MABEYO (CDF MSTAAFU): Vijana wanakosa mwelekeo, tunajenga hofu kwa taifa la kesho (Juni 11, 2024)

MABEYO (CDF MSTAAFU): Vijana wanakosa mwelekeo, tunajenga hofu kwa taifa la kesho (Juni 11, 2024)



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea gawio na michango kutoka mashirika na taasisi za umma Ikulu jijini Dar es Salaam, leo tarehe 11/06/2024.


MABEYO (CDF MSTAAFU): Vijana wanakosa mwelekeo, tunajenga hofu kwa taifa la kesho
Jenerali Venance Mabeyo (Mstaafu) akizunguza kwa niaba ya Wenyeviti wa Bodi amesema kuna umuhimu wa kufanya kazi kwa bidii na na kuishi katika maoni ya Serikali kwa kuzingatia mabadiliko ya kiuchumi ili kutengeneza njia nzuri kwa Taifa.

Amesema hayo wakati wa kukabidhi gawio na michango kwa Rais Samia Suluhu kutoka katika mashirika na Taasisi za Umma Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo Juni 11, 2024.

View attachment 3014583
View attachment 3014584
Viongozi wa Serikali, Wakuu wa Mashirika na Taasisi za umma pamoja na Wageni mbalimbali wakiwa kwenye hafla ya kupokea Gawio na Michango kutoka kwa Mashirika na Taasisi za Umma, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 11 Juni, 2024.
View attachment 3014586
View attachment 3014587
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye hafla ya kupokea Gawio na Michango kutoka kwa Mashirika na Taasisi za Umma, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 11 Juni, 202

Hui nchi imekosa viongozi, yaani inafanyika sherehe ya kupokea gawio badala ya kuliweka hazina na maisha yakaendelea! Tunahitaji katiba mpya ili tupate viongozi wenye akili
 
Mkuu wa Majeshi mstaafu General Mabeyo ametoa angalizo Kuwa Ukosefu wa ajira kwa vijana unaleta hofu kwa Taifa la Kesho

Naamini Waziri wa uchumi Prof Kitila atakuwa amemuelewa vema

Mungu wa Mbinguni awabariki 😀
 
Alipokuwa akipewa Magufuli, wajinga na wapumbavu walisema ni uwongo

Leo watasemaje? Ngoja tuone!
Huo ni usanii kama usanii mwingine, washauri wa rais inaonekana wengi ni masalia ya Magufuli, hivyo wanamshauri atumie propaganda za kimagufuli wakiamini atateka akili za watu. Cha ajabu Magufuli alifanya mbwembwe zote hizo, lakini akaishia kupora uchaguzi!
 
Mkuu wa Majeshi mstaafu General Mabeyo ametoa angalizo Kuwa Ukosefu wa ajira kwa vijana unaleta hofu kwa Taifa la Kesho

Naamini Waziri wa uchumi Prof Kitila atakuwa amemuelewa vema

Mungu wa Mbinguni awabariki 😀
Ana suluhisho la Nini kifanyike, au na yeye anapiga siasa tu?
 
Back
Top Bottom