Iran, North Korea, Syria, Zimbabwe, Venezuela, Cuba, Myanmar hawana hivyo vifaa?
Tutanunua vya Russia na China.
Maisha yatakuwa magumu kwa wote lakini siyo raisi na hao wanaopingana nae. Raisi huyu hata akiondoka bado athari za vikwazo vitaitafuna nchi miaka mingi baadaye, mfano Zimbabwe Morgan Tshovingirai na Bob Mugabe wameshakufa lakini vikwazo bado vinaitafuna nchi yao.
Hao akina Lissu wataenda kuishi nje, watapewa ufadhili wa pesa na vitu muhimu, watoto wao watasomeshwa nje huku tutabaki sisi fuata upepo na ndugu zetu maskini huko vijijini.