MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
- Thread starter
- #41
kama familia hili suala mmelipokeaje?she is my cousin, Lisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama familia hili suala mmelipokeaje?she is my cousin, Lisa
hata mimi sijaelewa ni yupi kati ya hao
Cousin wako ni noma.she is my cousin, Lisa
Mzee baba, huyo mtoto mama yake tu pasua kichwa bora dada yakekama familia hili suala mmelipokeaje?
haya maisha bhana si unajua Wanyaturu tenaCousin wako ni noma.
Nawaelewa wanyahoo hatari sanahaya maisha bhana si unajua Wanyaturu tena
Ila maza yake niliona picha age imeenda sana.Mzee baba, huyo mtoto mama yake tu pasua kichwa bora dada yake
Yeah anafanya kazi Mkoa wa Kilimanjaro mambo ya afyaIla maza yake niliona picha age imeenda sana.
Life is a mofo. Alihustle sana kipindi kile Mabeste afu anaachika kizembe tuuIla mabeste shda imekuja baada ya
Mkewe kumuacha
Nkikumbuka jamaa alvokua
Anahangaika na mkewe ili apone
Alaf kaja kumtenda hiv?? Aiseee
Wanawake naonaga tu n kama
Punda,(shukran ya punda n mateke)
stidy
Sana yani jamaa aliandaa had showLife is a mofo. Alihustle sana kipindi kile Mabeste afu anaachika kizembe tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa najiuliza ina maana huyu dogo, miaka yote anashindwa tafuta manzi mpya hadi anaenda kuoa demu anawatoto wawili....?! Na ametengana na mwanaume wake wa ndoa kwa sasababu za kipuuzi....?!Mimi washkaji wa hivyo wananiudhi kishenzi yaani. Wanajifanya kuonyesha mapenzi kwa wake za watu ili wawalale waachane.
Nawaitaga masela mavi
Sent using Jamii Forums mobile app