"Mabeberu" Marekani waanza mbinyo kwa Tanzania. Washawishi Serikali yao na Jumuiya ya Kimataifa kuanza vikwazo na kukata misaada

"Mabeberu" Marekani waanza mbinyo kwa Tanzania. Washawishi Serikali yao na Jumuiya ya Kimataifa kuanza vikwazo na kukata misaada

NI wakati wa Africa kuondoa mawazo mgando ya kusaidiw kila siku
Dunia ya Sasa sio ile ya wakati wa nyerere
Ndio maana tunaletewa misaada inayodhuru hata afya zetu
Beberu hawez kumpenda Mtu mweusi hata siku moja
Tutaenda sawa tu na mchina kwani mchina nqe anatuhitaji Sana tu
Kupata masoko ya bidhaa zake
Kukataa kusaidiwa hakuji kwa kutembea na mabegi ya Kura
 
Marekani kasahau kua Dunia imebadilika,yeye siyo Super power peke yake, na hana uwezo wa kupangia Mataifa mengine Nini Cha kufanya! Mambo ya kuchaguliana marafiki au maadui yalishwa pitwa na Wakati!!
Hataki vita ila wataacha kutusaidia kumbuka
40% ya bajeti inatoka kwa nchi wahisani
Bado misaada mingine mingi...
Watanzania inatakiwa tuweke maslahi ya nchi mbele sio maslahi ya chama au mtu
Magufuli l Ana uzuri na udhaifu wake sasa kama watu hawataki kumshauri wajue tunaelekea pabaya

I am just saying............. 😎
 
Nam
Unauhakuka na unayoyasema?
Anyways siwezi kusema kitu maana wewe hujapata madhara kutoka askari wa Burundi ila hata Gaddafi alikua na watu wanaompongeza kwa dhulma na mwisho upo
Mimi sitoki Oman hata kama ningekua natoka huko Ndio unichukie kiasi cha kufurahia dhulma tunazofanyiwa?
Kuna watu wengine wamepandikizwa chuki zidi ya Wazanzibari mpaka inatisha
Pole sana
Nambie wale walioambiwa wachukue mapanga visu mundu na silaha zingine, na kuanza kushambulia watu walitumwa na kafiri au ni nani?
Je walitumwa kuwauwa watu wa bara au wazanzibari wenzao?
 
Una u
Hataki vita ila wataacha kutusaidia kumbuka
40% ya bajeti inatoka kwa nchi wahisani
Bado misaada mingine mingi...
Watanzania inatakiwa tuweke maslahi ya nchi mbele sio maslahi ya chama au mtu
Magufuli l Ana uzuri na udhaifu wake sasa kama watu hawataki kumshauri wajue tunaelekea pabaya

I am just saying............. 😎
Una uhakika ni hiyo 40% au bado unadhani ni utawala wa kikwete?
 
Iran, North Korea, Syria, Zimbabwe, Venezuela, Cuba, Myanmar hawana hivyo vifaa?
Tutanunua vya Russia na China.

Maisha yatakuwa magumu kwa wote lakini siyo raisi na hao wanaopingana nae. Raisi huyu hata akiondoka bado athari za vikwazo vitaitafuna nchi miaka mingi baadaye, mfano Zimbabwe Morgan Tshovingirai na Bob Mugabe wameshakufa lakini vikwazo bado vinaitafuna nchi yao.

Hao akina Lissu wataenda kuishi nje, watapewa ufadhili wa pesa na vitu muhimu, watoto wao watasomeshwa nje huku tutabaki sisi fuata upepo na ndugu zetu maskini huko vijijini.
Ndio maana watu wanapopiga jiwe na Kura za kwenye mabegi tunakataa huu upumbafu Sababu...yeye atapita Nchi itabaki
 
Kaka kusoma hujui hata picha huoni au unaelewa nini kuhusu TZ ya Kijani?
Mkuu hoja yenu kila siku ni Tanzania hakuna Demokrasia na mataifa ya nje yanajua na ndio maana Mabalozi "wale" walimsindikiza Lissu hadi airport ili aondoke nchini kwa amani, sio? Sasa, wanashawishiwa nini tena? Au huu ni uongo uongo wa Return Of Undertaker ambao umezoeleka humu na unaovumiliwa na mods wa JF?
 
Zika maskio
 
Nam
Nambie wale walioambiwa wachukue mapanga visu mundu na silaha zingine, na kuanza kushambulia watu walitumwa na kafiri au ni nani?
Je walitumwa kuwauwa watu wa bara au wazanzibari wenzao?
Mbona mimi nipo hapa Pemba na sijaona hayo?
Hizo Ndio zile chuki mlizopandikizwa eti tunaua watu msikitini
ASTAGHFIRULLAH
hata nikikwambia nini huwezi kuelewa maana unachuki mbaya sana dhidi yetu Wazanzibari ambayo umepandikizwa miaka mingi kama vile Watripolian walivyokua wanawachukia Wabaghazi kule Libya
Anyway kila kitu kina mwisho
WEWE huzungumzii reality Bali unasukumwa na moyo wenye athari za chuki ya Hali ya juu sana
Haupo peke yako wengi wanatuchukia kwa story kama Hizo eti tunaua watu miskitin wengine wanasema tunakula nyama za Binadamu
Pole kwa kumchukia usiemjua
 
