Mabeyo kazawadiwa hii ndinga. Tafakari!

Ni kawaida hiyo Jeshini kwa wakubwa kupewa magari, isitoshe kwa Cheo chake na aliyopitia hilo gari siyo big deal, ila akaunti yake Benki ndo mambo yote!
Mkuu ile gari kwa tz naona yeye atakuwa ndio wa kwanza kulitumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…