Marando alifukuzwa kama mbwa kwa tabia mbaya na utovu wa nidham, aliasi mapambano ya vita kati ya tz na uganda na inasemekana hakuwahi kuingia ofisi za usalama wala kufanya hiyo kazi, alichukuliwa kutoka chuoni moja kwa moja kwenda vitani, yakamshinda kule akatoroka na ndio akafutwa usalama. Kama uongo aje ajibu hii post
Fungua uzi sio kujaza save ya jf ukiambiwa nenda shule unabisha.just easy fungua uzi kila siku unabishana LolMarando alifukuzwa kama mbwa kwa tabia mbaya na utovu wa nidham, aliasi mapambano ya vita kati ya tz na uganda na inasemekana hakuwahi kuingia ofisi za usalama wala kufanya hiyo kazi, alichukuliwa kutoka chuoni moja kwa moja kwenda vitani, yakamshinda kule akatoroka na ndio akafutwa usalama. Kama uongo aje ajibu hii post
1.....Marando alifukuzwa kama mbwa kwa tabia mbaya na utovu wa nidham,
2....aliasi mapambano ya vita kati ya tz na uganda
3... Inasemekana hakuwahi kuingia ofisi za usalama wala kufanya hiyo kazi,
4... alichukuliwa kutoka chuoni moja kwa moja kwenda vitani,
5...yakamshinda kule akatoroka na
6...ndio akafutwa usalama
7...Kama uongo aje ajibu hii post
duh, kumbe watumishi wa umma pia wanajiuzulu kama viongozi wa umma wa kuchaguliwa au kuteuliwa? sijawahi kusikia hii kitu naona kama ni mpya hivi. au mtoa mada ameshindwa kutofautisha kati ya kufukuzwa, kuacha na kujiuzulu?
maswali muhimu ya kujiuliza dhidi ya post ya mtoa hoja ni kuwa, kuwahi kufanya kazi au kutumiwa na idara ya usalama wa taifa ni hoja ya msingi ya kujiimarisha kisiasa kwa mabere marando? je kama kweli alikuwa anafanya kazi TISS anaijua vizuri misingi ya usiri? maana mtu yeyote akisikia TISS anajua kuna usiri mkubwa sana na ni watu smart na si waropokaji na wa kujikweza kama mabere marando. nawaza tu wadau.
Marando alifukuzwa kama mbwa kwa tabia mbaya na utovu wa nidham, aliasi mapambano ya vita kati ya tz na uganda na inasemekana hakuwahi kuingia ofisi za usalama wala kufanya hiyo kazi, alichukuliwa kutoka chuoni moja kwa moja kwenda vitani, yakamshinda kule akatoroka na ndio akafutwa usalama. Kama uongo aje ajibu hii post
Marando alifukuzwa kama mbwa kwa tabia mbaya na utovu wa nidham, aliasi mapambano ya vita kati ya tz na uganda na inasemekana hakuwahi kuingia ofisi za usalama wala kufanya hiyo kazi, alichukuliwa kutoka chuoni moja kwa moja kwenda vitani, yakamshinda kule akatoroka na ndio akafutwa usalama. Kama uongo aje ajibu hii post
Published on 5 Apr 2014 Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na Mwanasheria maarufu nchini, Mabere Marando alipotembelea chumba cha habari cha Global Publishers na kufunguka mambo mbalimbali. Msikilize: LIVE CHUMBA CHA HABARI: MWANASIASA / WAKILI MABERE MARANDO AFUNGUKA - YouTube LIVE CHUMBA CHA HABARI: MWANASIASA / WAKILI MABERE MARANDO AFUNGUKA
MADA
:
- USALAMA WATAIFA
- UVUMI KUHUSU USALAMA WA TAIFA
- NCCR MAGEUZI
- BUNGE LA KATIBA
- JARIBIO LA MAPINDUZI 1982
- MWANASHERIA WACHADEMA
- NGUZA VIKING BABU SEYA
duh, kumbe watumishi wa umma pia wanajiuzulu kama viongozi wa umma wa kuchaguliwa au kuteuliwa? sijawahi kusikia hii kitu naona kama ni mpya hivi. au mtoa mada ameshindwa kutofautisha kati ya kufukuzwa, kuacha na kujiuzulu?
maswali muhimu ya kujiuliza dhidi ya post ya mtoa hoja ni kuwa, kuwahi kufanya kazi au kutumiwa na idara ya usalama wa taifa ni hoja ya msingi ya kujiimarisha kisiasa kwa mabere marando? je kama kweli alikuwa anafanya kazi TISS anaijua vizuri misingi ya usiri? maana mtu yeyote akisikia TISS anajua kuna usiri mkubwa sana na ni watu smart na si waropokaji na wa kujikweza kama mabere marando. nawaza tu wadau.
- Hivi Marando ni nani kwenye hili Taifa?
Le Mutuz
- Hivi Marando ni nani kwenye hili Taifa?
Le Mutuz
Marando alifukuzwa kama mbwa kwa tabia mbaya na utovu wa nidham, aliasi mapambano ya vita kati ya tz na uganda na inasemekana hakuwahi kuingia ofisi za usalama wala kufanya hiyo kazi, alichukuliwa kutoka chuoni moja kwa moja kwenda vitani, yakamshinda kule akatoroka na ndio akafutwa usalama. Kama uongo aje ajibu hii post
U have failed trust test because u have contradictory statements. Check statement 3 and 6. So are one untrusted moron who no one will give a damn listening. So go to toilet first and come again with another pis sh!t if you wish.