Uliisha sikia wap watu wakanuna kununua madin? Watasusa kote lakin kwenye madin, gas, mafuta huwa hazinuniwi. Ukinuna mwenzio ana take advantage hapo hapoTatizo wanunuzi wakubwa ndio hao hao walioanza kutununia.
Nani kakuambia sgr tunajenga kwa pesa zetu, unawaamini wanasiasa.Mbona msaada wenyewe ni hela kidogo hivyo? Mi nilijua wanachangia walau usd 1 billion. Kumbe tunaweza kuishi bila misaada kama asemavyo dr Magufuli. Ujenzi wa sgr ni Tanzania imetoa over 1 usd billions kutoka mfukoni. Sisi ni dona kantri.
Nashukuru mkuu ila nataka kukwambia kwa mujubu wa Imani yetu kunaMkuu Simba zee 33 , kweli wewe zee!. Heshima kitu cha bure!, kafiri ni mtu asieamini Mungu, Waislamu wenye misimamo mikali, muslims fundamentalists ndio wanawaita Wakristu makafiri, huku kwa sisi Wakristu kuitwa kafiri ni kututukana, Wakristu tunamuamini Mungu wa Ibrahim, Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo, uzao wa Waislamu umetokana na mtoto wa kwanza wa Nabii Ibrahim kwa mjakazi wa Kimisri, wa mkewe Sarah aliyeitwa Hagai, au Hagir, mtoto huyo ni Isumaili, na ndio ukoo wa Mtume Mohammed (SAW), hivyo usitukane watu makafiri wakati ni waumini wa Mungu huyo huyo unayemwamini.
P
Unazungumzia enzi za ujima hizi ni enzi za science na teknolojia mkuu.Ww ulitkiwa ujiite ujiuji coz untumia ur back kufikiria.. uwezi dharau dawa asili... Mimi ni vetenarian even sisi tunatumi herbal drugs kutibia wanyama sembuse human
Mm naamin hata mama yako ww litumi majani ya mashona nguo kukutibia chango la utoto......
Kuua. Kufilisi. Kutesa. Kufunga watu. Kujeruhi nk ni maovu makubwa sasa Nani atamwambia wazee wa Mavi 8 wanamsifia tuMagu hana udhaifu ana MABAYA... unataka kusema kubambikia watu kesi nakuua ni madhaifu for wat
Tanzania iliweza kuishawishi jumuiya ya kimataifa kuipa China "kura ya VETO" kwenye vikao vya UN wakati miaka hiyo Tanzania ikiwa bado nchi changa kabisa! Sembuse muda huu!?Ushawishi wa Marekani ni mkubwa na sisi kama sisi sidhani kama tunaweza survive kama wakiamua kweli kutukazia
Unadhani nili Tanzania inatakiwa iwe ni vitu ama uwezo wa kutengeneza hivyo vitu!?X Ray mtatumia tv asilia POA
MRA mtatumia Nini?
CT Scan je?
ECG mtafanyia Nini?
Msijifananishe na wachina wakati nyie hamna hata kiwanda Cha tooth pick
Si kweli unachochangia. Aidha hujaelewa kilicho andikwa au hujui nini kimeamuliwa. Ningekushauri soma hoja ya #Titicomb. Utaelewa nini kinaendelea.Asiesikia la mkuu huvunjika guu, wasiojielewa watakuja hapa waanze kusema hawajali sisi ni matajiri, sasa kama tungekuwa matajiri hiyo misaada tusingekuwa tunapewa, wacheni kujidanganya.
Hapa mwananchi wa kawaida ndie atakaeumia, hivyo vikwazo vya kuinyima nchi misaada vitasababisha kodi za bidhaa zipande ili wajaribu kufidia hilo gap la kupoteza misaada, na mpaka hapa "serikali ya wanyonge" itakuwa imeshafeli.
Bahati nzuri hapa tutaumia wote, wezi wa kura na walioibiwa kura, sasa wale "praise team" nao wajiandae mapema kisaikolojia, kama ameanza mmarekani.
Kuna uwezekano mkubwa na marafiki zake wa jumuia ya ulaya nao watafuata, wacha kina Ndugai waendelee kushangilia wasilolijua kule bungeni, lakini kwa haya yajayo watapata akili tu.
Huko tunapoelekea watatuzuia hata kufanya nao biashara, sijui hizo dola za kuwekea akiba yetu ya fedha za kigeni zitatoka wapi.
