Ulipotaja korosho za tapeli magufuli umenishtua sana na kutonesha mshono.sasa wakileta dhahabu nyingi sana Duniani supply ikazidi Demand itakuaje bwashee au ndio dhahabu itazidiwa bei na koroshow za magufuli
Mlahaba watalipa kwa nani?View attachment 2228279
Hiki kimondo kinaitwa Phsyche. Utajili wake ni sawa na Kila mwanadamu anakuwa na utajili wa Bill gates. Kiko ktk ya sayari za mars na Jupiter ila beberu USA kafikisha Voyager na mpango ni kuyachimba madini ya huko. Tujifunze kutoka Kwa hawa watu kuliko kuwachukia. Wako mbali sana kisayansi
Mlahaba ndio nini bwana.Mlahaba watalipa kwa nani?
Acha wale wazee wa kuisapoti urusi waje. Tatizo wa Afrika tumejazwa maujinga ya kuamini wazungu ni wezi wakati wanatumia uwezo wao wa kujipambaniaView attachment 2228279
Hiki kimondo kinaitwa Phsyche. Utajili wake ni sawa na Kila mwanadamu anakuwa na utajili wa Bill gates. Kiko ktk ya sayari za mars na Jupiter ila beberu USA kafikisha Voyager na mpango ni kuyachimba madini ya huko. Tujifunze kutoka Kwa hawa watu kuliko kuwachukia. Wako mbali sana kisayansi
Cha ajabu hzo nchi wanazoziabudu hazina mchango wowote katika hili taifa kuzidi hizo wanazozichukia. Tatizo hao jamaa wamejazwa chuki na wivu na roho mbaya za kijinga. China hata ikikopesha taifa maskn itataka kupora mali za huyo maskn. Hao waarabu hv wana faida gani kwa hz nchi zetu.Subiri masheikh waje, hawatakubaliana na hii habari labda kama ingekuwa inawahusu wachina, warussia au hata wairan.
Kujifunza kwa mashoga!!!!!View attachment 2228279
Hiki kimondo kinaitwa Phsyche. Utajili wake ni sawa na Kila mwanadamu anakuwa na utajili wa Bill gates. Kiko ktk ya sayari za mars na Jupiter ila beberu USA kafikisha Voyager na mpango ni kuyachimba madini ya huko. Tujifunze kutoka Kwa hawa watu kuliko kuwachukia. Wako mbali sana kisayansi
Kwani sio wezi mkuu?Acha wale wazee wa kuisapoti urusi waje. Tatizo wa Afrika tumejazwa maujinga ya kuamini wazungu ni wezi wakati wanatumia uwezo wao wa kujipambania
Unasema china Hana mchango kwa taifa maskini .unauahakika na ulichoandika mkuu?Cha ajabu hzo nchi wanazoziabudu hazina mchango wowote katika hili taifa kuzidi hizo wanazozichukia. Tatizo hao jamaa wamejazwa chuki na wivu na roho mbaya za kijinga. China hata ikikopesha taifa maskn itataka kupora mali za huyo maskn. Hao waarabu hv wana faida gani kwa hz nchi zetu.
China anawajengea mashule, barabara na miundombinu mengine, marekani anawapa vyandarua , condom na ARV , hata akitoa hela dollar kadhaa hamzioni wakubwa wenu wanatafuna kwa sababu ni helaCha ajabu hzo nchi wanazoziabudu hazina mchango wowote katika hili taifa kuzidi hizo wanazozichukia. Tatizo hao jamaa wamejazwa chuki na wivu na roho mbaya za kijinga. China hata ikikopesha taifa maskn itataka kupora mali za huyo maskn. Hao waarabu hv wana faida gani kwa hz nchi zetu.
Hiki ndicho kina dhahabu? kuna kimondo kimoja wanasema kama dhahabu zake zote zikichimbwa zikaletwa duniani, basi bei ya dhahabu itaporomoka kwa kasi maana kutakuwa na dhahabu nyingi sana dunianiView attachment 2228279
Hiki kimondo kinaitwa Phsyche. Utajili wake ni sawa na Kila mwanadamu anakuwa na utajili wa Bill gates. Kiko ktk ya sayari za mars na Jupiter ila beberu USA kafikisha Voyager na mpango ni kuyachimba madini ya huko. Tujifunze kutoka Kwa hawa watu kuliko kuwachukia. Wako mbali sana kisayansi
Marekani kapeleka rover Mars,inachimba miamba ya Mars kujua Kama palikua na maisha kupitia dna za hiyo miambaSubiri masheikh waje, hawatakubaliana na hii habari labda kama ingekuwa inawahusu wachina, warussia au hata wairan.
We mwehu kweli bajeti ya nchi yako inasaidiwa parefu na hao unao watukana. Huyo china akikusaidia ipo siku atachukua uwanja wa ndege au bandari reference zambia huko nkChina anawajengea mashule, barabara na miundombinu mengine, marekani anawapa vyandarua , condom na ARV , hata akitoa hela dollar kadhaa hamzioni wakubwa wenu wanatafuna kwa sababu ni hela
[emoji116][emoji116]
Huwaga hawatoi misaada kwa masharti hawa wala kujitangazaView attachment 2228576View attachment 2228578