Lil bees
Senior Member
- May 17, 2022
- 143
- 158
Barabara hizo unazoziona wewe pesa za wazungu.mpuuzi hata haya huna. Fly over mikopo ya benki ya dunia na varabara zingine pesa za mabeberu. Shule zimejengewa madarasa 1500 kwa pesa za msaada wa uviko kutoka ulaya sio hao unaowasifia acha upumbavu na acha chuki.za kidini hazisaidiii lolote hili taifa dini iwe moyoni mwako na sio kulzimisha, kutusi na kudharau dinj zawatu.China anawajengea mashule, barabara na miundombinu mengine, marekani anawapa vyandarua , condom na ARV , hata akitoa hela dollar kadhaa hamzioni wakubwa wenu wanatafuna kwa sababu ni hela
[emoji116][emoji116]
Huwaga hawatoi misaada kwa masharti hawa wala kujitangazaView attachment 2228576View attachment 2228578