guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,758
Watulize kipago,waliache jina la Lissu,kama ni msaliti watanzania wataongea kwenye sanduku la kuraKama kweli nyinyi CCM mnajiamini kuwa mmewafanyia maendeleo makubwa wananchi wa nchi hii, basi waachieni wenyewe wananchi waamue kwenye sanduku la kura.........
Lakini hizi tetesi zilizoenea hivi sasa kuwa nyinyi CCM mnapanga njama za kulikata jina la Tundu Lissu, zitaliingiza Taifa hili katika machafuko makubwa, ambayo hayajawahi shuhudiwa nchi hii
Nakwambia ukweli kuwa Jiwe hauwezi ushindani hata kidogo............Kwa hiyo ndo maana Jiwe anaogopa ushindani?
Duh...!.
P
Ndugu Watanzania,
Kipekee napenda kumshukuru Mungu kwa kuniamsha salama...
mabeberu wapigi kura bali wananchi ndio wameamua kumuweka madarakani ili awaondolee njaa,kuirudisha ccm tena ni kuweka rehani maisha ya watz kuendelea kufa njaa,tz sio sehemu ya kujaribia uongozi.Ndugu Watanzania,
Kipekee napenda kumshukuru Mungu kwa kuniamsha salama...
Tanzania nchi yetu sote.Ndugu Watanzania,
Kipekee napenda kumshukuru Mungu kwa kuniamsha salama.
Sasa naanza kuona kwa vitendo kitu ambacho nilitumia my mental image na kuona kuwa nchi fulani zitaingilia uchaguzi wetu huu na viashiria vimeanza kuonekana sasa. Kitendo cha nchi yetu kukaa kwa takribani mwezi mmoja na kitu au miwili kwenye uchumi wa kati, ni njama tu ya kuitikisa nchi yetu kuelekea kwenye uchaguzi mkuu. Samba mba na hilo, na hii imetokea tu baada ya kuanza kusikika kwa tetesi za kwamba, jina la Tundu Lissu linaelekea kukatwa na tume ya uchaguzi, na tumeiona barua ya mabeberu wanaoumtetea Tundu Lissu Amsterdam and Partners LLP.
Kama ulikuwa unamfuatilia Tundu Lissu tangu arudi nchini, amekuwa akitoa maneno ya kutisha na kuonyesha jeuri kubwa sana kwa serikali. Kwa mfano, kama TL ameweza kuwapata wadhamini kutoka Zanzibar bila ya kwenda kufanya mikutano ya hadhara visiwani kule, swali la kujiuliza hapa ni kwamba, mikutano aliyokuwa anaifanya huku Tanzania bara ilikuwa na lengo gani zaidi ya kuonyesha ubabe zidi ya NEC? Hii jeuri aliyonayo huyu ndugu inatoka kwa hawa mabeberu na si vinginevyo.
Aidha, kutikiswa huku kumeanza kuweka wazi wazi kuwa Tundu Lissu ni mgombea wa namna gani na mabeberu wanataka nini hasa kwenye uchaguzi huu. Naona mambo haya: (1) Tundu Lissu ni mgombea aliyeandaliwa na mabeberu ili aweze kumng’oa madarakani Mh. Magufuli; (2) hata kama Mh. Magufuli atashinda, Chadema hawatakubali, na mabeberu watawasaidia kwa namna yoyote ile ili kuleta taharuki baada ya uchaguzi mkuu.
Katika bara la Afrika, maraisi wa namna ya Mh. Magufuli ambao ni wazalendo kweli kweli katika nchi zao, na hufanya kila namna kulinda maliasili za nchi zidi ya uporaji wa mabeberu, huchukiwa sana na watu hawa. Tumeziona juhudi za Mh. Raisi kwa miaka hii mitano katika kuipigania nchi hii. Katika uchaguzi huu, jamaa hawa watafanya kila mbinu ili wamung’oe Mh. Raisi madarakani na kumuweka Tundu Lissu ili kuitumiza malengo yao. Ndugu watanzania wenzangu, nchi yetu imeanza kutikiswa, nawasihi tuiombee nchi yetu na Mh. Raisi pia ili Mungu ampe hekima na busura na nguvu ya kutuvusha salama dhidi ya mpango huu ovu. Kama Mungu alituvusha salama kwenye janga la Korona, naamini atatuvusha tena kwenye uchaguzi huu.
Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu.
Yote hayo na hofu uliyo nayo wakulaumiwa ni yule aliyewatuma makachero kummitminia risasi.Ndugu Watanzania,
Kipekee napenda kumshukuru Mungu kwa kuniamsha salama...
hofu ya nini kama anakubalika kwa kufanya makubwa kuliko hata wakoloni, huku akimiliki kila kitu kuanzia viongozi wa dini, vyombo vya habari, tume, wasanii, dola kwanini kumuogopa mtu asiyemiliki hata mtaa.Ndugu Watanzania,
Kipekee napenda kumshukuru Mungu kwa kuniamsha salama...
