Mabegi ya 'shangazi kaja' marufuku kwenye kwenye treni ya SGR

Mabegi ya 'shangazi kaja' marufuku kwenye kwenye treni ya SGR

Afrika serikali hazithamini watu, zitathamini wanyama?
Zaidi ya hapo... Walitakiwa kuwa na hata na behewa mchanganyiko ambalo unaweza kusafiri na baiskeli yako.

Serikali zetu hazina uono na hawajui wananchi wanahitaji nini.
 
Zaidi ya hapo... Walitakiwa kuwa na hata na behewa mchanganyiko ambalo unaweza kusafiri na baiskeli yako.

Serikali zetu hazina uono na hawajui wananchi wanahitaji nini.
Sina hakika hata kama kuna mabehewa yaliyo na accommodation kwa watu wanaotumia wheelchairs.
 
Sina hakika hata kama kuna mabehewa yaliyo na accommodation kwa watu wanaotumia wheelchairs.
Sio rahisi kuwepo.... aina ya mabehewa ni moja tu... abiria wa kawaida.

Sijapita kwenye vituo vyao.... Pengine wameweka njia kwa walemavu.
 
Upande wa wanyama naelewa, ila hapa kwenye shangazi kaja haijaingia akilini kabisa! Kwamba anayetumia begi/mfuko wa shangazi kaja, huo mfuko unahesabika kama silaha? Au mtu akibeba shangazi kaja anakuwa halipi nauli? Yeye siyo mlipa kodi ambaye pesa yake imechangia kwenye kukamilisha ujenzi wa mradi huu? Au yeye ndio hana hadhi ya kutumia usafiri huu?

View attachment 3038608
Gen Z hilo hapo ndio begi la shagazi kaja

===

Wazee wa kubeba zawadi kwa ndugu jamaa na marafiki hii ni ya kwenu, hasa kwa wale mnatumia mabegi/mifuko hii ya shangazi kaja.

Kati ya vitu vilivyopigwa marufuku kwenye usafiri wa treni ya umeme (SGR) ni mabegi ya shangazi kaja, wanyama wakiwemo wa kufungwa (wazee wa kuagiza kitoweo tumefikiwa), mifuko ya plastiki, silaha, chakula, vinywaji, ndoo na mapipa pamoja na mizigo inayozidi kilo 30.

Kwa mujibu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), kila kinachofanyika kinalenga kulinda usalama wa abiria, kadhalika viwango vya ubora wa treni na huduma kwa ujumla.

Kwa sasa treni hiyo tangu ilipoanza kutoa huduma wiki tatu zilizopita, inafanya safari za kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro na kwamba kufikia Julai 25, mwaka huu safari zitaongezwa hadi Dodoma.

Mwananchi
Haya mabegi ayakai kwenye sehem za kuweka mizigo so ni usumbufu kwa wengine! Na pia uwezi panda na Chakula chochote -Majuzi walikataa vichana vya ndizi ikiniuma ilibidi nimpe askari anaekagua na X Ray machine pale getini
 
Upande wa wanyama naelewa, ila hapa kwenye shangazi kaja haijaingia akilini kabisa! Kwamba anayetumia begi/mfuko wa shangazi kaja, huo mfuko unahesabika kama silaha? Au mtu akibeba shangazi kaja anakuwa halipi nauli? Yeye siyo mlipa kodi ambaye pesa yake imechangia kwenye kukamilisha ujenzi wa mradi huu? Au yeye ndio hana hadhi ya kutumia usafiri huu?

View attachment 3038608
Gen Z hilo hapo ndio begi la shagazi kaja

===

Wazee wa kubeba zawadi kwa ndugu jamaa na marafiki hii ni ya kwenu, hasa kwa wale mnatumia mabegi/mifuko hii ya shangazi kaja.

Kati ya vitu vilivyopigwa marufuku kwenye usafiri wa treni ya umeme (SGR) ni mabegi ya shangazi kaja, wanyama wakiwemo wa kufungwa (wazee wa kuagiza kitoweo tumefikiwa), mifuko ya plastiki, silaha, chakula, vinywaji, ndoo na mapipa pamoja na mizigo inayozidi kilo 30.

Kwa mujibu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), kila kinachofanyika kinalenga kulinda usalama wa abiria, kadhalika viwango vya ubora wa treni na huduma kwa ujumla.

Kwa sasa treni hiyo tangu ilipoanza kutoa huduma wiki tatu zilizopita, inafanya safari za kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro na kwamba kufikia Julai 25, mwaka huu safari zitaongezwa hadi Dodoma.

Mwananchi


Bata je ?
 
Ukiweka standards kwenye nchi yenye maskini wengi kama hii itakuwa umeamua kuwabagua tu. Hizo standars kwa nchi hii ni za walio wachache sana, wengine tuendelee na mabasi yetu tu au reli ya kati.
Sehemu za mizigo hazipo pakia mizigo yako abood utaipokelea Moro
 
Nabeba shangazi kaja naiweka ndani ya begi wafurahi sasa
 
Sio rahisi kuwepo.... aina ya mabehewa ni moja tu... abiria wa kawaida.

Sijapita kwenye vituo vyao.... Pengine wameweka njia kwa walemavu.
Zina disabled facilities, hata ukikata tiketi kuna option ya disabled.
 
Lazima kuwe na standard, wamechelewa tu, wangepiga marufuku watu kuvaa madela, ndala na kuongea ongea hovyo

Kuna watu hawana ustaarabu kabisa, unalikuta jitu kubwa jinga linaongea na simu kwa sauti kama vile linatoa muhadhara au linafungulia ma-video bila ya kuvaa earphones, ushamba ni mwingi sana Tanzania
Jamani hadi madela?... 😂😂😂
Daah!
 
watu weusi ni watu wa ovyo sana, naamna hata ulaya na uarabuni hilo begi unaruhusiwa kiroho safi kupanda nalo
 
Upande wa wanyama naelewa, ila hapa kwenye shangazi kaja haijaingia akilini kabisa! Kwamba anayetumia begi/mfuko wa shangazi kaja, huo mfuko unahesabika kama silaha? Au mtu akibeba shangazi kaja anakuwa halipi nauli? Yeye siyo mlipa kodi ambaye pesa yake imechangia kwenye kukamilisha ujenzi wa mradi huu? Au yeye ndio hana hadhi ya kutumia usafiri huu?

View attachment 3038608
Gen Z hilo hapo ndio begi la shagazi kaja

===

Wazee wa kubeba zawadi kwa ndugu jamaa na marafiki hii ni ya kwenu, hasa kwa wale mnatumia mabegi/mifuko hii ya shangazi kaja.

Kati ya vitu vilivyopigwa marufuku kwenye usafiri wa treni ya umeme (SGR) ni mabegi ya shangazi kaja, wanyama wakiwemo wa kufungwa (wazee wa kuagiza kitoweo tumefikiwa), mifuko ya plastiki, silaha, chakula, vinywaji, ndoo na mapipa pamoja na mizigo inayozidi kilo 30.

Kwa mujibu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), kila kinachofanyika kinalenga kulinda usalama wa abiria, kadhalika viwango vya ubora wa treni na huduma kwa ujumla.

Kwa sasa treni hiyo tangu ilipoanza kutoa huduma wiki tatu zilizopita, inafanya safari za kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro na kwamba kufikia Julai 25, mwaka huu safari zitaongezwa hadi Dodoma.

Mwananchi
Hawajui hizo bag ni made in China kama zilivyo treni zenyewe
 
Back
Top Bottom