Mabegi ya 'shangazi kaja' marufuku kwenye kwenye treni ya SGR

Mabegi ya 'shangazi kaja' marufuku kwenye kwenye treni ya SGR

Hii ya kufungulia video au music bila eaphones ilinikuta siku moja.
Nimepanda zangu bus luxury..kijana kakaa nyuma yangu anasikiliza music wake kwa sauti ya juu. Kumbuka hapo kuna Tvs zipo on.

Nilivumilia uzalendo ukanishinda maana niliona kichwa kinadata kwa makelele mchanganyiko.
Nikamwita yule dada konda nikamwambia huyo mtu hapo nyuma anapiga kelele either azime mziki wake au avae eaphones. Nilikereka sana..
Watu wengi ni washamba sana, kuna wengine wanaweka mavitu yao ya dini, yaani wanazingua sana, uduanzi ni mwingi sana, kuna mzee mmoja nili m-confront akajifanya mjuaji, mwisho nikamuuliza, hivi wewe kichwa cha panzi, ikiwa kila mtu kenye hili basi akifungua video na audio kwa sauti kutakalika humu? kwa aibu akazima
 
Dalili za huu mradi kutokua na maisha marefu zimeanza kuonekana.Hao abiria wanaoenda kupanda sasa hivi wakishamaliza kushangaa hiyo tren watarudi kwenye mabasi ambako wana uhuru wakubeba chochote kwasababu ndio maisha yao na maisha yanawalazimisha hivyo.Sasa wanaweka standard za ulaya wakati ata nusu njia hatujafika.ngoja tuone.
 
Lakini sijaona shida ya shangazi kaja. Maana sometimes mtu unakuwa na mizigo mingi , walitaka iwekwe wapi?
 
Kuongea lugha hakukupi hadhi wa watu wenye hiyo lugha, naongea English lakini mimi siyo muingereza, mimi siyo mswahili hasilani, na sitaki kuwa mswahili, nina asili yangu ambayo naipenda na najivunia
Mtumwa wa fikra anayekataa asili yake eti naongea kiswahili lakini mimi si katika jamii ya waswahili.. you remind me of things fall apart .. andika kisukuma basi .. idiot
Kwako mwananmke akijistiri ni backward lakini akiwa uchi ndio mwenye akili na wa kisasa ..
 
Oi! Kama watu hawataki kuacha Uswahili willingly basi itabidi iwe mandatory ili kuelekea kuwa moja ya nchi zilizostaharabika. Gradually mpaka tufikie viwango vya first world country. Hahahah!

But seriously ni amani sana ukienda nchi kama Japan na kukuta kila mtu ni mstaarabu ukipanda zile bullet train. We have to get there!
Sio uswahili ni uporipori na ulugaluga
ndio wameharibu ustaarabu kama hapa Dar
Dar ya miaka ya 80 mpaka 90 ilikuwa safi maeneo yote ya mijini mpaka Kariakoo shimoni tulikuwa tunaenda
Washamba wa mikoani sio waswahili wa Pwani ndio wameharibu miji yote kwa kunya ovyo mabarabarani zamani Dar kulikuwa na vyoo visafi vya Jiji leo ni hakuna
Pia kupiga miziki kwenye mabaa kwa makelele haya yote yameletwa na hawa waliohamia mijini
 
Back
Top Bottom