SOKA MARUU-KOMBO -TAPA
Member
- Oct 3, 2020
- 57
- 75
Ukitaka kujua hali ikoje nenda viwandini kwani kwani vingi vimefungwa. Hivi mabenki kuungana ni afya nzuri kiuchumi kweli.Usiifananishe Tanzania ya sasa na China, bado hatujawafikia wale watu.
Hao investors ndio wanakuwa frustrated everyday, wanasema tu midomoni wanavutia wawekezaji lakini matendo yao yana suggest tofauti, mfano Dangote.
unajua kazi za mabalozi wao hapa kwetu?unajua hawa jamaa wanajua mambo mangapi kuhusu sisi wanayotuma kwao kila asubuhi saa nne?unakumbuka report ya wikileaks hadi ya kikwete kunuliwa suits kuhongwa,ya Hosea wa takukuru kulalamika pembeni kwamba anazuiwa kufanya kazi yake,kuhusu kina Rostam?Mku Professor alishindwaje kuwashawishi UN kwa ripoti mbaya tuyopewa.
Kwa ujumla hatuko vizuri kidiplomasia kwa hiyo tutegemee lolote kwani jeuri ndo mwanzo wa yote haya. Tumwombe Mungu atupe Moyo wa kuyapokea kwa uvumilivu
Vikwazo huwa wanawekewa watawala ambao wanawaumiza watu wao,wapewe misaada au wasipewe watu wataumia tu ..ILA USIJALI HII NCHI NI TAJIRI HAITEGEMEI MABEBERU,nilkuwa najisemea tuKuna post nimesema hivi vikwazo vitatuumiza zaidi sisi familia maskini na siyo Raisi Magufuli au Lissu na wenzie.
Raisi hadi kufa kwake yeye na mkewe watapata huduma bora kwa fedha zetu.
Lissu na wenzie na familia zao wataenda Ulaya na Marekani, watapewa fedha za ufadhili kujikimu na kufanya harakati, watasomeshwa watoto wao nje lakini tusio wanasiasa na ndugu zetu maskini huko vijijini ndiyo tutapata acha itikanayo na vikwazo.
Hata akiondoka Raisi Magufuli madarakani bado athari za vikwazo zitatutesa miaka mingi ijayo. Mfano Zimbabwe Morgan Tshovingirai na Bob Mugabe wameshakufa lakini vikwazo bado vinaitesa Zimbabwe.
Tutafute namna nyingine ya kudai haki au mabadiliko. Hii ya Sasa ya kuichafua nchi na kutaka vikwazo siyo nzuri kwa yeyote zaidi ya kufurahisha watu binafsi mmoja mmoja walipa visasi.
Nafikiri ndiyo maana watu hawana andamans wameona mbali..
Watanzania siyo wajinga kiasi hicho.
Ukiniuliza diplomasia yetu ikoje nitakujibu; mtandaoni haiko vizuri. Kwenye reality tupo vizuri sana!Mku Professor alishindwaje kuwashawishi UN kwa ripoti mbaya tuyopewa.
Kwa ujumla hatuko vizuri kidiplomasia kwa hiyo tutegemee lolote kwani jeuri ndo mwanzo wa yote haya. Tumwombe Mungu atupe Moyo wa kuyapokea kwa uvumilivu
Unaongea kimihemko sana..X Ray mtatumia tv asilia POA
MRA mtatumia Nini?
CT Scan je?
ECG mtafanyia Nini?
Msijifananishe na wachina wakati nyie hamna hata kiwanda Cha tooth pick
Fuatilia ripoti ya UN iliyotoka September utapata majibu mazuri.Ukiniuliza diplomasia yetu ikoje nitakujibu; mtandaoni haiko vizuri. Kwenye reality tupo vizuri sana!
Ila bahati mbaya sasa ikija mvua yenyewe tutaumia zaidi sisi wanyonge. Jiwe, Kabudi and co wataendelea kula bata as if nothing ever happened.Tena hizi ni rasharasha tu
🙏🙏🙏 Mimekuekewa MKUU and I regret to be little bit harsh but we are so frustrated WHY WHY WHY.... when we got president who is non Muslim our blood become very weak and useless?Mkuu Simba zee 33 , humu jukwaani tunawajibu wa kutumia lugha za staha dhidi ya imani za wengine ambao sio imani yako.
Sisi Wakristu tunaamini wote wasiomwamini Yesu huyo Mungu wanayemwamini ni shetani na mwisho wa siku wataishia motoni!. Kwa vile tunaishi na Waislamu, nikisema Allah na Mtume (SAW) ni .... according to imani yangu ya Ukristo, itakuwa ni machukizo kwa Waislamu na Uislamu!. Vivyo hivyo Muislamu kutuita makafiri na kiongozi wetu mkuu kumuita Kafiri, ni lugha ya machukizo!. Unaweza kuwasilisha hoja yako na ikaeleweka vizuri bila kututukana Makafiri!.
Heshima kitu cha bure!.
P
Unaongea ni mimi au unaongea na simu??Lissu bwana, hivi Mnyaturu wewe una ishu gani na nchi yetu, mbona una hasira hivyo?
