Saa 100 amna kitu bora atoke tu hapo ikuluMama anapigwa kamba mchana kweupee na ye anawatazama tuu!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa 100 amna kitu bora atoke tu hapo ikuluMama anapigwa kamba mchana kweupee na ye anawatazama tuu!.
Kuna siku mama alisema" tutanunua yaliyotumika ambayo kwa wenzetu hayahitajiki tena(Mitumba) akaongeza japo kwetu yanatufaa na pia tutanunua mapya" Nafikiri haya ndiyo yale used alikuwa anamaanisha so huyo mkurugenzi hasituone hamnazo
Hayo ni used na yamepitwa na wakati
Hayo ni used na yamepitwa na wakati
Waliopitisha ndio wanaokwenda kununua, wewe usingepitisha?Sheria hiyo ilipitishwa kwa vitu kama hivyo.
Hayo ni mapya machoni mwetu na ni ya kisasa kwani yanavitanda.Hayo ni used na yamepitwa na wakati
Kwa Mara ya kwanza najisikia kushika bunduku Na kuitumia kwa wanaotudanganyaHuu ni mfululizo wa kudanganyana na wanaotudanganya wanatuona sisi ni washamba, nimemsikiliza kiongozi mmoja akiendelea kutetea mabehewa duni yaliyoletwa.
Kiongozi huyo akifafanua huku akijiamini alisema kuwa mabehewa yanayosafiri yana vitanda na hoteli! Nikweli zipo treni zenye mabehewa yenye vitanda, hizi ni zile za viwango vya juu sana na ni vyumba vyenye kitanda meza kochi na bafu na ni chache sana, hapa Afrika ni huko Afrika kusini.
Mabehewa tunayoyatumia Tanzania na nchi nyingi sana yana makochi ambayo usiku hutumiwa kama vitanda vya dabodeka, TRC wanalijua hilo hata yale mabehewa ya zamani ya kifahari yaliyojulikana kwa jina maarufu la Aluminium kutokana na rangi yake ndivyo yalivyokuwa.
TRC tuambieni ukweli kuhusu mabehewa yaliyoletwa badala ya kuanza kutuchanganya na mipango ya kutandaza SGR nchi nzima mpaka Ruvuma na kwingineko, kwetu sisi vitanda si hoja, hoja ni ubora wa mabehewa ya SGR.
Wanaotudanganya ni watu wazuri kwani wanatufanya tuyachimbue maovu yao mengi, vinginevyo tungekuwa tunasinzia.Kwa Mara ya kwanza najisikia kushika bunduku Na kuitumia kwa wanaotudanganya
Jama wameshapiga cha kwaoWaliopitisha ndio wanaokwenda kununua, wewe usingepitisha?