MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Namuunga mkono Mabere Marando jinsi watu wanavyoona malumbano bungeni wanadhani ni kupoteza muda! Bunge lenye afya ni lile lenye malumbano mazito kwa manufaa ya taifa.
Naona bado wananchi wengi wamejaa ushamba wa bunge lilokuwa na limejaa CCM kwa asilimia 99%.Watu wenye itikadi tofauti lazima walumbane na nchi zingine hadi ngumi zinawaka!
Naona bado wananchi wengi wamejaa ushamba wa bunge lilokuwa na limejaa CCM kwa asilimia 99%.Watu wenye itikadi tofauti lazima walumbane na nchi zingine hadi ngumi zinawaka!