Naona kila dalili tunaenda kuwa kama marafiki zetu wapendwa wa Zimbabwe.
Badala ya kujadili message wewe unamjadili messenger unafikiri vikwazo vitawekwa na Return Of Undertaker .Mkuu hoja yenu kila siku ni Tanzania hakuna Demokrasia na mataifa ya nje yanajua na ndio maana Mabalozi "wale" walimsindikiza Lissu hadi airport ili aondoke nchini kwa amani, sio? Sasa, wanashawishiwa nini tena? Au huu ni uongo uongo wa Return Of Undertaker ambao umezoeleka humu na unaovumiliwa na mods wa JF?
We utakua wapi ndani au nje ya nchi hii?Tena hizi ni rasharasha tu
Ahaaaa, dua la kuku...Tena hizi ni rasharasha tu
Mkuu diplomasia ya Tanzania ya Nyerere na diplomasia ya Tanzania ya leo ni mbingu na dunia.Tanzania iliweza kuishawishi jumuiya ya kimataifa kuipa China "kura ya VETO" kwenye vikao vya UN wakati miaka hiyo Tanzania ikiwa bado nchi changa kabisa! Sembuse muda huu!?
Kelele za🐸Ahaaaa, dua la kuku...
Wacha ujinga wewe, hata hao marekani kuna mali watazihitaji tu huku kwetu, wacha waweke vikwazo tutauzia china na USSRAsiesikia la mkuu huvunjika guu, wasiojielewa watakuja hapa waanze kusema hawajali sisi ni matajiri, sasa kama tungekuwa matajiri hiyo misaada tusingekuwa tunapewa, wacheni kujidanganya.
Hapa mwananchi wa kawaida ndie atakaeumia, hivyo vikwazo vya kuinyima nchi misaada vitasababisha kodi za bidhaa zipande ili wajaribu kufidia hilo gap la kupoteza misaada, na mpaka hapa "serikali ya wanyonge" itakuwa imeshafeli.
Bahati nzuri hapa tutaumia wote, wezi wa kura na walioibiwa kura, sasa wale "praise team" nao wajiandae mapema kisaikolojia, kama ameanza mmarekani.
Kuna uwezekano mkubwa na marafiki zake wa jumuia ya ulaya nao watafuata, wacha kina Ndugai waendelee kushangilia wasilolijua kule bungeni, lakini kwa haya yajayo watapata akili tu.
Huko tunapoelekea watatuzuia hata kufanya nao biashara, sijui hizo dola za kuwekea akiba yetu ya fedha za kigeni zitatoka wapi.
Naona kila dalili tunaenda kuwa kama marafiki zetu wapendwa wa Zimbabwe.
Mkuu Simba zee 33 , humu jukwaani tunawajibu wa kutumia lugha za staha dhidi ya imani za wengine ambao sio imani yako.Nashukuru mkuu ila nataka kukwambia kwa mujubu wa Imani yetu kuna
Waislamu
Watu wa kitabu
Makafiri
Waislamu ni wale wanaoamini Mungu mmoja mitume WOTE pamoja na Issa A. S) HADI MUHAMMAD (SAW)
People of scripture are Christians and Jews cos wanamipaka na wana miiko na hawaishi kwa matakwa yao Bali wanaishi kwa kufuata maandiko matakatifu ya Torah na Injili
Kakafiri hata akijiita ni mkristo. Muislamu au Jew as far as his /her actions are against scriptures he/she is KAFIRI
MFANO Mtu akijipa sifa za uungu huyo moja kwa moja ni KAFIRI
Maandiko yote yanasema Mungu pekee Ndio anaetoa na anaetwaa sasa mtu akisema 'there are certain people are not deserve to be Alive' hilo ni tamko la kufru na linatoka kwenye kinywa cha kafiri
You can not harm a lot of innocent poor creations of ALLAH and still you are trying your best to hide yourself under the umbrella of CHRISTIANITY
No I am sorry mkuu he is just pretending to be Christian but according to his actions he is NOT and he knows it
I am not trying to judge anyone but I am telling you with reference according to my faith
Lingekuwa jambo jema ungeelewa mjadala wangu umeanzia wapi kabla ya kuchangia utopolo!Badala ya kujadili message wewe unamjadili messenger unafikiri vikwazo vitawekwa na Return Of Undertaker .