Mabeki tatu na simu ni majanga

yes ndio tufanye kazi kwa bidii na tuache kuajiri vitoto (12 - 17), tunavitumikisha balaa.......kuna taasisi ipo,,, just for hire wasaidizi...
Ni utumwa mamboleo huo
Kuna watu wana roho kwa kweli
Unamtuma Mtoto awapeleke watoto wako shule
Na yeye anarudi kuosha viombo

Hivi kweli dhamira haimsuti mtu wa hivyo?
 
Yaani mtoto anampeleka mtoto shule akirudi nyumbani mangi anakavizia, maskini hakajui hata kujitetea. Nyumbani kuna msururu wa nguo zakufua, vyombo vya kuosha bado kupika, bado mama mwenye nyumba akirudi kelele kama anafukuza mapepo. Acha wazingue tu
 
Mkuu usitudharirishe wanyoa viduku,,,, tunakuwa na akil tukiwa na vijogoo kwa kichwa ujue,,

Alaf iyo haus gelo mbn kubwa kabisa, tunampa basic need ambayo hapo hapati
Ni kweli iyo beki tatu ni kubwa sana ndio mana nimemtimua aende akapange aendelee na maisha yake
 
Hivi hawa wafanyakaz wa ndan ndo kusema wao mkataba wao wa kaz hauwaruhusu wao kuwa na mahusiano?
na je tatzo ni mahusiano au ufanis wa utendaj kaz?

kama mahusiano yao yanaingiliana na ufanisi wao wakaz bas mada ihamie kwenye ufanisi wa kaz na tuangalie njia mbadala itakayo wawezesha wao kufaidi haki zao zamsingi bila kuathir ufanis wao kazini.

Ni kinyume na sheria kumuajiri mtu katika kz ambayo ina mnyima mtu haki zake za msingi.
Nadhan ni wakat muafaka sasa tume za haki za binadamu zianze kuangazia hili jambo, haiwezekan una muajili mtu afu et hutak awe na mahusiano, hicho kitu hata wewe mwenyewe huwez, ni lazma tuamini kwamba mabek tatu ni wafanyakaz na sio watumwa.

kama wafanya kaz wa fan zingne wanaruhusiwa kuwa na uhuru wa mahusiano na mawasiliano kwann hawa mabeki tatu wanazuiwa?

Naomba kuwasilisha⚖️⚖️⚖️
 
NDIO MANA SIMU YA MEZANI NIMEWEKA YA TTCL ili hao vijuso washindwe kuwasiliana nae...kumpa dada wa kazi simu ya mkononi ni kujitafutia matatizo.

Kama kuna umuhimu wa simu nyumbani..nunua simu ya mezani weka laini ambayo haipo kwa watuwengi kama TTCL na SMILE...

kumpa mdada wa kazi simu halafu unamuekea laini ya tgo,voda eatel Andaa maumivu anyday na Changes moto moto.
 
POINT
 
Mkuu ulikua hutaki house gelo wako agegedwe?,yeye ugwadu wake aumalizie wapi sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…