"Mabeberu" Marekani waanza mbinyo kwa Tanzania. Washawishi Serikali yao na Jumuiya ya Kimataifa kuanza vikwazo na kukata misaada

"Mabeberu" Marekani waanza mbinyo kwa Tanzania. Washawishi Serikali yao na Jumuiya ya Kimataifa kuanza vikwazo na kukata misaada

According to the State Department, overall U.S. bilateral assistance to Tanzania, not including food aid, totaled an estimated $426 million in FY2019 and $548 million in FY2020. The Trump Administration requested $329 million for such assistance in FY2021.

Kwa ufupi ripoti ya hali ya kisiasa nchini Tanzania toka Magufuli kuingia madarakani imewashitua wafadhili wa demokrasia na uwazi na hasa katika maswala ya ushiriki wa jamii na asasi zisizo za kiserikali.

Na utungwaji wa sheria mbalimbali kandamizi na kuhakikisha nchi inakuwa ya chama kimoja na upinzani unatoweka.

Katika kutubinya wataacha misaada inayogusa chakula tu na wanashawishi na jumuiya za kimataifa nao kutufanyia kama wao.
In summary

There are few signs that the governance trajectory in Tanzania discussed in this report is likely to change. One analyst of Tanzania sees President Magufuli and the CCM as pursuing “restorationist developmental nationalism”—a return to the sociopolitical development agenda and dominance of the CCM during the one-party state era, in which opposition parties play a limited role, if any.69 There are arguably a paucity of strong levers through which the United States and other aid donors might be able to press for a reversal of recent trends.

Targeted restrictions on aid could potentially spur constructive responses from Tanzanian authorities in some instances, but the bulk of U.S. and other foreign aid supports development goals or other U.S. policy interests that such changes might hinder. Targeted sanctions, which the United States has used in one instance, 70 also are another possible pressure tool and vehicle for signalling U.S. concerns in selected instances but are complex to administer and may have limited effect if sanctioned officials do not have personal or financial interests within U.S. jurisdictions.

The governance trends discussed in this report also could potentially warrant a change in Tanzania’s eligibility for U.S. trade

Kwa ripoti kamili https://t.co/uTUEIj29Vg?amp=1
To my understanding ni kwamba hali hii lazima itokee kwa sababu nyingi sana.
1. makampuni ya uwekezaji kutoka Marekani wamekuwa ni sehemu ya sera ya nje ya Marekani hasa kubinya nchi zenye uchumi mdogo na kufanya vogue investments zinazoheshimu sera za Marekani huku zikipuuza ustawi na sera za mataifa maskini ambao wameweka uwekezaji huo

2. Siku zote bwana mkubwa Marekani anapambana kuzuia ushindani aina yeyote kutoka mataifa yanayopiga hatua za kimaendeleo. Wameshaweka margin ya kila uwezo mkubwa wa kiuchumi utokane na NATO nations. Ndo maana hata mchina anakumbana na embargo kubwa ya kiuchumi kutoka US kwa kuwa hayumo kwenye NATO ring.

3. Masharti ya kuheshimu haki za binadamu hasa mkazo ukiwekwa kwenye same sex relationship ndiyo sera kuu ya kunyima misaada. Kwa nini hili wanalisisitiza, ni kwa sababu nyuma yake ni kumaliza ama kufreeze tamaduni za mataifa madogo waweze kuingia kwenye ulimwengu wao ambao mipaka na miiko ya tamaduni vimeshakufa

4. Lengo lingine ni kupata eneo la kuuzia silaha zao na kukwapua maliasili za nchi ili kuimarisha federal reserve yao. (Hili ni eneo pana sana)
 
To my understanding ni kwamba hali hii lazima itokee kwa sababu nyingi sana.
1. makampuni ya uwekezaji kutoka Marekani wamekuwa ni sehemu ya sera ya nje ya Marekani hasa kubinya nchi zenye uchumi mdogo na kufanya vogue investments zinazoheshimu sera za Marekani huku zikipuuza ustawi na sera za mataifa maskini ambao wameweka uwekezaji huo

2. Siku zote bwana mkubwa Marekani anapambana kuzuia ushindani aina yeyote kutoka mataifa yanayopiga hatua za kimaendeleo. Wameshaweka margin ya kila uwezo mkubwa wa kiuchumi utokane na NATO nations. Ndo maana hata mchina anakumbana na embargo kubwa ya kiuchumi kutoka US kwa kuwa hayumo kwenye NATO ring.

3. Masharti ya kuheshimu haki za binadamu hasa mkazo ukiwekwa kwenye same sex relationship ndiyo sera kuu ya kunyima misaada. Kwa nini hili wanalisisitiza, ni kwa sababu nyuma yake ni kumaliza ama kufreeze tamaduni za mataifa madogo waweze kuingia kwenye ulimwengu wao ambao mipaka na miiko ya tamaduni vimeshakufa

4. Lengo lingine ni kupata eneo la kuuzia silaha zao na kukwapua maliasili za nchi ili kuimarisha federal reserve yao. (Hili ni eneo pana sana)
Umeandika zaidi nadharia na unproved theories.

Mataifa ya Afrika yanashindwa kuujenga uchumi wa mataifa yao kutokana na uongozi mbaya. Badala ya kuliona hilo na kulifanyia kazi wamebakia kuwalaumu wazungu.

