grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
[emoji23][emoji23] aisee haya majibu.Dogo anaonekana mlamba lips
《Caprichar o teu sorriso》
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] aisee haya majibu.Dogo anaonekana mlamba lips
Ila sio uungwana kabisa yaaniMimi washkaji wa hivyo wananiudhi kishenzi yaani. Wanajifanya kuonyesha mapenzi kwa wake za watu ili wawalale waachane.
Nawaitaga masela mavi
Sent using Jamii Forums mobile app
IndeedUsije kutegemea kupata Shukrani kwa Mtoto wa Kike?! Ni wako na Mafia spirit... They don't care......!
Tenda wema nenda zako......................!
jamani hakuna aliemtambua huyu dogo! Anaitwa Frank mhina kwao sanawari arusha, nazani ni was 95 ama 6, sidhani Kama Anawezaichukua nafasi ya mabeste hata Kama Dem kamuacha, kweli wanawake ni konyoHuyu mwamba kaendelea pale Mabeste alipokwamia, wanasaikolojia waombwa kumuangalia mabeste aachane na uraibu wa sigara na pombe.
View attachment 1449408
Aisee Mambo Kama haya yanaifanya niogope kuoa aisee Nina Miaka 30 na kitu Ila daah Hawa wanawake jamani[emoji44]Usije kutegemea kupata Shukrani kwa Mtoto wa Kike?! Ni wako na Mafia spirit... They don't care......!
Tenda wema nenda zako......................!
Pia ghafla kimbola itakua imeisha nguvu atajishangaa sana imekuaje amezaa na mke wa rafiki yake tena mwenye watoto naye wawili.Huyo mchizi akishapata mtoto tu basi, kuna vitu flani vinapungua ndio hapo masela wanaanzaga kutafuta wale wa kupiga fasta.
Huyu dogo hajawahi kuwa na demu mweupe ndiyomaana hapo anajiona ameokota dodo kumbe utakuta mtoto wa kinyaturu ameyakoroga ya kalumanzila.Dogo anaonekana mlamba lips
Tafuta mwanamke wa level yako mpe watoto mfululizo then utakuwa na amani ila uwe na hela ya english medium schoolAisee Mambo Kama haya yanaifanya niogope kuoa aisee Nina Miaka 30 na kitu Ila daah Hawa wanawake jamani[emoji44]
Sent using Jamii Forums mobile app
she is my cousin, LisaHuyu mwamba kaendelea pale Mabeste alipokwamia, wanasaikolojia waombwa kumuangalia mabeste aachane na uraibu wa sigara na pombe.
View attachment 1449408