Mabegi ya 'shangazi kaja' marufuku kwenye kwenye treni ya SGR

Jana nimepanda hili gari,aisee hapa wamewekeza..mwendo wa kawaida ila train ni nzuri sana kama ulaya,japo sina uhakika na uimara wa hizo train...vyoo,vituo vimejengwa kwa usanifu mkubwa sana.
Moja kati ya uwekezaji bora kabisa..

Teyari watu wanapanda na magodoro,ma box ya bati,nimeona mtu kapanda na kuku...

Kwa sasa naona usimamizi mzuri kabisa na zinaondoka kwa mda.
Wacha tuwape mda
 
WEKA WI-FI, WEKA WI-FI, HUU SIO MDA TENA WA KUWAZA KUISHIWA NA DATA, ROUTER NI BEI NDOGO TU!

⚫KWENYE BISASHARA YAKO WEKA WI-FI

⚫KWENYE SHULE WEKA WI-FI

⚫KANISANI WEKA WI-FI

⚫KAZINI WEKA WI-FI
⚫KWENYE KAMPUNI WEKA WI-FI

⚫NYUMBANI KWAKO WEWE NA FAMILIA YAKO WEKA WI-FI

⚫CHUONI WEKA WI-FI

⚫UNA SECURITY CAMERA FUNGA WI-FI

⚫SEHEM ZINGINE AMBAZO SIJAZITAJA WEKA WI-FI

TUMIA DATA UNLIMITED, YANI BILA KUWAZA KUA GB ZITAISHA?

NJOO NIKUPE ROUTER ZENYE UWEZO MKUBWA TECNOLOJIA YA 5G SPEED HADI 200mbps, NA UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO !

MKOA WOWOTE ULIPO HUDUMA INAKUFIKIA NDANI YA MDA MFUPI

GHARAMA NI NAFUU SANA, ( pia laini pekeyake bila router nakuwezeshea bando unlimited kwa bei poa )
NICHEKI: 0717700921
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…