Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Afrika serikali hazithamini watu, zitathamini wanyama?Wangetenga behewa moja kwa abiria wenye kusafiri na wanyama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afrika serikali hazithamini watu, zitathamini wanyama?Wangetenga behewa moja kwa abiria wenye kusafiri na wanyama.
Zaidi ya hapo... Walitakiwa kuwa na hata na behewa mchanganyiko ambalo unaweza kusafiri na baiskeli yako.Afrika serikali hazithamini watu, zitathamini wanyama?
Sina hakika hata kama kuna mabehewa yaliyo na accommodation kwa watu wanaotumia wheelchairs.Zaidi ya hapo... Walitakiwa kuwa na hata na behewa mchanganyiko ambalo unaweza kusafiri na baiskeli yako.
Serikali zetu hazina uono na hawajui wananchi wanahitaji nini.
Sio rahisi kuwepo.... aina ya mabehewa ni moja tu... abiria wa kawaida.Sina hakika hata kama kuna mabehewa yaliyo na accommodation kwa watu wanaotumia wheelchairs.
Haya mabegi ayakai kwenye sehem za kuweka mizigo so ni usumbufu kwa wengine! Na pia uwezi panda na Chakula chochote -Majuzi walikataa vichana vya ndizi ikiniuma ilibidi nimpe askari anaekagua na X Ray machine pale getiniUpande wa wanyama naelewa, ila hapa kwenye shangazi kaja haijaingia akilini kabisa! Kwamba anayetumia begi/mfuko wa shangazi kaja, huo mfuko unahesabika kama silaha? Au mtu akibeba shangazi kaja anakuwa halipi nauli? Yeye siyo mlipa kodi ambaye pesa yake imechangia kwenye kukamilisha ujenzi wa mradi huu? Au yeye ndio hana hadhi ya kutumia usafiri huu?
===
Wazee wa kubeba zawadi kwa ndugu jamaa na marafiki hii ni ya kwenu, hasa kwa wale mnatumia mabegi/mifuko hii ya shangazi kaja.
Kati ya vitu vilivyopigwa marufuku kwenye usafiri wa treni ya umeme (SGR) ni mabegi ya shangazi kaja, wanyama wakiwemo wa kufungwa (wazee wa kuagiza kitoweo tumefikiwa), mifuko ya plastiki, silaha, chakula, vinywaji, ndoo na mapipa pamoja na mizigo inayozidi kilo 30.
Kwa mujibu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), kila kinachofanyika kinalenga kulinda usalama wa abiria, kadhalika viwango vya ubora wa treni na huduma kwa ujumla.
Kwa sasa treni hiyo tangu ilipoanza kutoa huduma wiki tatu zilizopita, inafanya safari za kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro na kwamba kufikia Julai 25, mwaka huu safari zitaongezwa hadi Dodoma.
Mwananchi
Upande wa wanyama naelewa, ila hapa kwenye shangazi kaja haijaingia akilini kabisa! Kwamba anayetumia begi/mfuko wa shangazi kaja, huo mfuko unahesabika kama silaha? Au mtu akibeba shangazi kaja anakuwa halipi nauli? Yeye siyo mlipa kodi ambaye pesa yake imechangia kwenye kukamilisha ujenzi wa mradi huu? Au yeye ndio hana hadhi ya kutumia usafiri huu?
===
Wazee wa kubeba zawadi kwa ndugu jamaa na marafiki hii ni ya kwenu, hasa kwa wale mnatumia mabegi/mifuko hii ya shangazi kaja.
Kati ya vitu vilivyopigwa marufuku kwenye usafiri wa treni ya umeme (SGR) ni mabegi ya shangazi kaja, wanyama wakiwemo wa kufungwa (wazee wa kuagiza kitoweo tumefikiwa), mifuko ya plastiki, silaha, chakula, vinywaji, ndoo na mapipa pamoja na mizigo inayozidi kilo 30.
Kwa mujibu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), kila kinachofanyika kinalenga kulinda usalama wa abiria, kadhalika viwango vya ubora wa treni na huduma kwa ujumla.
