Mabeberu wanataka kuchimba madini huku

Unasema zaidi ya 30T Usd ni ndogo unajua hela ya riba uwa inakuwaje?
 
Wanazingua hawa pro-west
 
Siku zote ukweli utabaki kuwa ukweli ata wakiuchukia👍
 
H
Huna akili. Bajeti ya taifa lako inachangiwa pakubwa na nani ukitoa pesa za ndani.???

Shida hata shule hamja soma watu wa dullah
 
Ushawahi sikia US na ulaya wamechukua uwanja au bandari ya kuidai nchi maskin.?? Wana tabia ya kusamehe mikopo kikubwa uwe tu na ushirika wa kibiashara na wao. Sasa njoo china anataka kuleta mikataba ya kina mangungo karne hii. Mfano nishakupa Zambia wamepokonywa uwanja wa ndege au hujui..? Tumia akili hao waarabu wana faida gani.kwetu zaidi ya kuchimba visima ndio.msaada wa ushirika. Acha ufala elimu tunayosoma waliileta wazungu. Mpaka katiba walitutengenezea afu unajamba ujinga hapa. Nchi zetu hz bila ushirika na ulaya zitateseka saana kwa maana huyo mchina nk watalazimisha kufilisi vitu au rasilimali zetu. Amka acha uboya.
 
Excess ya hayo madini itapunguza thamani yake.
 
Us na ulaya wanasemehe mikopo au sio 😁 unajua wanachukua vitu gani Kama mbadala .for sure you nothing about oil and minerals vampires 👹U.S.A and Europe. Have a nice day siitaji kuendelea kujibizana na wewe
 
Thamani ya madini tunaipa sisi wenyewe binadamu...wakiyachimba wakayaleta duniani wakayagawa hayatakuwa na thamani yoyote ile.
Yakija yote hayo kwanza yatasababisha inflation na thamani yake itaporomoka kama Niagra
 
Us na ulaya wanasemehe mikopo au sio 😁 unajua wanachukua vitu gani Kama mbadala .for sure you nothing about oil and minerals vampires 👹U.S.A and Europe. Have a nice day siitaji kuendelea kujibizana na wewe
Hayo ni makubaliano mzee wanalosaidia vita kwako. Unataka wakusaidie vita bure.?
 
Kabla ya mawazo yako, wenzio walishakuwa na majibu yote hayo kitambo saana,!
 
Us na ulaya wanasemehe mikopo au sio [emoji16] unajua wanachukua vitu gani Kama mbadala .for sure you nothing about oil and minerals vampires [emoji83]U.S.A and Europe. Have a nice day siitaji kuendelea kujibizana na wewe
Mwambie aende mirarani huko akajionee [emoji16][emoji16], maana baada ya hela za wachimbaji kama Serikali inapata hata sent 5 [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…