mbaritsamenya
JF-Expert Member
- Apr 28, 2019
- 432
- 504
Mnunulie simu ya mezani alafu unai funga hakuna kupiga sim atakuwa ana pokea tuu
Yaani hawa wadada wakishapata simu ni shida tupu .wanaongea kuliko customer care wa tigo.
Kuwapa simu inakuwa shida.
Tutawaachaje nyumbani na watoto bila simu Sasa?
Yaani hata ukimtafuta simu iko busy hapatikani.wanaongeaga na Nani jamani?