Huku pemba miaka kumi ya jakaya hata paka hatujazika lakini kaingia kafiri katuletea mpaka majeshi ya Burundi
Anyways dhulma haidumu
Gaddafi. Sadam au albashir walikua wababe na makatili kuliko huyu kafiri
Mkuu Simba zee 33 , kweli wewe zee!. Heshima kitu cha bure!, kafiri ni mtu asieamini Mungu, Waislamu wenye misimamo mikali, muslims fundamentalists ndio wanawaita Wakristu makafiri, huku kwa sisi Wakristu kuitwa kafiri ni kututukana, Wakristu tunamuamini Mungu wa Ibrahim, Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo, uzao wa Waislamu umetokana na mtoto wa kwanza wa Nabii Ibrahim kwa mjakazi wa Kimisri, wa mkewe Sarah aliyeitwa Hagai, au Hagir, mtoto huyo ni Isumaili, na ndio ukoo wa Mtume Mohammed (SAW), hivyo usitukane watu makafiri wakati ni waumini wa Mungu huyo huyo unayemwamini.
P
 
Wajinga kama wewe walikuwapo Zimbabwe ya Mugabe kujidai wanaweza leo hii wapi....acheni kumuongea wehu jamaa yenu...mpaka sasa. Amesharibu nchi
kama unaniona mimi ni mjinga, basi wewe ni kati ya wale wanaokula kinyesi chao
 
Hataki vita ila wataacha kutusaidia kumbuka
40% ya bajeti inatoka kwa nchi wahisani
Bado misaada mingine mingi...
Watanzania inatakiwa tuweke maslahi ya nchi mbele sio maslahi ya chama au mtu
Magufuli l Ana uzuri na udhaifu wake sasa kama watu hawataki kumshauri wajue tunaelekea pabaya

I am just saying............. [emoji41]
Magu hana udhaifu ana MABAYA... unataka kusema kubambikia watu kesi nakuua ni madhaifu for wat
 
Tatizo wanunuzi wakubwa ndio hao hao walioanza kutununia.
Hebu soma na hii hapa chini.


IMG-20201113-WA0016.jpg
 
According to the State Department, overall U.S. bilateral assistance to Tanzania, not including food aid, totaled an estimated $426 million in FY2019 and $548 million in FY2020. The Trump Administration requested $329 million for such assistance in FY2021.

Kwa ufupi ripoti ya hali ya kisiasa nchini Tanzania toka Magufuli kuingia madarakani imewashitua wafadhili wa demokrasia na uwazi na hasa katika maswala ya ushiriki wa jamii na asasi zisizo za kiserikali.

Na utungwaji wa sheria mbalimbali kandamizi na kuhakikisha nchi inakuwa ya chama kimoja na upinzani unatoweka.

Katika kutubinya wataacha misaada inayogusa chakula tu na wanashawishi na jumuiya za kimataifa nao kutufanyia kama wao.
In summary

There are few signs that the governance trajectory in Tanzania discussed in this report is likely to change. One analyst of Tanzania sees President Magufuli and the CCM as pursuing “restorationist developmental nationalism”—a return to the sociopolitical development agenda and dominance of the CCM during the one-party state era, in which opposition parties play a limited role, if any.69 There are arguably a paucity of strong levers through which the United States and other aid donors might be able to press for a reversal of recent trends. Targeted restrictions on aid could potentially spur constructive responses from Tanzanian authorities in some instances, but the bulk of U.S. and other foreign aid supports development goals or other U.S. policy interests that such changes might hinder. Targeted sanctions, which the United States has used in one instance, 70 also are another possible pressure tool and vehicle for signaling U.S. concerns in selected instances, but are complex to administer and may have limited effect if sanctioned officials do not have personal or financial interests within U.S. jurisdictions. The governance trends discussed in this report also could potentially warrant a change in Tanzania’s eligibility for U.S. trade

Kwa ripoti kamili https://t.co/uTUEIj29Vg?amp=1
Hayo ni mawazo ya kijinga kabisa yanayoweza kutolewa na mtu asiyejiamini.

Yaani ni mpumbavu na lofa ndiye anaweza kuamini kuwa USA, Taifa kubwa, linaweza kuchukua hatua hiyo kwa sababu ya kibaraka Lissu na mlevi Mbowe hawakuchaguliwa. Wananchi wamewaadhibu kwenye sanduku la kura kwa sababu ya matendo na kauli zao.

Iwapo USA itachukua hatua hiyo itakuwa imetupa nafasi nzuri ya kujiimarisha kiuchumi. Ikumbukwe Marehemu Baba wa Taifa pia alijitenga na baadhi ya Mataifa ya Ulaya (siasa ya kutokufungamana na upande wowote) wakati hali ya uchumi ikiwa mbaya lakini tulivuka salama. Kwa sasa Tanzania ina kila kitu cha kujitegemea.

nk: Salary Slip na kampuni zake. Hivi Mwanahabari Huru kaishia wapi?
 
Back
Top Bottom