Mabifu ya Jamii Forums yananichekeshaga sana

Ok
 


Mkuu mimi kama kuna mambo nayapenda maishani mwangu ni Vurugu,Purukushani na Kutandikana!

Huwa nataka hata mmoja tu aniite mahali halafu tuonyeshane uanaume!,nimetahiriwa kwa kisu butu bila ganzi,yaani nipigwe na mwanamke?,Akianani nikipigwa na hao wanawake nitajiua siku hiyo!

Hao wajinga siku wakijidanganya wakaingia kwenye anga zangu wataenda kusimulia mabwana zao!.

Mimi si mtu wa Mkwara,Mkwara kule kwetu Rebu unapigwa na Mwanamke ambaye hajakeketwa (Musaghane)!
 
Yo! Ushawahi kupigana mtaani au huwa unapigana JF tu? 🤣
 
Sijui ni hii alcohol inanifanya nisielewe handle zinapigana vipi?

Nachelea kusema wote wadwanzi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…