Kwa hiyo akichapwa, mtoto ndiyo anakuwa na tabia nzuri?Wabibi wengi wakikaa na wajukuu lazima wajukuu wawe na tabia mbaya kwa kuwa hawachapwi wala hawakemewi.Mtoto yoyote bila kukemewa lazima awe na tabia mbaya
Wew binti hujaonekana jf siku mingi. Ulitekwa ?Bado nasubiria hapa
Naomba umri wako shem[emoji23][emoji23][emoji23] embu niache
[emoji125] [emoji125]
Hata maandiko yanasema "usimnyime mtoto wako mapigo maana ukimpiga hatakufa,utampiga kwa fimbo na kumwokoa nafsi yake na kuzimu.Kwa hiyo akichapwa, mtoto ndiyo anakuwa na tabia nzuri?
Yaaani we acha tyuWew binti hujaonekana jf siku mingi. Ulitekwa ?
Hujajibu swali. Maandiko ni abstract. Nionyeshee tafiti za kisayansi zinazonyesha kwamba mtoto akipigwa anakuwa na adabu au tabia nzuri.Hata maandiko yanasema "usimnyime mtoto wako mapigo maana ukimpiga hatakufa,utampiga kwa fimbo na kumwokoa nafsi yake na kuzimu.
Mithali 23:13-14
Hizo tafiti za kisayansi sina,ila za kijamii ntajaza siledi ya watuHujajibu swali. Maandiko ni abstract. Nionyeshee tafiti za kisayansi zinazonyesha kwamba mtoto akipigwa anakuwa na adabu au tabia nzuri.
Teh teh teh! Sawa bibie!!!Hizo tafiti za kisayansi sina,ila za kijamii ntajaza siledi ya watu
[emoji23][emoji23][emoji23]Naomba umri wako shem
Kwa kuwadekeza hata pasipostaili?Wabibi wanataka kurekebisha makosa through wajukuu
Nakusubiri shemHawapo sahihi...nitarudi kudadavua na katrue story juu
Kuna muda unakutana na situation inayokufanya upeleke mtoto kwa Bibi..au haujawahi kutana nayo?Na kwa nini bibi alee wajukuu, si alishamaliza kazi ya kukulea? Unampelekea mama/baba alee wajukuu unategemea awalee kweli wakati yeye ameshachoka?
Binafsi siafiki kulelewa wanangu na wazazi wangu, alishamaliza kazi yao kutulea sisi.
Ila upendo wao maranyingi mwisho wake hua mbayaWakina bibi wanaupendo wa ajabu kwa wajukuu zao nakumbuka kipindi nipo mdogo pale Masaki kwa bibi tulikua tunalelewa kizungu sana tofauti na tukiwa home....
Nimecomment nikiwa upande wa ujukuu mana mtoto sina
[emoji23][emoji23][emoji23] eti anawaulia kwenye mpira..vipi shem wewe unae?Unasubiri nini? Au ndio unawaulia kwenye mipira mkuu[emoji23]
Haiwezekani shem wewe eti utotoni mwako ndo uwe umecheza gemu la nyoka(snake xenzie)means utoto wako ulikua kweny miaka ya 2004 na kuendelea wakati huo sisi wengine tumeshakuwa wahenga wa muda mrefu tu...
Na haiwezekani eti wewe ulelewe kizungu na bibi wakati wengine maisha ya uzungu tumeyaanzisha sisi kwa wajukuu zetu.
Wakati hiyo 2004 ndio wewe unazaliwa
Shemu ntakuja na kauli mbiu ya
"DAVET ONESHA CHETI CHA KUZALIWA"
[emoji23][emoji23] jj mkorofi weweNazidi kujipatia uhakika kuwa shemeji yangu ni bado katoto[emoji125] [emoji125]
Jolie Jolie njoo ujibu hapa kwasababu kila siku nakuona unakula kula ndimu tu[emoji23][emoji23][emoji23] eti anawaulia kwenye mpira..vipi shem wewe unae?