Tatizo matamko yote yanakuja kwa ung'eng'e na wapambe wanaogopa kumtafsiria jiweMku Professor alishindwaje kuwashawishi UN kwa ripoti mbaya tuyopewa.
Kwa ujumla hatuko vizuri kidiplomasia kwa hiyo tutegemee lolote kwani jeuri ndo mwanzo wa yote haya. Tumwombe Mungu atupe Moyo wa kuyapokea kwa uvumilivu
Kwa vikwazo dhidi ya viongozi vimeshafeli kinachofuata ni vikwazo dhidi ya nchi na kusitisha misaada na mikopo.vikwazo huwa wanawekewa watawala ambao wanawaumiza watu wao,wapewe misaada au wasipewe watu wataumia tu ..ILA USIJALI HII NCHI NI TAJIRI HAITEGEMEI MABEBERU,nilkuwa najisemea tu
Hiyo ni recommendions repirt ya akina Lisu na wenzake..however, serikali za US na EU haziwezi ku implement huo, upuuzi,According to the State Department, overall U.S. bilateral assistance to Tanzania, not including food aid, totaled an estimated $426 million in FY2019 and $548 million in FY2020. The Trump Administration requested $329 million for such assistance in FY2021.
Kwa ufupi ripoti ya hali ya kisiasa nchini Tanzania toka Magufuli kuingia madarakani imewashitua wafadhili wa demokrasia na uwazi na hasa katika maswala ya ushiriki wa jamii na asasi zisizo za kiserikali.
Na utungwaji wa sheria mbalimbali kandamizi na kuhakikisha nchi inakuwa ya chama kimoja na upinzani unatoweka.
Katika kutubinya wataacha misaada inayogusa chakula tu na wanashawishi na jumuiya za kimataifa nao kutufanyia kama wao.
In summary
There are few signs that the governance trajectory in Tanzania discussed in this report is likely to change. One analyst of Tanzania sees President Magufuli and the CCM as pursuing “restorationist developmental nationalism”—a return to the sociopolitical development agenda and dominance of the CCM during the one-party state era, in which opposition parties play a limited role, if any.69 There are arguably a paucity of strong levers through which the United States and other aid donors might be able to press for a reversal of recent trends. Targeted restrictions on aid could potentially spur constructive responses from Tanzanian authorities in some instances, but the bulk of U.S. and other foreign aid supports development goals or other U.S. policy interests that such changes might hinder. Targeted sanctions, which the United States has used in one instance, 70 also are another possible pressure tool and vehicle for signaling U.S. concerns in selected instances, but are complex to administer and may have limited effect if sanctioned officials do not have personal or financial interests within U.S. jurisdictions. The governance trends discussed in this report also could potentially warrant a change in Tanzania’s eligibility for U.S. trade
Kwa ripoti kamili https://t.co/uTUEIj29Vg?amp=1
unatakaje labda kwa mfano?We utakua wapi ndani au nje ya nchi hii?
Nchi tajiri hii usiogope ,ila kuna makauli mengine nchi hii unaangalia video mpaka unajiuliza daaah aiseeeh sawa tu lakiniKwa vikwazo dhidi ya viongozi vimeshafeli kibachofuata ni vikwazo dhidi ya nchi na kusitisha misaada na mikopo.
Hapo ndiyo wanapiumia wananchibwa kawaida kama Zimbabwe n.k.
Wanafanya hivyo makusudi ili wananchi mkiumia sana na maisha magumu muandamane au muanzishe vita vya kumtoa raisi went au chama wasichokitaka.
Amkeni usingizini kama mnadhani wanawapenda sana ....au wanapenda sana demokrasia.
Watumwa ni wale wanalipwa buku 7 kufanya propaganda mitandaoni.Mnawaza kitumwatumwa tu!
Gaddafi alikua mbabe na katili kuliko jiwe na alikua anaongea kwa kiburi sana mwisho wake ni huoHiyo ni recommendions repirt ya akina Lisu na wenzake..however, serikali za US na EU haziwezi ku implement huo, upuuzi,
BTW, msaada wa USD 323 million ndio nini sasa. Hio ni sawa na pesa ya kununulia dreamliner moja.
Angalia hapa: The private jet version of the Boeing 787 can cost more than $200 million and fly over 18 hours. Take a look at some its most luxurious designs.
Jiwe alisema atanunua 5 nyingine mpya basi atanunua 4 ili kufidia hilo gap, maisha yataendelea... 🙂
Kwa kifupi US na EU hawawezi kuweka vikwazo serious kwa TZ kwa sababu ya kulinda investment zao kubwa hapa nchini.
Wakifanya hilo kosa Jiwe atawanyoosha nao pia kama alivyofanya kwa ACCASIA.
Na Lisu akiendelea na huo upuuzi hata CHADEMA yenyewe ndio utakuwa mwisho wake kama chama cha siasa, kitafutwa!
In the current multipolar world, targeted sanctions have became meaningless just as they have highlighted in their crap report.
Naongea na wewe Lissuunaongea ni mimi au unaongea na simu??
haya.Naongea na wewe Lissu