Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Hawa mabest wameshibana sana kama ilivyokuwa kwa Bonnie & Clyde.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna siku twitter, miss bulaya alipost sebule yake lakini watu walimshambulia kwa sababu tu kulikuwa na picha ya miss mdee. Watu wakahoji ni urafiki gani wa namna hiyoHivi hao si inasemekana ni mtu na nanii yake............Soudy Brown anasema "Inasemekana lakini"🤪
Tubakie hapo hapo kwenye "inasemekana lakini"......Kuna siku twitter, miss bulaya alipost sebule yake lakini watu walimshambulia kwa sababu tu kulikuwa na picha ya miss mdee. Watu wakahoji ni urafiki gani wa namna hiyo
Binafsi ukiniuliza naona wao ndio wanajua ni nini kinaendelea kati yao lakini pia bado naamini kwenye true friendships japo siku hizi ni kama zinapotea
Bonnie na Clyde walikuwa jinsia tofauti. Labda useme Thelma na Louise.View attachment 2831877Hawa mabest wameshibana sana kama ilivyokuwa kwa Bonnie & Clyde.
Hahahha picha likawa limeungua hahahaNilimuita mdee hotelini nikashangaa amekuja akiongozana na bulaya- Mbowe
Mmmh kwenye sebule kabisa? AiseeeeKuna siku twitter, miss bulaya alipost sebule yake lakini watu walimshambulia kwa sababu tu kulikuwa na picha ya miss mdee. Watu wakahoji ni urafiki gani wa namna hiyo
Binafsi ukiniuliza naona wao ndio wanajua ni nini kinaendelea kati yao lakini pia bado naamini kwenye true friendships japo siku hizi ni kama zinapotea
Ilikuwa wakutane waongee kuhusu suala lile la wabunge 19 akaibuka na mwezake kwenye tukio 😄Hahahha picha likawa limeungua hahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilimuita mdee hotelini nikashangaa amekuja akiongozana na bulaya- Mbowe
HAHAHA JAMAA EBU PUNGUZA NONGWANilimuita mdee hotelini nikashangaa amekuja akiongozana na bulaya- Mbowe
Ilikuwa ni kwenda kuzungumza kuhusu lile suala la wale wabunge 19 akashangaa kafika na bulayaHAHAHA JAMAA EBU PUNGUZA NONGWA