MABEYO (CDF MSTAAFU): Vijana wanakosa mwelekeo, tunajenga hofu kwa taifa la kesho (Juni 11, 2024)

MABEYO (CDF MSTAAFU): Vijana wanakosa mwelekeo, tunajenga hofu kwa taifa la kesho (Juni 11, 2024)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea gawio na michango kutoka mashirika na taasisi za umma Ikulu jijini Dar es Salaam, leo tarehe 11/06/2024.


MABEYO (CDF MSTAAFU): Vijana wanakosa mwelekeo, tunajenga hofu kwa taifa la kesho
Jenerali Venance Mabeyo (Mstaafu) akizunguza kwa niaba ya Wenyeviti wa Bodi amesema kuna umuhimu wa kufanya kazi kwa bidii na na kuishi katika maoni ya Serikali kwa kuzingatia mabadiliko ya kiuchumi ili kutengeneza njia nzuri kwa Taifa.

Amesema hayo wakati wa kukabidhi gawio na michango kwa Rais Samia Suluhu kutoka katika mashirika na Taasisi za Umma Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo Juni 11, 2024.

GPyQCw3XgAAQd6q.jpg

GPyQCwwX0AEoHTw.jpg

Viongozi wa Serikali, Wakuu wa Mashirika na Taasisi za umma pamoja na Wageni mbalimbali wakiwa kwenye hafla ya kupokea Gawio na Michango kutoka kwa Mashirika na Taasisi za Umma, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 11 Juni, 2024.
GPyPBxPXQAARcNq.jpg

GPyPBxWW0AAxQ-0.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye hafla ya kupokea Gawio na Michango kutoka kwa Mashirika na Taasisi za Umma, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 11 Juni, 2024.
 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea gawio na michango kutoka mashirika na taasisi za umma Ikulu jijini Dar es Salaam, leo tarehe 11/06/2024.


MABEYO (CDF MSTAAFU): Vijana wanakosa mwelekeo, tunajenga hofu kwa taifa la kesho
Jenerali Venance Mabeyo (Mstaafu) akizunguza kwa niaba ya Wenyeviti wa Bodi amesema kuna umuhimu wa kufanya kazi kwa bidii na na kuishi katika maoni ya Serikali kwa kuzingatia mabadiliko ya kiuchumi ili kutengeneza njia nzuri kwa Taifa.

Amesema hayo wakati wa kukabidhi gawio na michango kwa Rais Samia Suluhu kutoka katika mashirika na Taasisi za Umma Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo Juni 11, 2024.

Ningeshangaa sana hii statement isingeanzisha mjadala ..
 
Huyu mama baada ya Magufuli kufa si alisema wakurugenzi walikuwa wanakopa benki ili waipe serikali gawio..mbona ye anapokea? Ina maana ameruhusu wakurugenzi wakope au??
 
NSSF nao wamepeleka GAWIO?😃😃😃

Laigwanan ALIONYA jamaa angekuwa Prezidaa vijana wasingewaza kuwekeza kwenye UCHAWA
 
Uadilifu wake na kukataa kupindisha mpingo ule umeleta dhahama kwa wamasai, rasilimali na watu wote nje ya mnyororo wa walamba asali gangsters.
 
Back
Top Bottom