Umeongelea China, nadhani kuna mambo mengi kuhusu China ambayo huyajui. Hivi unajua kuwa makampuni makubwa yaliyowekeza China, siyo ya China bali ni ya America na Ulaya? Sera ya ujamaa ya China iliifanya China kuishi kwenye umaskini mkubwa kwa miaka mingi, na miaka hiyo uchumi wa China ulikuwa unakua kwa chini ya 3%. Walipofanya mageuzi nakuruhusu makampuni ya nje kuwekeza China, uchumi wa China ulibadilika ghafla, na ukuaji wake kuna wakati ulifikia 12% kwa mwaka. China inajua faida kubwa ya uwekezaji wa makampuni ya Ulaya na America nchini China, ndiyo maana Waziri wao Mkuu mara nyingi anaenda Ulaya kutafuta wawekezaji.

FDI kutoka Ulaya, America, Australia na Hong Kong kwenda China kwa mwaka inafikia dola bilioni 80. China tunayoishabikia inatambua umuhimu wa mitaji ya nje katika kuhuisha uchumi wake, mataifa maskini ya Afrika yanaona uwekezaji wa nje kwenye mataifa yao hauna faida bali ni unyonyaji tu!

Afrika imejaa wasomi wa makaratasi lakini wasio na kitu kichwani cha kuyasaidia mataifa yao. Dubai ilikuwa hoi kuliko Afrika lakini ndani ya miaka 15 ilibadilika ghafla. Hiyo ilitokea baada ya kupata viongozi wenye elimu ya kweli, akili na maono.

Adui wa kwanza wa maendeleo ya uchumi ni kodi zisuzolipika. Hakuna nchi hata moja iliyokuwa maskini halafu ilibafilika na kuwa na maendeleo makubwa kwa kuongeza ukubwa wa kodi au uwingi wa kodi.

Kiongpzi mwenye uelewa mdogo anafikiria kuongeza mapato ya serikali kwa kuongeza kodi. Lakini kiongozi mwerevu huongeza mapato ya Serikali kwa kupunguza kodi na kuongeza uwekezaji.

Kuhusu masoko ya silaha, nadhani siyo sahihi kuwalaumu watengenezaji wa silaha. Kama waafrika wanamalizia pesa zao kununulia silaha badala ya kuwapelekea wananchi wao maji, basi hilo ni tatizo linalosababishwa na upu.mbavu wa Mwafrika. Hakuna anayelazimishwa kununua silaha.

Kama baba unamalizia hela yote kwenye kimpumu au mbege wakati wanao wanalala njaa, hawaendi shule - wa kulaumiwa ni huyo baba na siyo mama mpika mbege au kimpumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimepata bahati ya kuishi huko na nimezungumza na RAIA wengi wa huko
Hali Halisi ni wale jamaa wanaishi maisha kama ya watoto We matajiri wakubwa wa tanzania yetu
Kama kuna wakosoaji wapo wapo tu
Amini nakwambia jamaa wamamaisha mazuri sana
Ndio maana nakwambia wewe unaangalia upande mmoja tu.
 
According to the State Department, overall U.S. bilateral assistance to Tanzania, not including food aid, totaled an estimated $426 million in FY2019 and $548 million in FY2020. The Trump Administration requested $329 million for such assistance in FY2021.

Kwa ufupi ripoti ya hali ya kisiasa nchini Tanzania toka Magufuli kuingia madarakani imewashitua wafadhili wa demokrasia na uwazi na hasa katika maswala ya ushiriki wa jamii na asasi zisizo za kiserikali.

Na utungwaji wa sheria mbalimbali kandamizi na kuhakikisha nchi inakuwa ya chama kimoja na upinzani unatoweka.

Katika kutubinya wataacha misaada inayogusa chakula tu na wanashawishi na jumuiya za kimataifa nao kutufanyia kama wao.
In summary

There are few signs that the governance trajectory in Tanzania discussed in this report is likely to change. One analyst of Tanzania sees President Magufuli and the CCM as pursuing “restorationist developmental nationalism”—a return to the sociopolitical development agenda and dominance of the CCM during the one-party state era, in which opposition parties play a limited role, if any.69 There are arguably a paucity of strong levers through which the United States and other aid donors might be able to press for a reversal of recent trends.

Targeted restrictions on aid could potentially spur constructive responses from Tanzanian authorities in some instances, but the bulk of U.S. and other foreign aid supports development goals or other U.S. policy interests that such changes might hinder. Targeted sanctions, which the United States has used in one instance, 70 also are another possible pressure tool and vehicle for signalling U.S. concerns in selected instances but are complex to administer and may have limited effect if sanctioned officials do not have personal or financial interests within U.S. jurisdictions.

The governance trends discussed in this report also could potentially warrant a change in Tanzania’s eligibility for U.S. trade

Kwa ripoti kamili https://t.co/uTUEIj29Vg?amp=1
Ni mtanzania punguani pekee anayeweza kusherehekea nchi yake ikibagazwa. Hata mfanye nini chama cha Mbowe kishajifia tu.
 
Nukuu zote hapa ni nukuu za upinzani, sijaona chochote ambacho serikali ya CCM imeulizwa ikataa kujibu. Unapata picha mwadishi ni nani na anakusudia gani.

Hata hivyo hakuna sheria inayolazimisha nchi moja isaidie nchi nyingine, kila nchi duniani inatoa misaada vile inavyona bajeti yake zimekaaje.
Vilevile ujue hakuna sheria/jamii inayomlazimisha mtu kwenda kwa msiba au sherehe ya jirani lakn ikitokea tunalazimika kwenda hata kama tunanungunika.
 
Back
Top Bottom