don-oba
JF-Expert Member
- Dec 8, 2011
- 1,387
- 677
Kuna wimbo alimshirikisha Jux unaitwa sirudi tena. Chorus yake Ipo hivi kama sijakosea;
" sipotezi masaa, nakimbiza chapaa; kwenye dhiki me sirudi teee (tena na tena, tena na tena)"
Na mwingine unaitwa " baadaye sana"
Sasa mbona karudi kwenye dhiki!