Mabehewa ya treni za safari fupi hayana vitanda, mabehewa ya treni za safari ndefu yana vitanda

Mabehewa ya treni za safari fupi hayana vitanda, mabehewa ya treni za safari ndefu yana vitanda

Kuna siku mama alisema" tutanunua yaliyotumika ambayo kwa wenzetu hayahitajiki tena(Mitumba) akaongeza japo kwetu yanatufaa na pia tutanunua mapya" Nafikiri haya ndiyo yale used alikuwa anamaanisha so huyo mkurugenzi hasituone hamnazo

Hayo ni used na yamepitwa na wakati

Hayo ni used na yamepitwa na wakati

Sheria hiyo ilipitishwa kwa vitu kama hivyo.
Waliopitisha ndio wanaokwenda kununua, wewe usingepitisha?
 
Huu ni mfululizo wa kudanganyana na wanaotudanganya wanatuona sisi ni washamba, nimemsikiliza kiongozi mmoja akiendelea kutetea mabehewa duni yaliyoletwa.

Kiongozi huyo akifafanua huku akijiamini alisema kuwa mabehewa yanayosafiri yana vitanda na hoteli! Nikweli zipo treni zenye mabehewa yenye vitanda, hizi ni zile za viwango vya juu sana na ni vyumba vyenye kitanda meza kochi na bafu na ni chache sana, hapa Afrika ni huko Afrika kusini.

Mabehewa tunayoyatumia Tanzania na nchi nyingi sana yana makochi ambayo usiku hutumiwa kama vitanda vya dabodeka, TRC wanalijua hilo hata yale mabehewa ya zamani ya kifahari yaliyojulikana kwa jina maarufu la Aluminium kutokana na rangi yake ndivyo yalivyokuwa.

TRC tuambieni ukweli kuhusu mabehewa yaliyoletwa badala ya kuanza kutuchanganya na mipango ya kutandaza SGR nchi nzima mpaka Ruvuma na kwingineko, kwetu sisi vitanda si hoja, hoja ni ubora wa mabehewa ya SGR.
Kwa Mara ya kwanza najisikia kushika bunduku Na kuitumia kwa wanaotudanganya
 
Hebu fikiria wale ambao hawajawahi kupanda treni kiongozi wa ngazi ya juu nchini anapowaambia mabehewa ya masafa marefu yana hoteli, huyu ataanza kuifananisha hoteli kubwa iliyopo mjini kwake kama vile Dodoma Hotel kisha ataona kuwa serikali imenunua treni nzuri sana bila kujua kile kihoteli ni kibehewa kidogo kinachojitegemea yaani kinaunganishwa na mabehewa mengine endapo kitahitajika.
 
Back
Top Bottom