Kwa sasa treni hiyo tangu ilipoanza kutoa huduma wiki tatu zilizopita, inafanya safari za kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro na kwamba kufikia Julai 25, mwaka huu safari zitaongezwa hadi Dodoma.
Mwananchi
Sehemu za mizigo hazipo pakia mizigo yako abood utaipokelea MoroUkiweka standards kwenye nchi yenye maskini wengi kama hii itakuwa umeamua kuwabagua tu. Hizo standars kwa nchi hii ni za walio wachache sana, wengine tuendelee na mabasi yetu tu au reli ya kati.
Kwani kuna sehemu nimekataa? nitaendelea na mabasi kwani si kila mtu atamudu kuitumia hiyo huduma. Wengine bila kuambatana na vifurushi safari haijakamilika, nilitoa tu maoni yangu mkuu.Sehemu za mizigo hazipo pakia mizigo yako abood utaipokelea Moro
Zina disabled facilities, hata ukikata tiketi kuna option ya disabled.Sio rahisi kuwepo.... aina ya mabehewa ni moja tu... abiria wa kawaida.
Sijapita kwenye vituo vyao.... Pengine wameweka njia kwa walemavu.
"Sasa uupokee huo mchele hapo mbezi wataingia saa 8 usiku"unatafuta ugomvi na Paulo wewe
Kwa kifupi ni MANUNU wa wema sepetu marufuku kupanda treni, anashauriwa atembeeNasoma sielewi, nasoma tena sielewi, narudiarudia lakini wapiii...lugha ngumu sana hii.
😄😄Ila Paulo, Mungu azidi kumuweka tuzidi kucheka"Sasa uupokee huo mchele hapo mbezi wataingia saa 8 usiku"
Hakujua vita aliyotaka kuisababisha"Sasa uupokee huo mchele hapo mbezi wataingia saa 8 usiku"
Yes; zipoZina disabled facilities, hata ukikata tiketi kuna option ya disabled.
Jamani hadi madela?... 😂😂😂Lazima kuwe na standard, wamechelewa tu, wangepiga marufuku watu kuvaa madela, ndala na kuongea ongea hovyo
Kuna watu hawana ustaarabu kabisa, unalikuta jitu kubwa jinga linaongea na simu kwa sauti kama vile linatoa muhadhara au linafungulia ma-video bila ya kuvaa earphones, ushamba ni mwingi sana Tanzania
Kabiiiiiiiiiisa🔹Uchafu
🔹 Mizigo
🔹Ubishi
Hawajui hizo bag ni made in China kama zilivyo treni zenyeweUpande wa wanyama naelewa, ila hapa kwenye shangazi kaja haijaingia akilini kabisa! Kwamba anayetumia begi/mfuko wa shangazi kaja, huo mfuko unahesabika kama silaha? Au mtu akibeba shangazi kaja anakuwa halipi nauli? Yeye siyo mlipa kodi ambaye pesa yake imechangia kwenye kukamilisha ujenzi wa mradi huu? Au yeye ndio hana hadhi ya kutumia usafiri huu?
===
Wazee wa kubeba zawadi kwa ndugu jamaa na marafiki hii ni ya kwenu, hasa kwa wale mnatumia mabegi/mifuko hii ya shangazi kaja.
Kati ya vitu vilivyopigwa marufuku kwenye usafiri wa treni ya umeme (SGR) ni mabegi ya shangazi kaja, wanyama wakiwemo wa kufungwa (wazee wa kuagiza kitoweo tumefikiwa), mifuko ya plastiki, silaha, chakula, vinywaji, ndoo na mapipa pamoja na mizigo inayozidi kilo 30.
Kwa mujibu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), kila kinachofanyika kinalenga kulinda usalama wa abiria, kadhalika viwango vya ubora wa treni na huduma kwa ujumla.
Kwa sasa treni hiyo tangu ilipoanza kutoa huduma wiki tatu zilizopita, inafanya safari za kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro na kwamba kufikia Julai 25, mwaka huu safari zitaongezwa hadi Dodoma.
Mwananchi