazi. unajua hata kiwango chetu kati hiyo biashara na china yupo katika position ipi. Hivi hizo hela za kununua vitu China unajua mtapata vipi au unajua mzunguko wetu wa pesa utaathirika vipi[/QUOTE]
 
Ni kweli kabisa ndiyo maana wanafikiria vikwazo zaidi vitakavyotoa mbinyo na pia kuhusu ushirikiano wa kibiashara.
Hapa lazima maumivu yawe makali kiasi kwamba kila raia aliyepo nchini atasikia kisu kimegusa mfupa..

Tuombe Tu yasifikie huko ila yakifika huko hata yule omba omba wa barabarani ataskia maumivu yake.

self sufficciency economy, what a stupid myth yaani mmarekani kubana Huawei ya China na yeye akabanwa vizuri hadi akasurrender itakuwa uchumi wetu huu ambao hata 100$ billion haujafika na bajeti inayotegemea zaidi ya 40% kutoka kwa wahisani..

Bora niishie jukwaa la celebrity nikaone vituko fake vya mastar kuliko hivi vituko na stress za " great thinkers"
 
Scandinavia ni waylaid misaada wakubwa pia. Wakiacha kucha his bakuli tutayasikia maumivu.
 
“Dua la kuku”

Mlisema hivi hivi wakati wa KORONA
Mlisema hivi hivi wakati wa MCA (umeme wa REA)
Mlisema hivi hivi wakati wa Bandari

Narudia kusema; kuna pande mbili , Yaani upande wa Mungu (kutakia mema) na upande wa shetani (kutakia mabaya)
Jichunguze vizuri binafsi unaitakia mema Tanzania ama unaitakia mabaya (hapo utajua unamwakilisha MUNGU ama SHETANI ) katika wewe kuwa mjumbe wammojawapo kiimani
Jiulize wewe wale waliotuletea majeshi ya Burundi hapa Pemba kutuua hadharani wapo upande gani?
Msifikiri mauaji na uonevu kwa masikini wa mungu wasio na silaha ni wema kwenu bali ni shari kwenu
Gaddafi alikua mbabe kuliko Magufuli mwisho wake anglia hapo chini
 
Wengi wanaochangia hapa hawajui global politics! Wanachangia kushabikia Tanzania kuwekewa vikwazo bila kuwa wanaangalia kuwa Tanzania Taifa ambalo global powers wanataka wawe na influence nalo sana; na sasa hivi wanamchukia Magufuli kwa sababu hnaonekana hawawezi kuwa na influence juu yake. Mark my word kama kweli marekani itaiwekea vikwazo Tanzania ili uje tuzungumze tena. Hawawezi kurudia makosa waliyofanya Zimbabwe na kuwaacha wachina wakajizolea madini yote yale kwa bwelele ambayo wanatengezea vitu vya bei nafuu sana kwa sababu ya cheap raw materials na kuvitumia kuvuruga soko la ndani ya marekani.
Very poor argument and analysis. Umefika Zimbabwe au unasimliwa tu? Ni migodi gani ya maana Zimbabwe inayomilikiwa na Wachina.

Wachina katika Ulimwengu wa uchimbaji madini ni zero. Na hiyo ndiyo sababu ya Wachina nchini kwao kuyakaribisha makampuni ya US, Canada na Australia kuchimba dhahabu.

Wachina hawana teknolojia ya kuchimba madini. Wanaiga kutengeneza vifaa vya kuchimbia na kuchenjulia madini LAKINI wameshindwa kuiga teknolojia ya uchimbaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
According to the State Department, overall U.S. bilateral assistance to Tanzania, not including food aid, totaled an estimated $426 million in FY2019 and $548 million in FY2020. The Trump Administration requested $329 million for such assistance in FY2021.

Kwa ufupi ripoti ya hali ya kisiasa nchini tanzania toka magufuli kuingia madarakani imewashitua wafadhiri wa demokrasia na uwazi na hasa katika maswala ya ushiriki wa jamii na asasi zisizo za kiserikali.

Na utungwaji wa sheria mbalimbali kandamizi na kuhakikisha nchi inakuwa ya chama kimoja na upinzani unatoweka.

Katika kutubinya wataacha misaada inayogusa chakula tu na wanashawishi na jumuiya za kimataifa nao kutufanyia kama wao.
In summary

There are few signs that the governance trajectory in Tanzania discussed in this report is likely to change. One analyst of Tanzania sees President Magufuli and the CCM as pursuing “restorationist developmental nationalism”—a return to the sociopolitical development agenda and dominance of the CCM during the one-party state era, in which opposition parties play a limited role, if any.69 There are arguably a paucity of strong levers through which the United States and other aid donors might be able to press for a reversal of recent trends. Targeted restrictions on aid could potentially spur constructive responses from Tanzanian authorities in some instances, but the bulk of U.S. and other foreign aid supports development goals or other U.S. policy interests that such changes might hinder. Targeted sanctions, which the United States has used in one instance, 70 also are another possible pressure tool and vehicle for signaling U.S. concerns in selected instances, but are complex to administer and may have limited effect if sanctioned officials do not have personal or financial interests within U.S. jurisdictions. The governance trends discussed in this report also could potentially warrant a change in Tanzania’s eligibility for U.S. trade

Kwa ripoti kamili https://t.co/uTUEIj29Vg?amp=1
Hao Marekani wenyewe Trump analalamika kaibiwa kura, mbona hawasemi?
 