Kuna watu mnafanya analysis very emotionally driven, Sasa TAL hana ubavu wa kushika hii nchi na kamwe hawezi kuwa Rais, Afu tu nikujuze sambamba na Vyombo vya dola kutokulala kuhakikisha wewe unakuja kuhara apa safely, Watanzania tuna desturi ya kupenda amani utatugawa kwa lipi kama udini na ukabila kwetu sisi sio inshu kabisa
Miccm haelewi hilo.Magufuli siyo mzalendo pekee nchi hii
Hata siye tupo.
Tanzania aliiikuta na ataiacha,amekufa Mkapa sembuse yeye!
The bottomline is mwacheni Lissu agombee,wananchi kama hawampendi vichinjio wanavyo watamkata
kuna mtu alilinda kama nyerere alipoondoka tu zikatunufaishaKwa hiyo marais waliopita waliiba rasilimali zetu ila jiwe pekee ndo kazilinda?kazi ujinga tu
Mwache ang'oleweNdugu Watanzania,
Kipekee napenda kumshukuru Mungu kwa kuniamsha salama...
Usipofushwe na neno uzalendo wa mdomoni, ushindwe kuukabili ukweli. Hakuna asiyependa nchi yake.Ndugu Watanzania,
Kipekee napenda kumshukuru Mungu kwa kuniamsha salama.
Sasa naanza kuona kwa vitendo kitu ambacho nilitumia my mental image na kuona kuwa nchi fulani zitaingilia uchaguzi wetu huu na viashiria vimeanza kuonekana sasa. Kitendo cha nchi yetu kukaa kwa takribani mwezi mmoja na kitu au miwili kwenye uchumi wa kati, ni njama tu ya kuitikisa nchi yetu kuelekea kwenye uchaguzi mkuu. Samba mba na hilo, na hii imetokea tu baada ya kuanza kusikika kwa tetesi za kwamba, jina la Tundu Lissu linaelekea kukatwa na tume ya uchaguzi, na tumeiona barua ya mabeberu wanaoumtetea Tundu Lissu Amsterdam and Partners LLP.
Kama ulikuwa unamfuatilia Tundu Lissu tangu arudi nchini, amekuwa akitoa maneno ya kutisha na kuonyesha jeuri kubwa sana kwa serikali. Kwa mfano, kama TL ameweza kuwapata wadhamini kutoka Zanzibar bila ya kwenda kufanya mikutano ya hadhara visiwani kule, swali la kujiuliza hapa ni kwamba, mikutano aliyokuwa anaifanya huku Tanzania bara ilikuwa na lengo gani zaidi ya kuonyesha ubabe zidi ya NEC? Hii jeuri aliyonayo huyu ndugu inatoka kwa hawa mabeberu na si vinginevyo.
Aidha, kutikiswa huku kumeanza kuweka wazi wazi kuwa Tundu Lissu ni mgombea wa namna gani na mabeberu wanataka nini hasa kwenye uchaguzi huu. Naona mambo haya: (1) Tundu Lissu ni mgombea aliyeandaliwa na mabeberu ili aweze kumng’oa madarakani Mh. Magufuli; (2) hata kama Mh. Magufuli atashinda, Chadema hawatakubali, na mabeberu watawasaidia kwa namna yoyote ile ili kuleta taharuki baada ya uchaguzi mkuu.
Katika bara la Afrika, maraisi wa namna ya Mh. Magufuli ambao ni wazalendo kweli kweli katika nchi zao, na hufanya kila namna kulinda maliasili za nchi zidi ya uporaji wa mabeberu, huchukiwa sana na watu hawa. Tumeziona juhudi za Mh. Raisi kwa miaka hii mitano katika kuipigania nchi hii. Katika uchaguzi huu, jamaa hawa watafanya kila mbinu ili wamung’oe Mh. Raisi madarakani na kumuweka Tundu Lissu ili kuitumiza malengo yao. Ndugu watanzania wenzangu, nchi yetu imeanza kutikiswa, nawasihi tuiombee nchi yetu na Mh. Raisi pia ili Mungu ampe hekima na busura na nguvu ya kutuvusha salama dhidi ya mpango huu ovu. Kama Mungu alituvusha salama kwenye janga la Korona, naamini atatuvusha tena kwenye uchaguzi huu.
Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu.
Wazo zuri, propaganda hiziKama kweli nyinyi CCM mnajiamini kuwa mmewafanyia maendeleo makubwa wananchi wa nchi hii, basi waachieni wenyewe wananchi waamue kwenye sanduku la kura.........
Lakini hizi tetesi zilizoenea hivi sasa kuwa nyinyi CCM mnapanga njama za kulikata jina la Tundu Lissu, zitaliingiza Taifa hili katika machafuko makubwa, ambayo hayajawahi shuhudiwa nchi hii