Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Marando hakuwa TISS, TISS ni taasisi mpya iliyoanza 1998 , alikuwa Idara ya Usalama wa Taifa, ambayo haikuwa hata na sheria yake.....kama jina linavyosema, ilikuwa ni Idara tu chini ya ofisi ya raisi
TISS ilikuwapo tangu miaka ya themanini ikiwa na watu makini kama akina Walingozi na Kuhanwa; ilianzishwa chini ya sheria ya usalama wa Taifa ya mwaka 1970 ikiwa ni muda mfupi wa jaribio la mapinduzi lililofanywa na timu ya Kambona. Hiyo sheria ya mwaka 1998 iliunda ilipandisha TISS kuwa idara kamili ya serikali kinyume na huko nyuma ambako ilikuwa kama taasisi ya kisiri chini ya ofisi ya Rais; Marando alitumikia TISS hadi katikati ya miaka ya themanini alipoanzisha harakati za NCCR.