Angalia wanalochukia

View attachment 1626020

Wanachukia Tanzania kuanza kujijenga upya kitaifa, wanataka tuendelee kuwa shamba la bibi. Halafu kuna watanzania wanashangilia; watu wa hovyo sana hawa.
Wewe ndiyo mbumbumbu kabisa! Umeelewa maana ya hiyo sentensi. Hivi wewe unafurahia utaifishaji wa maendeleo ya watu?

Kama hujui, sentensi hiyo ina maana Magufuli na CCM wanatupeleka kwenye Tanzania ya Mwalimu ya mwaka 1967 ya kutaifisha mali/maendeleo ya watu na kuyaweka chini umma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili nalo litapika kama mengine na kila mtu atalisahau kila nchi ina maslahi kwa nchi nyingine na vikwazo vinafanya kazi pande zote nao watakosa kile walichokuwa wanakipata kutoka kwetu.
 
X Ray mtatumia tv asilia POA
MRA mtatumia Nini?
CT Scan je?
ECG mtafanyia Nini?
Msijifananishe na wachina wakati nyie hamna hata kiwanda Cha tooth pick
Iran, North Korea, Syria, Zimbabwe, Venezuela, Cuba, Myanmar hawana hivyo vifaa?
Tutanunua vya Russia na China.

Maisha yatakuwa magumu kwa wote lakini siyo raisi na hao wanaopingana nae. Raisi huyu hata akiondoka bado athari za vikwazo vitaitafuna nchi miaka mingi baadaye, mfano Zimbabwe Morgan Tshovingirai na Bob Mugabe wameshakufa lakini vikwazo bado vinaitafuna nchi yao.

Hao akina Lissu wataenda kuishi nje, watapewa ufadhili wa pesa na vitu muhimu, watoto wao watasomeshwa nje huku tutabaki sisi fuata upepo na ndugu zetu maskini huko vijijini.
 
“Dua la kuku”

Mlisema hivi hivi wakati wa KORONA
Mlisema hivi hivi wakati wa MCA (umeme wa REA)
Mlisema hivi hivi wakati wa Bandari

Narudia kusema; kuna pande mbili , Yaani upande wa Mungu (kutakia mema) na upande wa shetani (kutakia mabaya)
Jichunguze vizuri binafsi unaitakia mema Tanzania ama unaitakia mabaya (hapo utajua unamwakilisha MUNGU ama SHETANI ) katika wewe kuwa mjumbe wammojawapo kiimani
Mimi naamini aliyeiba kura, anayefunga watu ovyo, anayeua, anayeteka, anayebambikia kesi watu za uhujumu uchumi, ni dhahiri huyo ni wakala wa shetani.

Tuipende nchi kwa kukataa kwa nguvu zetu zote, udikteta. Tuungane kutetea demokrasia, haki na uhuru wa watu wa kutoa maoni, kuchagua na kuchaguliwa. Udikteta hauna nafasi duniani, usiwe na nafasi Tanzania. Watu kama mahela au mambombosasa kuwepo kwao Tanzania ni laana kwa Taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
According to the State Department, overall U.S. bilateral assistance to Tanzania, not including food aid, totaled an estimated $426 million in FY2019 and $548 million in FY2020. The Trump Administration requested $329 million for such assistance in FY2021.

Kwa ufupi ripoti ya hali ya kisiasa nchini tanzania toka magufuli kuingia madarakani imewashitua wafadhiri wa demokrasia na uwazi na hasa katika maswala ya ushiriki wa jamii na asasi zisizo za kiserikali.

Na utungwaji wa sheria mbalimbali kandamizi na kuhakikisha nchi inakuwa ya chama kimoja na upinzani unatoweka.

Katika kutubinya wataacha misaada inayogusa chakula tu na wanashawishi na jumuiya za kimataifa nao kutufanyia kama wao.
In summary

There are few signs that the governance trajectory in Tanzania discussed in this report is likely to change. One analyst of Tanzania sees President Magufuli and the CCM as pursuing “restorationist developmental nationalism”—a return to the sociopolitical development agenda and dominance of the CCM during the one-party state era, in which opposition parties play a limited role, if any.69 There are arguably a paucity of strong levers through which the United States and other aid donors might be able to press for a reversal of recent trends. Targeted restrictions on aid could potentially spur constructive responses from Tanzanian authorities in some instances, but the bulk of U.S. and other foreign aid supports development goals or other U.S. policy interests that such changes might hinder. Targeted sanctions, which the United States has used in one instance, 70 also are another possible pressure tool and vehicle for signaling U.S. concerns in selected instances, but are complex to administer and may have limited effect if sanctioned officials do not have personal or financial interests within U.S. jurisdictions. The governance trends discussed in this report also could potentially warrant a change in Tanzania’s eligibility for U.S. trade

Kwa ripoti kamili https://t.co/uTUEIj29Vg?amp=1
Mwana Kulifaindi mwana kuligeti muache tu aendeleze ubabe MABEBERU wamsagie Kunguni.
 
Wanajuwa kabisa ulaji kama vile walivyokuwa wanakula zamani unakwisha, na wanajuwa pia mataifa mengi ya Afrika wanaangalia Tanzania na wao wanapata idea kama wanaweza kuwagonea wanyonyaji. Ni change ambayo wazungu inawauma sana kuikubali.

Hapa hakuna kurudi nyuma, kama deal sio win-win, hakuna anayekaa mezani kuongea.
Hakuna kurudi nyuma wakati 5 years hata buku hamjamwongezea mtumishi wa serikali afu mnajitutumua hapa hahaha

Hivi sgr yenyewe imefika KIGOMA?

Sent from my TECNO CF8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom